kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,992
- 3,879
Huyo Karius kawafanyaje kwani?Liverpool team
Am proud of my team!
Karius tunashukuru sana
Huyo Karius kawafanyaje kwani?Liverpool team
Am proud of my team!
Karius tunashukuru sana
Hahaa mngeshinda ungebonga kinooma ila pole sanaSeason Ya 2017/18 imeshamalizika:
× NO TROPHY
√ ONLY IMPROVEMENT
× NDANI YA MISIMU 3 YA LIVERPOOL, KLOPP AMESHAPOTEZA FAINALI 3 MFULULIZO.
LEO NAJIRIDHISHA KUWA KLOPP KWENYE FAINALI HATA ACHEZE NA NJOMBE MJI BASI ATAPOTEZA.
Yaani, humu kusingetoshaHahaa mngeshinda ungebonga kinooma ila pole sana
Hii timu imefika fainali kimagumashi Sana!Kuna muda nlikiwa namuona klopp anataka kufanya mabadiliko lilipoingia goli la pili lakini kule benchi haoni mtu sijui hii timu imefikaje fainali.
Walikua hawataki kusikia hii kauli kabsa ila ndo ukweliHii timu imefika fainali kimagumashi Sana!
Njia waliyopitia ilikuwa laini Sana, wakijiaminisha kwa wapo vizuri zaidi kumbe kumbe hollaaaWalikua hawataki kusikia hii kauli kabsa ila ndo ukweli
Pole sana brother ndo soka hilo.Tumekufa kishijaa. Nilichogundua mbali na silly mistake za Karius, na Majeraha ya Salah Liverpool wanakikosi kidogo sana. Yaani baada ya kuumia Salah backup yake ni lalana, serious kweli! Kwenye banch kulikuwa na wagalasa kibao yaliyobakia. Liverpool inaitaji kikosi kikubwa.
Kloop ni kocha mzuri. Nimeumia na nimemsikitikia sana hii ni fainali yake ya 3 anapoteza. All in all we r liverpool.
Atleast mitaani kutapoa sasaNjia waliyopitia ilikuwa laini Sana, wakijiaminisha kwa wapo vizuri zaidi kumbe kumbe hollaaa
Tumekufa kishijaa. Nilichogundua mbali na silly mistake za Karius, na Majeraha ya Salah Liverpool wanakikosi kidogo sana. Yaani baada ya kuumia Salah backup yake ni lalana, serious kweli! Kwenye banch kulikuwa na wagalasa kibao yaliyobakia. Liverpool inaitaji kikosi kikubwa.
Kloop ni kocha mzuri. Nimeumia na nimemsikitikia sana hii ni fainali yake ya 3 anapoteza. All in all we r liverpool.
Hahahahahah!!!Hahaa sasa uchambuzi wa nini wakati kisu cha kuchinja jogoo unanoa kidogo tu
Yaani nilikuwa nawaza sana hilo nasema nawasapot sababu ya England tu na mwanetu Salaah ila so siri tungekomaaaa!!! Tungefufuliwa na yote yale ya kabatini ya Enzi zileeeee!!Sema mngechambwa kule jukwaani kwenu na hawa Majogoo.. Acha wapumzike kidogo
Season Ya 2017/18 imeshamalizika:
× NO TROPHY
√ ONLY IMPROVEMENT
× NDANI YA MISIMU 3 YA LIVERPOOL, KLOPP AMESHAPOTEZA FAINALI 3 MFULULIZO.
LEO NAJIRIDHISHA KUWA KLOPP KWENYE FAINALI HATA ACHEZE NA NJOMBE MJI BASI ATAPOTEZA.
Sababu za Liverpool kufungwa
1.Lack of maturity
Baada ya salah kuumia, timu yote ilichanganyikiwa na kutoka mchezoni.
2.Hawana kiongozi
Hamna mtu mwamasiahaji na mwenye uwezo wa kushusha presha ili kuwarudisha wenzake mchezoni.
3.Kipa - huyu leo ameifanya Liverpool iwe kama gagulo linabana juu chini linaachia,yaani huyu ni wakugawa bure.
Liver hamna goal keeper bora mignolet