M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
mkuu... utabiri wako huwaga nauaminia.Goli 3 za uhakika kabisa tunawafunga hutaamini, huenda mpaka goli za ziada, na wao wataambulia goli 1 tu, zikizidi ni 2, narudi Dar sasa natoka Lushoto![]()
zile fujo zetu za goli 3 ndani ya dakika 30 hawa R Madrid sidhani kama wana defence ya kuzizuia!