Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

We jamaa muongo sana akosekane ramos timu iyumbe? Unamfaliji mwenzio vibaya nimekwambia fuatilia key player wangapi hawakucheza gem ya psg kule france urudi hapa
Hahahahaha ni key player wangapi hawakucheza Game ya Juventus kule Spain ukinijibu ni Mimi nitakujibu
 
Kazi ipo
tapatalk_1527448775837.jpeg
 
Kushabikia Mchezaji Bila Ya Kuishabikia Timu ipo hiyo! Hata Mimi Ninaichukia Barcelona Kuliko! Na Kila inapocheza Huwa Naiombea ifungwe! Huitakia Ushindi Pale inapocheza Na Real tu. Lakini Mimi Ni Fan Mkubwa Sana Wa Leonel Messi Na Kila Mwaka Hutaka Achukue Balon D'Or
Punguza hasira mkuu
IMG_20180527_233942_144.jpg
 
Sio Mmbabaishaji! Kama Hunielewi Hilo Ni Kosa Lako, Mimi Sihusiki Na Ufahamu Wako.

Nadhani Unapaswa Kujifunza Maana Ya Touch na Passes Na Passes Accuracy

• Umehadalika Na 100% ya Tackles won wakati Tackles zote alizocheza Ni 4 tu! Hebu Kuwa Serious basi manake Hata Sadio Mane Mshambuliaji ana 100% tena Yeye ana tackles 6.

• Umehadalika Na 94% ya Passes Accuracy wakati Passes Zenyewe Ni 70 tu?? Hebu Calculate ikiwa Passes 70 = 100%, Je 94% Ni Sawa Na Passes Ngapi?

Hizo Ni Performance Mbovu Bhana Kwa Mtu Kama Modric.


King Ngwaba mbona uonekani kwenye thread yetu? Tunakumiss kule
 
Salah katoka tukasawazosha bao
Salah katoka Mane kawapeleka puta Madrid hata akapiga mwamba!
Liverpool sio team ya mtu mmoja na jana wameonyesha hivyo!
Jana kipa Oblak au hata Allson Madrid hatufungi
Kipa mwehu huyu kawapa ubingwa Madrid wala sio kuumia kwa Salah,tulistahili sisi tuongoze 1-0 na ingebadiri kila kitu kwenye soka
 
Nimeangalia tena hii game
Karius katuweza aisee!
Liverpool beki zimemzimisha CR na Benzema kama Watford tu
Lovren ktk ubora wake wa hali ya juu sana,VVD anacheza mipira ya juu na pembeni ndiyo balaa zaidi!
Hamna lolote la kutisha Madrid jana zaidi ya mabao mawili waliyo pewa kuchukua ubingwa
 
Firminho sio number 9 ana fit zaidi katika mfumo wa 4.3.3 sababu wakiwa watatu wanakuwa wanazunguka wote wa tatu kilichotokea jana baada ya kuingia Lalana ikabidi waende 4.4.2 ina maana ikabidi awe kati ikawa ngumu kwake kufanya kitu hakuna movement. unakumbuka siku Conte alipomweka Hazard kama number 9? Hazard akapotea maana sio style yake ni lazima atokee pembeni lakini haina maana Hazard akawa mchezaji mbaya kwa siku moja. Firminho wakati anakuja Liv hakuwa typical #9 alikuwa kama winger hivi sio kama kina Drogba au Costa. ndio maana kabla hajatoka Mo firminho alikuwa anapenyeza mipira.
Kwa ulivyomwelezea, benchi linamuhusu world cup
 
Nimeangalia tena hii game
Karius katuweza aisee!
Liverpool beki zimemzimisha CR na Benzema kama Watford tu
Lovren ktk ubora wake wa hali ya juu sana,VVD anacheza mipira ya juu na pembeni ndiyo balaa zaidi!
Hamna lolote la kutisha Madrid jana zaidi ya mabao mawili waliyo pewa kuchukua ubingwa
Duh.! Hii ni kali ya mwaka
 
Ndio maana tangu jana mapovu yanakutoka sana, yaani uzi mzima umejaza mapovu wewe tu.
Utadhani ndio mmiliki wa timu.
Wenzako wanaugulia Maumivu Sasa hivi wanaendelea na mishe zingine wewe kutwa kulalama tu!!!

Kwa akili yako timamu kabisa ukategemea Liverpool atamfunga Madrid fainali ya UEFA!!!
Kumbe makelele yote haya tangu jana usiku unabweka weeee, kumbe una Husuda na Los Blancos!!!


I Started Wondering, What Does that mean?
What Does That Signify?
Nonsense as usual!
 
Salah katoka tukasawazosha bao
Salah katoka Mane kawapeleka puta Madrid hata akapiga mwamba!
Liverpool sio team ya mtu mmoja na jana wameonyesha hivyo!
Jana kipa Oblak au hata Allson Madrid hatufungi
Kipa mwehu huyu kawapa ubingwa Madrid wala sio kuumia kwa Salah,tulistahili sisi tuongoze 1-0 na ingebadiri kila kitu kwenye soka


Kipa kafanya makosa kwasababu presha ya game ilikuwa kubwa. Without to underestimate players like Mane and Fermino, Real Madrid were better side than Liverpool, I don't understand why they couldn't score more goals !
 
Sio Mmbabaishaji! Kama Hunielewi Hilo Ni Kosa Lako, Mimi Sihusiki Na Ufahamu Wako.

Nadhani Unapaswa Kujifunza Maana Ya Touch na Passes Na Passes Accuracy

• Umehadalika Na 100% ya Tackles won wakati Tackles zote alizocheza Ni 4 tu! Hebu Kuwa Serious basi manake Hata Sadio Mane Mshambuliaji ana 100% tena Yeye ana tackles 6.

• Umehadalika Na 94% ya Passes Accuracy wakati Passes Zenyewe Ni 70 tu?? Hebu Calculate ikiwa Passes 70 = 100%, Je 94% Ni Sawa Na Passes Ngapi?

Hizo Ni Performance Mbovu Bhana Kwa Mtu Kama Modric.


We jamaa unaongea nonsense as usual. Sasa mchezaji ana 88 touches unasema performance mbovu? He almost touched the ball in every minute of the game. Kama ile ndio performance mbovu, sijui angecheza vizuri ingekuwaje
 
I Started Wondering, What Does that mean?
What Does That Signify?
Nonsense as usual!
Acha ubishi mshikaji kakueleza ukweli,msikalie kujificha kwenye kivuli cha kuumia Salah na goli kipa wenu.Liverpool sio timu ya kuifunga Madrid kwa vyovyote vile na pale mmefika kibahati tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom