Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huo ndio ukweli Madrid alishashindwa kumdhibiti Liver tangu mwanzo wa mchezo kabisa sema ndo hicho baada ya Salah mchezo ukabadilika si wachezaji, kocha, mashabiki wala waangaliaji wa kwenye TV wakawa disappointed..!!


Ndio hicho sasa huyo jamaa anataka adanganye watu kuwa kuzidiwa kwa Madrid eti ilikuwa ni plan yao
 
Zidane pia ni kocha bora, amewasoma liver ndani ya dk 30 za mwanzo huwa wana press sana. Hivyo hata Mo Salah angekuwapo, tempo ingeshuka tu baada ya hapo. Na liver ukiwazuia dk 30 au 40 za mwanzo, pumzi hukata.


Tuliwazidi ndio maana tuliuchezea sana mpira wakati Mohammed Salah akiwamo msianze kudanganya watu kuwa ilikuwa plan yenu. Hiyo kabla ya kuchoka Mohammed angekuwepo tungekuwa tumeshawapiga goli za kutosha tu
 
Ilikuwa swala la muda tu karius awaumbue

Games nyingi tu hakupigiwa on target mkabak mnasema ni kipa mzuri.

Kwa jicho la tatu tulijua anaenda kuwaumbua
 
Tuliwazidi ndio maana tuliuchezea sana mpira wakati Mohammed Salah akiwamo msianze kudanganya watu kuwa ilikuwa plan yenu. Hiyo kabla ya kuchoka Mohammed angekuwepo tungekuwa tumeshawapiga goli za kutosha tu
Mechi imeisha kwa Real kushinda 3-1, hizi unazopiga humu ni kelele tu.
Pia yasikitisha unakiri kuwa bila salah liver ni kama Ihefu, no offense!
 
Mechi imeisha kwa Real kushinda 3-1, hizi unazopiga humu ni kelele tu.
Pia yasikitisha unakiri kuwa bila salah liver ni kama Ihefu, no offense!


Ndio ni kelele hizo hizo ambazo wewe pia unapiga at the same time. By the way, kumbe na wewe ni wa kule kwetu nini maana umeweza kurelate jina langu la kikabila na maeneo rightfully ya origin, na wewe tupo kabila moja nini?
 
Liverpool uwezo walikuwa nao na walicheza vizuri na kufanikiwa kuwabana Madrid dk 20 na ndio yule muhuni Ramos alitambua hilo na kwa makusudi alimuumiza salah. Hatimaye marcelo akawa free na kama mfuatiliaji wa Madrid marcelo ndio source ya magoli ya Madrid, lkn dk 20 za mwanzo kuanzia casamiro, modric, kroos, Ronaldo hawakuonekana kabisa.


Hii idea kuwa alipotoka Salah basi Marcelo akawa free kupanda mbele sielewi kabisa.
Kwa sababu alipotoka huyo Salah nafasi yake haikubaki empty. Alikua replaced na Lallana.

Sasa iweje mseme Marcelo akabaki free kwenda kutengeneza magoli mbele wakati katoka mtu kaingia mtu.
 
Hii idea kuwa alipotoka Salah basi Marcelo akawa free kupanda mbele sielewi kabisa.
Kwa sababu alipotoka huyo Salah nafasi yake haikubaki empty. Alikua replaced na Lallana.

Sasa iweje mseme Marcelo akabaki free kwenda kutengeneza magoli mbele wakati katoka mtu kaingia mtu.


Wanatafuta excuses tu. Kitu kingine wanasema bila makosa ya golikipa Real Madrid isingeshinda. Hawa pundits wa JF wananiachaga hii sana.
 
Hii idea kuwa alipotoka Salah basi Marcelo akawa free kupanda mbele sielewi kabisa.
Kwa sababu alipotoka huyo Salah nafasi yake haikubaki empty. Alikua replaced na Lallana.

Sasa iweje mseme Marcelo akabaki free kwenda kutengeneza magoli mbele wakati katoka mtu kaingia mtu.
Sasa Lalana ni sawa na Salah?
 
Liverpool uwezo walikuwa nao na walicheza vizuri na kufanikiwa kuwabana Madrid dk 20 na ndio yule muhuni Ramos alitambua hilo na kwa makusudi alimuumiza salah. Hatimaye marcelo akawa free na kama mfuatiliaji wa Madrid marcelo ndio source ya magoli ya Madrid, lkn dk 20 za mwanzo kuanzia casamiro, modric, kroos, Ronaldo hawakuonekana kabisa.
Ramos ni muhuni sana
 
Hii idea kuwa alipotoka Salah basi Marcelo akawa free kupanda mbele sielewi kabisa.
Kwa sababu alipotoka huyo Salah nafasi yake haikubaki empty. Alikua replaced na Lallana.

Sasa iweje mseme Marcelo akabaki free kwenda kutengeneza magoli mbele wakati katoka mtu kaingia mtu.
Kwenye mpira kuna key player,liverpool Salah ndio key player mipango yote imejengwa kipitia yy,huwezi mfananisha Lallana ambaye karibia msimu mzima alikwa majeruhi ,hana hata mechi fitness alafu mfananishe mchezaji aliyechukuwa tuzo zote uingereza utaonekana chizi.Ramos usimuone mjinga kufanya vile aliona ,ubora wa Liverpool upo sehemu gani,kwani mpaka salah anatoka Liverpool walipossess na create nafasi na kama hujui Marcelo ndio source ya magoli yote kama umefuatilia Madrid ,nusu magoli yao marcelo lazima hausike kwa namna yoyote na Salah alikuwa anamzuia Marcelo kupanda na Marcelo sio mzuri ktk kukaba kwa hiyo Casamero,Kroos,Ramos na Marcelo wote macho yao yalikuwa kwa SALAH na ndio maana viungo wa Liver walitawala sana.Kosa la Liver ni moja tu kukubali lile tukio kuwatoa mchezoni basi kwani hawakuonyesha ukomavu wao ,ukija jumlisha na yale maboko mawili ya kipa ndio yaliwaua.Unachongea ww ni sawa ufanishe umuhimu wa Ronaldo na Asensio au Messi na dembele kisa wote ni watu bila kuangalia uwezo wa huyo mtu husika.
 
Tuliwazidi ndio maana tuliuchezea sana mpira wakati Mohammed Salah akiwamo msianze kudanganya watu kuwa ilikuwa plan yenu. Hiyo kabla ya kuchoka Mohammed angekuwepo tungekuwa tumeshawapiga goli za kutosha tu
Washangiliaji wa Liver kwa mahope, Madrid kawatowa mabingwa wa ligi 3 kubwa za Ulaya na kama ukifuatilia mechi za Madrid huwa wanaanza game slow kuwasoma wapinzani ndo maana kama haujapata goli ndani ya dk 20 huwezi kuwafunga. Midfield ya Liver haina hawechezaji wa kucheza muda wote wa dk 90 bila kuchoka
 
Hii idea kuwa alipotoka Salah basi Marcelo akawa free kupanda mbele sielewi kabisa.
Kwa sababu alipotoka huyo Salah nafasi yake haikubaki empty. Alikua replaced na Lallana.

Sasa iweje mseme Marcelo akabaki free kwenda kutengeneza magoli mbele wakati katoka mtu kaingia mtu.
Waulize kwani Salah wakati yumo Marcelo alikuwa hapandi mbele? Hawa vijana wanaojifanya kujiapiza Liver itabeba UEFA walizani ni mpira unaochezwa pale uwanja wa taifa
 
Kiukweli karius tunaojua mpira kwa jicho la tatu tulikuwa tunajua ipo siku atawaumbua

Game karibu zote anasaidiwa na beki, game nying timu pinzan walikuwa wanatoka bila shoot on target, halafu mashabik wa liver wanamsifia Karius,

Nilisema humu kwaninavyowajua wachezaj wa madrid wanaopiga nje ya box ni weng, hivo nilijua ataumbuka tu,

Game ya pil ya roma alianza kuumbuka,

Game nying toka aje vvd huyu karius hajakutana na mishe mishe, mpaka ya Roma, game ya man city, hawakupiga on target, game ya etihad ukuta ulimlinda, Tunaomjua karius kwa jicho la tatu, tuliposikia anacheza na madrid, tulijua shughuli imeisha, maana ina watu ambao nje ya box wanaachia machine, kuna Kroos, cr7,marcelo, bale, casemiro

Yale magoli mignolet hafungwi, labda gol la pili

Huwez kubeba kombe na kipa kama Karius,

Ni dhambi kubwa
Hahaha nan mignolet afungwi naomba ukaangalie game ya liva na asernal game ya pili ndo utajua kwann yupo bench
 
Hahaha nan mignolet afungwi naomba ukaangalie game ya liva na asernal game ya pili ndo utajua kwann yupo bench
Namjua mignolet na karius, nawafatilia sana sanaa,

Goli la Xhaka ni straight line, kimo ni juu sana, lina spid kali, kipa alikuwa na option moja tu kupanch juu, ukamshinda

Goli la bale, kimo ni cha kawaida hata kaseja angedaka, halikuwa na spid kali, option zikikuwepo kuudaka au kuupoza then kuudaka, kupanch mpira ule ni ujinga maana hata kimo chake kilikuwa ni cha kawaida

Jana nimemla hela my friend kisa huyu karius nilimwambia toka aje vvd, game nying liver hapigiw on target nyingi, na hata akipigiwa huwa ni 1-3 ambazo either anaziotea au ana zi panch ndan ya box. Na watu wanamalizia

Rejea goli la wanyama, dzeko kule roma

Halafu kama hujui Karius, likitumwa kombola hana uwezo wa kulidaka au kulipanch nje, rejea kombola la Korarov, ni Mungu nisaidie likala nguzo

Mignolet ana udhaifu wake lkn karius kazid, kwa jicho la tatu


Labda kama huwa unaangalia mpira matokeo tu,

Nakutajia kipa mwingine aliye pazia ambaye siku za kuumbuka zinakaribia ni Ederson wa man city, hata bravo ilikuwa hivo hivo ni muda tu ulikuja kuongea
 
Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos amejutia kitendo cha kumsababishia majeraha ya bega nyota wa Liverpool, Mo Salah na kumtumia ujumbe akimuomba radhi kuwa hakudhamiria kufanya hivyo.

Salah alilazimika kutoka uwanjani kipIndi cha kwanza kwenye mechi ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Liverpool ikitifuana na Real Madrid.

Mchezo huo ambao ulibadilika baada ya Salah kutoka nje, uliisha kwa Real Madrid kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 na kunyakua taji la ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo na ikiwa ni mara ya 13 katika historia ya mashindano hayo.

Machozi ya Salah yaliwafanya mashabiki waliokuwa uwanjani hapo kushika tama, huku wengine wakishika vichwa kwa hofu majaraha aliyopata huenda yakamsababisha kushindwa kuichezea timu ake ya Misri katika mashidano ya Kombe la Dunia.

Mashabiki wa Liverpool wamemtupia lawama Ramos kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kumsababishia majeraha makubwa Salah katika bega.
 
Mchezo wa Jana Ramos ndio ali amua matokeo baada ya kutaka kuchomoka na kwapa kama si bega la Salah, hapo ndipo mambo yalipo anza kubadilika...,

Mchezo wa Jana Ramos ndio ali amua matokeo baada ya kutaka kuchomoka na kwapa kama si bega la Salah, hapo ndipo mambo yalipo anza kubadilika...,

IMG-20180527-WA0006.jpg
 
Baada ya Nyota wa Liverpool kupelekwa hospitalini na kufanyiwa vipimo vya awali X-Ray ili kubaini ukubwa wa tatizo lililomkabili, taarifa inaeleza kwamba mchezaji huyo hajapata majeraha makubwa na anaweza kupona haraka kabla ya kuanza fainali za Kombe la Dunia.

Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka la Misri inaeleza kuwa uchunguzi wa awali unaonyesha hali yake sio mbaya sana.

Chama hicho cha soka cha Misri kilitoa taarifa yake jana baada ya fainali hiyo kuisha ikieleza kwamba, daktari wa timu hiyo amewaeleza maofisa wa afya ya Liverpool kuwa wanaamini Salah hasumbuliwi na tatizo kubwa na atakiwa kufikiria kuwa atacheza Kombe la Dunia.
 
Ticha: nani kafunga?
Wanafunzi: Benzemaa
Ticha: aliye assist?
Wanafunzi: kipaaaaaa
Ticha: nani kafunga?
Wanafunzi: Baleeeee
Ticha: aliye assist?
Wanafunzi:kipaaaaa
Ticha:mani of the mechi?
Wanafunzi: Ramosiiiiiii
Ticha: mmetishaaa
Wanafunzi: kama kipaaaaaaa
Weweee
IMG-20180527-WA0006.jpg
 
Namjua mignolet na karius, nawafatilia sana sanaa,

Goli la Xhaka ni straight line, kimo ni juu sana, lina spid kali, kipa alikuwa na option moja tu kupanch juu, ukamshinda

Goli la bale, kimo ni cha kawaida hata kaseja angedaka, halikuwa na spid kali, option zikikuwepo kuudaka au kuupoza then kuudaka, kupanch mpira ule ni ujinga maana hata kimo chake kilikuwa ni cha kawaida

Jana nimemla hela my friend kisa huyu karius nilimwambia toka aje vvd, game nying liver hapigiw on target nyingi, na hata akipigiwa huwa ni 1-3 ambazo either anaziotea au ana zi panch ndan ya box. Na watu wanamalizia

Rejea goli la wanyama, dzeko kule roma

Halafu kama hujui Karius, likitumwa kombola hana uwezo wa kulidaka au kulipanch nje, rejea kombola la Korarov, ni Mungu nisaidie likala nguzo

Mignolet ana udhaifu wake lkn karius kazid, kwa jicho la tatu


Labda kama huwa unaangalia mpira matokeo tu,

Nakutajia kipa mwingine aliye pazia ambaye siku za kuumbuka zinakaribia ni Ederson wa man city, hata bravo ilikuwa hivo hivo ni muda tu ulikuja kuongea
Nimekuelewa mkuu dah bahat mbaya ipo na ishatokea ila kwangu mm bora karius mara 10 kuliko mig kipa gan yani mpira ukipita mabeki tu ujue goli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom