Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Walevi haooooo
Mkapiga kura Ronaldo akakosa goli bora

Mkapiga kura Salah akashinda Mchezaji wa mwezi

Mkapiga kura akashinda mchezi wa mwaka.

Leo Ramos kawaonesha na mtamsahau atarudi uwanjani 2019
 
Fainali sio bahati, ni mbinu,

Madrid alivokua kaanza slow aliwapa matumaini liva wakati huo liva alikua anataka kumaliza game mapema.

Mkubwa ni mkubwa tu


Alianza Slow au alikuwa ameshindwa kumzuia Liverpool asiuchezee mpira?
 
Kuumia sio sababu sema ufinyu wa kikosi salah atakuwepo milele pale?

Anatoka isco anaingia bale anatoka benzema anaingia asensio pia hata kama liverpool wangetimia bado pumzi ingekata tu zizou angekuwa na option nyingi mno wakat klopp alikuwa na lalana tu bench can katoka majeruh wajuz hatukutia neno hapa tulijua liverpool anaumia ukiacha mkos wa kocha mech za final


Timu za england zinahitaj kuwekeza sana ktk soka la maana kama city anavyofanya bila hivyo tutaumia sna

Kwani namba mbili nimeandika nini!? Usikurupuke na kujiongelesha kama unataka bwana..
 
Hahahaaaa, nina furaha leo dada angu acha tu!

Kuna workmates wenzangu kama watatu niliwaahidi jersey za Madrid kama watamfunga liva, kesho natakiwa nitimize ahadi yangu.
Hahahahahah hongera katimize ahadi.
 
.
IMG_20180204_195211.jpg
 
Madrid katumia mbinu gani!? Tuanzie hapo..
Mkuu naomba tujadili kesho, saizi hatutoelewana, furaha niliyonayo saizi wakati we umeumia (kama ni shabiki wa livapul) tunaweza tofautiana.

Kesho nitakutafuta humu humu jukwaani
 
Mkuu naomba tujadili kesho, saizi hatutoelewana, furaha niliyonayo saizi wakati we umeumia (kama ni shabiki wa livapul) tunaweza tofautiana.

Kesho nitakutafuta humu humu jukwaani

Tena unitafute mapema kabla balimi hazijaisha kichwani..
 
Tatizo kubwa la liverpool ina wachezaji wenye kiwango cha kawaida sana
 
Kwahyo ndugu wachambuzi wetu, tuna amuaje thatha?

When will be the parade?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom