Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,566
Kesho asubuhi supu ya kuku
Kuumia sio sababu sema ufinyu wa kikosi salah atakuwepo milele pale?Sababu 3 kuu za kufungwa:
1- Uzembe wa goalkeeper kuruhusu magoli mawili ya hovyo..
2- Ufinyu wa kikosi..
3- Kuumia kwa Salah..
[HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]
Kuwa appreciative basi mkuu,
Klopp ni kocha bora aliekuja Liverpool, performance ya leo ilikuwa nzuri ila majeruhi ya Salah yanaweza kuwa ni sababu kubwa ya kupigwa leo
Mkuu KLOPP sijamponda! Mbona Ninamkubali Sana! ila simuamini katika Fainali kutokana Na Rekodi Yake Ya Kupoteza
Kuondoka kwa Coutinho kumetugharimu sana mkuu. Vile vile eneo la kiungo katika timu kiujumla lilipata mtikisiko baada ya mapengo mawili ambayo ni ya Coutinho na Emre Can. Kuhusu Forward mi nadhani Uwezo wetu wa kifedha ndio inaweza kuwa sababishi, maana pesa Klopp amezitumia vizuri.
Hawa jamaa wangeshina na vile hatuna hata kakombe ka kusingizia moto ungetuwakia vibaya sana.Yaani nilikuwa nawaza sana hilo nasema nawasapot sababu ya England tu na mwanetu Salaah ila so siri tungekomaaaa!!! Tungefufuliwa na yote yale ya kabatini ya Enzi zileeeee!!
Jifunze kuandika vizuriHawa jamaa wangeshina na vile hatuna hata kakombe ka kusingizia moto ungetuwakia vibaya sana.
Alipotoka tu Salah timu nzima ilichanganyikiwa, kuanzia benchi mpaka uwanjaniKuna muda nlikiwa namuona klopp anataka kufanya mabadiliko lilipoingia goli la pili lakini kule benchi haoni mtu sijui hii timu imefikaje fainali.
Tumekufa kishijaa. Nilichogundua mbali na silly mistake za Karius, na Majeraha ya Salah Liverpool wanakikosi kidogo sana. Yaani baada ya kuumia Salah backup yake ni lalana, serious kweli! Kwenye banch kulikuwa na wagalasa kibao yaliyobakia. Liverpool inaitaji kikosi kikubwa.
Kloop ni kocha mzuri. Nimeumia na nimemsikitikia sana hii ni fainali yake ya 3 anapoteza. All in all we r liverpool.
Nafikir ukiwepo mtihani wa kuingia kidato flani au daraja flani huwa tunaandika vizur ila hapa tupo kujiachia tuJifunze kuandika vizuri
MhKLOPP for life
Huyu apewe mkataba wa maisha kama enzi zile akina Bill shanky na Bob Pleasey na Jon Fagan
Kuondoka Liverpool hadi siku kifo kinamchukua!
Liverpool ni best team Ulaya as we speak now!
Dah!! Mwaka huu nao umetukalia vibaya yaani hadi la mbuzi likatutoka yaani tungekomaaaa!!!Hawa jamaa wangeshina na vile hatuna hata kakombe ka kusingizia moto ungetuwakia vibaya sana.
Brother toa kwanza pole siyo tabia nzuri kuonesha tabia hizi msibaniI love you karius

Brother toa kwanza pole siyo tabia nzuri kuonesha tabia hizi msibani![]()

Hahahaaaa, nina furaha leo dada angu acha tu!Brother toa kwanza pole siyo tabia nzuri kuonesha tabia hizi msibani![]()
Mkuu Klopp Si Kwamba Hana Uwezo Wa Kununua Centre Forward! Bali Ndiyo Ameshajiamulia Kuchezesha Timu Bila Ya Striker Na Ndiyo Mana Humsikii Kuingia Sokoni Kutafuta Striker.