Sababu za Liverpool kufungwa
1.Lack of maturity
Baada ya salah kuumia, timu yote ilichanganyikiwa na kutoka mchezoni.
2.Hawana kiongozi
Hamna mtu mwamasiahaji na mwenye uwezo wa kushusha presha ili kuwarudisha wenzake mchezoni.
3.Kipa - huyu leo ameifanya Liverpool iwe kama gagulo linabana juu chini linaachia,yaani huyu ni wakugawa bure.
Tatizo kubwa la liverpool ina wachezaji wenye kiwango cha kawaida sana
Fainali sio bahati, ni mbinu,
Madrid alivokua kaanza slow aliwapa matumaini liva wakati huo liva alikua anataka kumaliza game mapema.
Mkubwa ni mkubwa tu![]()
Hakuna cha Modric wala sijui Casamiro wala sijui Modric wala CR!
Hayo ni majina tu na Liverpool tumepoteza sababu ya kipa mvuta bange wala hamna kingine!
Yote sababu ya beki bora wa dunia View attachment 787263
.....its true ! Keeper wetu aliamua kubeti !John Barnes: “A lot of people feel the game will be won by the attack,” he says. “But I think it will be won by the defence. Both teams can attack and score goals, but whoever defends best will win.”
Jinsi Dunia ilivyomuandama Karius Sijui Kama Ataunga!!
View attachment 787265
Karius needs all support in the world after Madrid clangers but Liverpool career should be over
Mark Doyle
Liverpool angekuwa na Asensio, Vasquez benchi angechukuwa kombe sub za kina CAN, LALANA, INGS hata FA haupati kila siku unatusumbua kwa vimaneno leo umekuja na partner bora wakati wachezaji 90 % ulionao hawajakomaa ,UEFA sio michezo ya majaribio klop ataendelea kuliona kwa mbaliHawezi rudi Liverpool huyu mwehu!
Hata alipo toka Salah bado Liverpool wali match na Madrid
CR anaenda kwa TAA moto anakuja kwa Robo moto anaruka ruka tu
VVD na Lovren ni patner bora kwa sasa Yurope
Kwa hiyo mzeeiya ulitaka Cristiano a-shine ndiyo uone Loserfools wamefungwa kwa kuzidiwa? Maana unavyolalamika hadi unatia huruma.CR anaenda kwa TAA moto anakuja kwa Robo moto anaruka ruka tu
mkuu ajali kama aliyoipata Salah sio ya Kwanza kutokea na Ramos kuhusika kwenye Ajali hiyo haiwezi kufanya asiwe beki bora duniani ndio maana tunaliona Mara Kwa Mara FiFA pro 11 wanakuja wakina chiellin,bonucci wanavuma Msimu mmoja lakini wanapotea ramos &pique wapo tu wakionyesha class is permanentBeki Bora Wa Dunia Au Wrestler Bora Wa Dunia? Hebu Fafanua.
Ni Kolichoshangaza Wengi Ni Pale Salah Anatolewa Basi Ramosi Anacheka Kwa Furaha Kama ishara Ya Kufanikiwa Plan Yake.
Kuwa na benzema ni Hazina kubwa kuliko filiminho 10 ,benzema mechi ya Bayern kafunga goli lenye kosa linaloendana na Leo, anawalazimisha mfanye makosa mtamlaumu kipa lakini pressure ni kubwa viumbe hawa Madrid wanapokuwa uwanjaniMadrid ndiyo ana kiwango kikubwa?
Wamefanya nn kwa kushinda leo?
Karius kawapa ubingwa,hayo mengine ni mahaba yenu tu kwa Madridi lkn hao akina CR leo wanakimbia kimbia tu dakika zote 90
HahahaahaaMbinu zao zilikuwa kipa Karius awape ubingwa?
Wote tumeona hii game dakika 90 hap akina Modric wanaruka ruka tu
Karius ndiyo kawapa ubingwa sio kuwapa Madrid sifa wasizo stahili
Ukiangalia stats mmezidiwa kila kitu possession 61 kwa 39,shot on na off target mmepiga nusu ya Madrid walizopiga.sijui unajitetea nn kipa alipatwa na kiwewe tu BENZ alijiposition tu anastahili sifa maana kazi ya striker ndio hiyoMbinu zao zilikuwa kipa Karius awape ubingwa?
Wote tumeona hii game dakika 90 hap akina Modric wanaruka ruka tu
Karius ndiyo kawapa ubingwa sio kuwapa Madrid sifa wasizo stahili
Hongera Mzee wa IkwiririNakuomba tuwe pamoja kwa usiku wa kesho tu
Madrid namfunga easy sana!