Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Karius gave Madrid a champion!
Hamna cha Modric wala Kroos wala CR!
Tumepoteza game sababu ya kipa
 
Mkuu sijui unaongea nini, wote tumeona mpira, Real Madrid walikuwa kwenye possession for the entire 90 minutes. Na ndio kosa walilofafanya Liverpool, huwezi kumwacha opponent wako apige mpira saa zote, lazima upoteze game. Kwa hiyo sikubaliani na wewe eti Real Madrid walikuwa wanarukaruka, nilichoona mimi Liverpool walipaki bus, sijui nani alikuwa mshauri wa Klop, Mourinho?


Sio entire 90mins, Ni only 60mins after Mo injury. Kabla Ya Kuumia Mo Salah tulikuwa Upper Hand Na tuliwakamata Kila idara! Lakini alipoumia Mo Salah tu Marcelo Akaanza Kuamsha Popo hapo Ndiyo Balaa lilipoanzia.

Ni Kweli Madrid Walicheza Uzuri as a Team Lakini individually Mchezaji Kama Ronaldo, Kroos Na Modric hawakuwa Na Mchezo Mzuri.
 
Sio entire 90mins, Ni only 60mins after Mo injury. Kabla Ya Kuumia Mo Salah tulikuwa Upper Hand Na tuliwakamata Kila idara! Lakini alipoumia Mo Salah tu Marcelo Akaanza Kuamsha Popo hapo Ndiyo Balaa lilipoanzia.

Ni Kweli Madrid Walicheza Uzuri as a Team Lakini individually Mchezaji Kama Ronaldo, Kroos Na Modric hawakuwa Na Mchezo Mzuri.

Mane pekee yake aliwaweza hawa!
Huyu kipa mwehu aliwapa game kwa bao mbili
 
kabla Y Salah kutoka Madrid hawakuweza kupiga shoot hata mara moja na tulikuwa tunawa press vizuri kutoka Mo tu utaona shock ya kila mtu mpaka mashabiki halafu anakuja yule kipa anatoa zawadi sio moja mara mbili. akatafute team ya kucheza mwakani sio Liver. Ramos ni katika watu wa hovyo sana kamvunja mkono Mo halafu anajirusha ili mtu apewe red utasema mtoto mdogo.

Niliwahi Kucomment Mara Nyingi Tu Kuwa Timu Yetu inahitaji Classy Striker wakuweza Kubadilisha Mchezo Kwasababu Tunapomkosa Mo Salah tu Huwa Hatuna Ubunifu Tena Wala Plan B.

Kwasababu Goli la Kwanza la Benzema Ni Kweli Real Hawakulipata Kwa Pressure Yoyote! ilikuwa Ni Zawadi tu.

Lakini Magoli Ya Bale Yote Real Wameyapata Kutokana Na Kutufanyia Pressure Kubwa Kwa Kuwa Muda Mwingi Wapo Golini Kwetu sisi tukiishia Kubutuwa Na Kupoteza Mipira.

Huwezi Kumtoa Mo Salah Kwa Sub Ya Lallana hapa tusidanganyane wala Mtu asilazimishe Kutuaminisha Kuwa Kuumia Mo Salah Hakukua Na Athari! Mwanzoni Nilijaribu Kujiaminisha Kuwa Haina Athari Kwa lengo la Kujishusha Pressure Lakini Ukweli Tumeuona.

Mtazame Firmino baada Ya Kutoka Salah tu Kageuka Mzururaji Kama Panya Rodi.

Tunahitaji Usajili Wa Nguvu Huu Ndiyo Ukweli.
 
Sijajua mpira uliangalia dk ya ngapi, dk za mwanzo Liverpool wali possess kuliko Madrid kutoka mwanzo mpaka salah alipoumia mpira ukabadilika kabisa Madrid wakaanza kutawala na hata wale watangazaji waliliona hili na Waka coment mambo mawili lack of maturity na timu kutokuwa na kiongozi na hata kabla kipindi cha pili, mmoja wa wale wachambuzi aka comment kwamba, liver wamekosa kiongozi na wachezaji wake hawajapevuka na ndicho kilicho wagharimu liver japokuwa walijaribu kuchomoa goli, lkn hawakuwa mchezoni baada ya salah kutoka, wote walipoteana.yaan jana Madrid wamshukuru huyu fala Ramos, ndiye aliyesabisha haya lkn jana Ronaldo, modric, marcelo nk wote walipotea lkn alivyoumia salah, tu hata effect ya marcelo uliiona. Kwa kifupi walioamua mechi ni watu wawili Ramos na marcelo ambao wote jana macho yao yalikuwa kwa salah.


Haya Uliyoyaeleza Ndiyo Niliyoyaona Mimi
 
Hii timu imefika fainali kimagumashi Sana!



Walikua hawataki kusikia hii kauli kabsa ila ndo ukweli



Mbinu zao zilikuwa kipa Karius awape ubingwa?
Wote tumeona hii game dakika 90 hap akina Modric wanaruka ruka tu
Karius ndiyo kawapa ubingwa sio kuwapa Madrid sifa wasizo stahili
Statistics za mechi izo hapo na kuna mda ilikuwa position ya 78-22 sasa unaweza bila aibu kusema kipa ndokawapa ubingwa wakati unajionea ww mwenyewe kila sehemu mulizidiwa vibaya na hata ivyo mlijitaid ilibid mpigwe nying said ya hapo.
Screenshot_20180527-092730.jpg
 
Kuwa na benzema ni Hazina kubwa kuliko filiminho 10 ,benzema mechi ya Bayern kafunga goli lenye kosa linaloendana na Leo, anawalazimisha mfanye makosa mtamlaumu kipa lakini pressure ni kubwa viumbe hawa Madrid wanapokuwa uwanjani


Acha Kuongea Uongo! Goli La Benzema Hapakuwa Na Pressure Yoyote.

Mpira Aliudaka Kipa Akiwa Peke Yake Katulia! Bali Alijifanya Ana Haraka Katika Kuanza Ndiyo Akamuanzia Benzema Mguuni.

Goli la Pili la Gareth Bale Ndiyo Unaweza Sema Kipa Kafungisha Lakini Kutokana Na Pressure Ya Mchezo.
 
Acha Kuongea Uongo! Goli La Benzema Hapakuwa Na Pressure Yoyote.

Mpira Aliudaka Kipa Akiwa Peke Yake Katulia! Bali Alijifanya Ana Haraka Katika Kuanza Ndiyo Akamuanzia Benzema Mguuni.

Goli la Pili la Gareth Bale Ndiyo Unaweza Sema Kipa Kafungisha Lakini Kutokana Na Pressure Ya Mchezo.
Kitendo cha kipa kuharakisha kurusha mpira ndiyo pressure yenyewe
 
Statistics za mechi izo hapo na kuna mda ilikuwa position ya 78-22 sasa unaweza bila aibu kusema kipa ndokawapa ubingwa wakati unajionea ww mwenyewe kila sehemu mulizidiwa vibaya na hata ivyo mlijitaid ilibid mpigwe nying said ya hapo.
View attachment 787353


Ni Kweli Real Walituzidi Kwa Kila Kitu na Sipingi Mawazo Yako Lakini Ulimtoa Bayern Akiwa Yupo Juu Kwa Stats dhidi ya Real.

Kwahiyo Stats Sio Zinazo-Matter Katika Ushindi.

Ukweli Ni Kwamba Labda Tupe Sababu Za Msingi Za Kutuaminisha Kuwa KARIUS hakufungisha Magoli Mawili Na Kuwawezesha Real Kuwa Mabingwa.
 
Kitendo cha kipa kuharakisha kurusha mpira ndiyo pressure yenyewe

Sio Pressure Kwa Sababu Bado ilikuwa 0 - 0 .

Pressure inakuja Pale umeshafungwa Muda Unaelekea Ukingoni Ndiyo Pressure inakuforce Uanze Haraka ili Ukasawazishe Kama Walivyokuwa Wanafanya Bayern Kwa Real.

Lakini Kwa Karius Wakati Ni 0 - 0 palikuwa Pana Haja Gani Ya Kuforce Kuanza Mpira Fasta?
Hile Mkuu Haikuwa Pressure Bali Ulikuwa Ni Uzembe (Carelessness) Wa Kufanya Haraka Kuanza Mpira Bila Ya Kuangalia Kuwa Benzema Anauvizia.
 
Ni Kweli Real Walituzidi Kwa Kila Kitu na Sipingi Mawazo Yako Lakini Ulimtoa Bayern Akiwa Yupo Juu Kwa Stats dhidi ya Real.

Kwahiyo Stats Sio Zinazo-Matter Katika Ushindi.

Ukweli Ni Kwamba Labda Tupe Sababu Za Msingi Za Kutuaminisha Kuwa KARIUS hakufungisha Magoli Mawili Na Kuwawezesha Real Kuwa Mabingwa.
Kilichosababisha yeye kufungisha ni pressure ya mchezo
 
Next Season iwapo Nitamuona LORIS KARIUS au SIMON MIGNOLET wanasimama Tena golini Basi Nitaongoza Mashambulizi Dhidi Ya Klopp Hata Kama Member Wengine Watachukia.
 
Sio Pressure Kwa Sababu Bado ilikuwa 0 - 0 .

Pressure inakuja Pale umeshafungwa Muda Unaelekea Ukingoni Ndiyo Pressure inakuforce Uanze Haraka ili Ukasawazishe Kama Walivyokuwa Wanafanya Bayern Kwa Real.

Lakini Kwa Karius Wakati Ni 0 - 0 palikuwa Pana Haja Gani Ya Kuforce Kuanza Mpira Fasta?
Hile Mkuu Haikuwa Pressure Bali Ulikuwa Ni Uzembe (Carelessness) Wa Kufanya Haraka Kuanza Mpira Bila Ya Kuangalia Kuwa Benzema Anauvizia.
Alikuwa na pressure ya kuwafunga madrid chap chap
 
Pressure Ni Goli La Bale Sio la Benzema.
La Benzema ni Totally unacceptable Na Uzembe Wa Kiwango Cha Lami.
Kwakua lilisawazishwa sio?game plan yenu ilkua mmalize mechi mapema ndio maana kipa alkua na wenge hilo.
Ila unaroho ngumu mkuu kufatlia coments humu
 
BTW: √ Nimpongeze Klopp angalau Kwa Kutuonesha Improvement Ya Performance Ya Timu Yetu.

√ Na Kwasasa Nasita Kumlaumu Karius Kwani Golini Hakujiweka Bali Kaekwa! Kwahiyo Kama Ni Lawama Basi Anayestahiki Ni Yule Aliyemueka.

√ Pia Ninawapongeza Wachezaji Kwa Kuonesha Solidarity Na Kujituma.

√ Ninawapongeza Member Wezangu Wote pamoja Na Watani Zetu (Manure, Chelshit na Arsen8) Tuliokuwa Pamoja Kwa Season Nzima.

√ Pia Ninampongeza Mkuu Malafyale Kwa Kuonesha Special Character Kwa Timu Yetu Hususan Hile Kauli Yake Ya 'Nani Hayaogopi Majogoo' anapotembelea Nyuzi Za Majirani. Sio Siri Mkuu Washabiki Wengi Wa [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] walitamani Tushinde kuliko Kombe Kwenda Spain Lakini Walikuogopa Wewe Walijua Hutawaacha Salama Kwenye Majukwaa Yao Ndiyo Mana Wakaona Bora Liende Spain. 😀😀😀.


KWA SASA MIMI NAJIFUNGIA RASMI MJADALA WA MECHI YA JANA NA NINAWAOMBA NA MEMBA WAENZANGU WAFUNGE PIA.

KWAHIYO NINAOMBA MTU ASINIQUOTE WALA ASINITAG (MENTION) KWA MECHI YA JANA.


Bali Kwa Sasa Nitazungumzia Kuhusu USAJILI na TATHMINI YA MSIMU WA 2017/18 tu.
 
Niliwahi Kucomment Mara Nyingi Tu Kuwa Timu Yetu inahitaji Classy Striker wakuweza Kubadilisha Mchezo Kwasababu Tunapomkosa Mo Salah tu Huwa Hatuna Ubunifu Tena Wala Plan B.

Kwasababu Goli la Kwanza la Benzema Ni Kweli Real Hawakulipata Kwa Pressure Yoyote! ilikuwa Ni Zawadi tu.

Lakini Magoli Ya Bale Yote Real Wameyapata Kutokana Na Kutufanyia Pressure Kubwa Kwa Kuwa Muda Mwingi Wapo Golini Kwetu sisi tukiishia Kubutuwa Na Kupoteza Mipira.

Huwezi Kumtoa Mo Salah Kwa Sub Ya Lallana hapa tusidanganyane wala Mtu asilazimishe Kutuaminisha Kuwa Kuumia Mo Salah Hakukua Na Athari! Mwanzoni Nilijaribu Kujiaminisha Kuwa Haina Athari Kwa lengo la Kujishusha Pressure Lakini Ukweli Tumeuona.

Mtazame Firmino baada Ya Kutoka Salah tu Kageuka Mzururaji Kama Panya Rodi.

Tunahitaji Usajili Wa Nguvu Huu Ndiyo Ukweli.
Ni kweli maneno yako. Mimi sitaki kumalumu Firminho sababu kubwa wao wamezoea kucheza 3 mbele inampa nafasi ya Firminho kutokaa sehemu moja ana shift pembeni na kati wanabadilisha inakuwa tabu kuwakamata. alipotoka Salah mfumo wa 433 ukawana hauna mbadala ikabidi waende 442 ina maana muda wote anakuwa kati na defenders hiyo sio style ya Firminho. solution ni kuwa na mbadala wa mfumo kama tumeshindwa 433 unaingiza striker. chukulia jana kama tungekuwa na striker wa maana tungemuingiza ili Firmnho acheze kama inside 10. ukweli tunahitaji kikosi kikubwa kidogo ila kipa hapana tumtoe bure aende tu lazima kipa wa Roma au Ath Madrid tumchukue. pamoja na madrid kupress lakini hawakuwa tishio sana chance za wazi maana Ronaldo alifichwa na watoto hata Benzema. tunahitaji ku add 5 players moja ni kipa lazima.
 
Liverpool’s Lovren kuna mtu bado ana wasi wasi nae?
Kuja kwa VVD kumefanya Lovren awe mtu na nusu
I am real proud of my team isipokuwa yule mwehu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom