Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Si kweli
Uliyo ongea yote hamna chochote cha ukweli
Katoka salah tumesawazisha bao baada ya kuwapa bao la kipuuzi Madrid
Tulitoka mchezoni vipi wkt tumesawazisha bao na huyu kipa mwehu kawapa mabao mawili ya kijinga?
Madrid na Liverpool walienda toe to toe hata Salah alipo umia!
Kipa gives Madrid championship.Hayo mwngine ni mbwembwe tu
Sijajua mpira uliangalia dk ya ngapi, dk za mwanzo Liverpool wali possess kuliko Madrid kutoka mwanzo mpaka salah alipoumia mpira ukabadilika kabisa Madrid wakaanza kutawala na hata wale watangazaji waliliona hili na Waka coment mambo mawili lack of maturity na timu kutokuwa na kiongozi na hata kabla kipindi cha pili, mmoja wa wale wachambuzi aka comment kwamba, liver wamekosa kiongozi na wachezaji wake hawajapevuka na ndicho kilicho wagharimu liver japokuwa walijaribu kuchomoa goli, lkn hawakuwa mchezoni baada ya salah kutoka, wote walipoteana.yaan jana Madrid wamshukuru huyu fala Ramos, ndiye aliyesabisha haya lkn jana Ronaldo, modric, marcelo nk wote walipotea lkn alivyoumia salah, tu hata effect ya marcelo uliiona. Kwa kifupi walioamua mechi ni watu wawili Ramos na marcelo ambao wote jana macho yao yalikuwa kwa salah.
 
Alipotoka tu Salah timu nzima ilichanganyikiwa, kuanzia benchi mpaka uwanjani
kabla Y Salah kutoka Madrid hawakuweza kupiga shoot hata mara moja na tulikuwa tunawa press vizuri kutoka Mo tu utaona shock ya kila mtu mpaka mashabiki halafu anakuja yule kipa anatoa zawadi sio moja mara mbili. akatafute team ya kucheza mwakani sio Liver. Ramos ni katika watu wa hovyo sana kamvunja mkono Mo halafu anajirusha ili mtu apewe red utasema mtoto mdogo.
 
Mbinu zao zilikuwa kipa Karius awape ubingwa?
Wote tumeona hii game dakika 90 hap akina Modric wanaruka ruka tu
Karius ndiyo kawapa ubingwa sio kuwapa Madrid sifa wasizo stahili
Hapo sijui nani ndo alikuwa anaruka ruka tu
Screenshot_20180527-082426.jpg
 
Mbinu zao zilikuwa kipa Karius awape ubingwa?
Wote tumeona hii game dakika 90 hap akina Modric wanaruka ruka tu
Karius ndiyo kawapa ubingwa sio kuwapa Madrid sifa wasizo stahili


Mkuu sijui unaongea nini, wote tumeona mpira, Real Madrid walikuwa kwenye possession for the entire 90 minutes. Na ndio kosa walilofafanya Liverpool, huwezi kumwacha opponent wako apige mpira saa zote, lazima upoteze game. Kwa hiyo sikubaliani na wewe eti Real Madrid walikuwa wanarukaruka, nilichoona mimi Liverpool walipaki bus, sijui nani alikuwa mshauri wa Klop, Mourinho?
 
kabla Y Salah kutoka Madrid hawakuweza kupiga shoot hata mara moja na tulikuwa tunawa press vizuri kutoka Mo tu utaona shock ya kila mtu mpaka mashabiki halafu anakuja yule kipa anatoa zawadi sio moja mara mbili. akatafute team ya kucheza mwakani sio Liver. Ramos ni katika watu wa hovyo sana kamvunja mkono Mo halafu anajirusha ili mtu apewe red utasema mtoto mdogo.


Ukiangalia vizuri stats hapo juu, utaona Liverpool wamecheza foul 18 dhidi ya Real Madrid, lakini ukifungwa hazionekani, right?
 
Henderson: "It is not the mistakes Loris Karius made, we got to the final as a team and lose as a team. It is about everybody.“
 
Klopp: "I did the best I could and it wasn't good enough. Sorry." [HASHTAG]#LFC[/HASHTAG]
 
Klopp described Ramos challenge on Salah as "harsh" - "Mo has gone to hospital for an x-ray. It is either the collar bone or the shoulder itself. It is very bad for Mo, very bad for us, very bad for Egypt."
 
Klopp on Karius: "I only had a few words after the game. there is nothing to talk in the moment. I really feel for him, nobody wants that. The mistakes were obvious, we don't have to talk about it. He has to deal with it, we will do that. We will be with him, for sure." [HASHTAG]#LFC[/HASHTAG]
 
The National in Italy to check on the case of Muhammad Salah
Reported officials Liverpool he was an X on the
Shoulder Salah al showed that the injury alarmed the ligaments of the detailed
Shoulder he Dr. Abu-flag expressed optimism that the notice
Salah matches of the World Cup with this diagnosis .
— EFA.eg (EFA) May 26, 2018
 
Here is the Egyptian FA statement below
ﺍﻟﻮﻃﻨﻲ ﻓﻲ ﺇﻳﻄﺎﻟﻴﺎ ﻟﻼﻃﻤﺌﻨﺎﻥ ﻋﻠﻰ ﺣﺎﻟﺔ ﻣﺤﻤﺪ ﺻﻼﺡ
ﺃﻓﺎﺩ ﺍﻟﻤﺴﺌﻮﻟﻮﻥ ﺑﻠﻴﻔﺮﺑﻮﻝ ﺃﻧﻪ ﺗﻢ ﺇﺟﺮﺍﺀ ﺍﻵﺷﻌﺔ ﻋﻠﻰ
ﻛﺘﻒ ﺻﻼﺡ ﻭﺃﻇﻬﺮﺕ ﺃﻥ ﺍﻻﺻﺎﺑﺔ ﺟﺰﻉ ﻓﻲ ﺃﺭﺑﻄﺔ ﻣﻔﺼﻞ
ﺍﻟﻜﺘﻒ ﻭﺃﻋﺮﺏ ﺍﻟﺪﻛﺘﻮﺭ ﺃﺑﻮ ﺍﻟﻌﻼ ﻋﻦ ﺗﻔﺎﺅﻟﻪ ﺑﺄﻥ ﻳﻠﺤﻖ
ﺻﻼﺡ ﺑﻤﺒﺎﺭﻳﺎﺕ ﻛﺄﺱ ﺍﻟﻌﺎﻟﻢ ﻭﻓﻖ ﻫﺬﺍ ﺍﻟﺘﺸﺨﻴﺺ .
— EFA.eg (EFA) May 26, 2018
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom