Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Team ipi EPL haitafungwa mechi hizi za mwisho?
Tukifungwa sio sawa kuitukana team
Tukishinda mnajaa hapa kuipongeza team
Tabia za ajabu sana hizi za baadhi ya wana Kop
EPL ni ligi ngumu sana,hizo teams zote a juu yetu zitapoteza games zao
Tuendelee kuiandika vizuri team yetu
Ukichukia nakushauri acha kuandika
Tukifungwa sio sawa kuitukana team
Tukishinda mnajaa hapa kuipongeza team
Tabia za ajabu sana hizi za baadhi ya wana Kop
EPL ni ligi ngumu sana,hizo teams zote a juu yetu zitapoteza games zao
Tuendelee kuiandika vizuri team yetu
Ukichukia nakushauri acha kuandika
