Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

16939326_1872256722996414_2040489640631723605_n.png
 
Hili chama letu limekuwa pasua kichwa sana, tumeshaharibu tangu mwezi uliopita, suala la msingi tujipange tumalize mechi zilizobaki, tuone maajabu ya wenye timu kwenye dirisha la usajili.
YNWA.
 
Hili chama letu limekuwa pasua kichwa sana, tumeshaharibu tangu mwezi uliopita, suala la msingi tujipange tumalize mechi zilizobaki, tuone maajabu ya wenye timu kwenye dirisha la usajili.
YNWA.
Mkuu sidhani kama kuna maajabu yatakayotokea kwenye usjili wa dirisha lijalo FSG wabahili sijui kwa transfer hii kama watajitoa akili ya ubahili na kusajili wachezaji wazuri.

YNWA
 
Tatizo ni ujeuri wa klopp

Eti dirisha dogo huez pata wachezaji unaowahitaji shame on him. ..

Haoni ata aibu kutudanganya. ..imani tuloweka kwake ni kubwa ila result yke ni kutuzalilisha

*wenger new version*
 
Tatizo ni ujeuri wa klopp

Eti dirisha dogo huez pata wachezaji unaowahitaji shame on him. ..

Haoni ata aibu kutudanganya. ..imani tuloweka kwake ni kubwa ila result yke ni kutuzalilisha

Bahat nzur amekuta tunajua kuongea tu. .wapinzani wanatuheshimu

*wenger new version*
Kocha hamtaki Sakho beki ambaye ana uzoefu na EPL then anamchezesha kiungo Lucas kama CB,kama akishindwa kutengeneza defence atafuata nyayo za Brendan Rodgers
 
Mkuu King Ngwaba upo?

Mkuu Nipo....


Hehehehehe nafasi ya sita inawahusu sasa


Nafasi ya 6 Kasema nani? Hapo ni sawa na uliyetupa Ubingwa!!! Nafasi yetu ya 8 tuliyoizowea ndiyo inayotuhusu... Coz kuna ving'aninizi Kina STOKE, PALACE, WBA, BURNLEY, WATFORD, WEST HAM and the likes! Lazima Hapo Tuche points za watu tu....
 
Kocha hamtaki Sakho beki ambaye ana uzoefu na EPL then anamchezesha kiungo Lucas kama CB,kama akishindwa kutengeneza defence atafuata nyayo za Brendan Rodgers
Mimi ngoja niwaambie tuu wana liverfools ni hivi,

1.hamna back line ya maana, hii tatizo ni kocha hajiongezi maana nilitarajia january angesajili lakini akapotezea

2.hamna midfield yenye akili kama hererra au fabrigace ambae anaweza kucontroll tempo ya mchezo huyo handerson anajitahidi sana lakini nae bado yuko kawaida sana

3.golini kuna matatizo tupu hakuna cha maana!!!

4.hii ndo funga kazi!! Wachezaji karibia wote ni mediocre, si ajabu hata kocha nae akawa vilevile!!

Milikuwa nafasi ya pili hadi inafika december, kocha akaanza kujisemesha ujinga wake, leo mko nafasi ya ngapi?? Na siajabu mkawa chini zaidi ya hapo hadi msimu unaisha, kwa sasa msijisumbue kujilinganisha na chelsea kwasababu sio mediocre kama nyie.

Mnahaha kumaliza top 4 wakati huohuo mko katika mchuano mmoja tuu na ingekuaje mngekua kama man u.

Sasa hivi jitofautisheni kabisa na kundi la club kubwa EPL, level yenu sasa hivi ni sawa na akina everton tuu kasoro historia maana kama ni jina hata aston villa analo, na tunapowaambia jitahidini kuelewa!!
 
Carragher: "Liverpool are on course to concede 50 goals again this season and Klopp hasn't rectified that.

There's no way you are going to win anything conceding that amount of goals, it's just impossible to do that."
 
Man U wana Ibrahimovich...
Chelsea wana Diego Costa...
Man City Wana Aguero/Jesus
Spurs wana Hanry Kane
Liverpool wana ???????

Halafu hapo eti unamkutia mtu anawaza top 4, Sorry! Anawaza nafasi ya 6!!!!
Tuweni Wa Kweli Hapo hata ya 6 itatushinda na tunadondokea ya 8....…

Hakuna Timu iliyowahi kuchukua ubingwa bila ya World Class Striker...

Hata Lesta last season Vardy alikuwa Katika Kiwango cha World Class na ndiyomaana Aliweza Kuscore Game Muhimu Sana Na Kupata Ubingwa....

Kwa Striker Hawa Firmino, Origi na Sturidge mimi wala sijipi tabu ya Kuota Top 4....
 
Hebu tufanye mlinganisho kidogo wa sub.

Liverpool subs
Alexander-arnold,karius,klavan,moreno,origi,stewart na woodburn

Spurs subs
Janssen,sissoko,son,trippier,vorm,wimmer,winks

Man u subs
Blind,carrick,fellaini,rashford,romero,rooney,young

Man city subs
Bravo,delph,ihenacho,navas,nolito,fernando,zabaleta

Arsenal subs
Ospina,elneny,giroud,monreal,gabriel,walcot,welbeck

Chelsea subs
Batshuayi,begovic,willian,loftus cheek,mativ,terry,zouma.

Hivi liverpool are you serious??!! You deserve to be called liverfools

Unataka ubingwa hata subs za maana hauna, kaondoka mane amerudi timu imeshapoteana kinomaa haijui hata inataka nini tena!!

Bora basi first 11 ingekua tishio lakini nayo waapiii!!!! Jamani jipangeni upya ndo mrudi kuwa timu kubwa ila kwa sasa ni kokoro

nacheka kwa dharaaau!!!!! ni ushabiki tuu ila ndo ukweli
 
Hebu tufanye mlinganisho kidogo wa sub.

Liverpool subs
Alexander-arnold,karius,klavan,moreno,origi,stewart na woodburn

Spurs subs
Janssen,sissoko,son,trippier,vorm,wimmer,winks

Man u subs
Blind,carrick,fellaini,rashford,romero,rooney,young

Man city subs
Bravo,delph,ihenacho,navas,nolito,fernando,zabaleta

Arsenal subs
Ospina,elneny,giroud,monreal,gabriel,walcot,welbeck

Chelsea subs
Batshuayi,begovic,willian,loftus cheek,mativ,terry,zouma.

Hivi liverpool are you serious??!! You deserve to be called liverfools

Unataka ubingwa hata subs za maana hauna, kaondoka mane amerudi timu imeshapoteana kinomaa haijui hata inataka nini tena!!

Bora basi first 11 ingekua tishio lakini nayo waapiii!!!! Jamani jipangeni upya ndo mrudi kuwa timu kubwa ila kwa sasa ni kokoro

nacheka kwa dharaaau!!!!! ni ushabiki tuu ila ndo ukweli

d90864a79af6c259357b445d09aa38cc.jpg
 
Nafasi ya 6 Kasema nani? Hapo ni sawa na uliyetupa Ubingwa!!! Nafasi yetu ya 8 tuliyoizowea ndiyo inayotuhusu... Coz kuna ving'aninizi Kina STOKE, PALACE, WBA, BURNLEY, WATFORD, WEST HAM and the likes! Lazima Hapo Tuche points za watu tu....

Mkuu naona timu imekuchosha kabisa. Pole sana ila kocha anazingua na wachezaji hawana hari.
 
Mkuu Nipo....





Nafasi ya 6 Kasema nani? Hapo ni sawa na uliyetupa Ubingwa!!! Nafasi yetu ya 8 tuliyoizowea ndiyo inayotuhusu... Coz kuna ving'aninizi Kina STOKE, PALACE, WBA, BURNLEY, WATFORD, WEST HAM and the likes! Lazima Hapo Tuche points za watu tu....
Hahahaha, futa basi ile kauli yako kabla ya mwezi may
 
Poleni humu wakuu, hawa Leicester wamenishangaza sana kumbe kuvurunda kote kule walikuwa na usongo na Babu Ranieri!
 
Man U wana Ibrahimovich...
Chelsea wana Diego Costa...
Man City Wana Aguero/Jesus
Spurs wana Hanry Kane
Liverpool wana ???????

Halafu hapo eti unamkutia mtu anawaza top 4, Sorry! Anawaza nafasi ya 6!!!!
Tuweni Wa Kweli Hapo hata ya 6 itatushinda na tunadondokea ya 8....…

Hakuna Timu iliyowahi kuchukua ubingwa bila ya World Class Striker...

Hata Lesta last season Vardy alikuwa Katika Kiwango cha World Class na ndiyomaana Aliweza Kuscore Game Muhimu Sana Na Kupata Ubingwa....

Kwa Striker Hawa Firmino, Origi na Sturidge mimi wala sijipi tabu ya Kuota Top 4....
Hehehe mkuu ule ufalme wa mane umeishia wapi? Dah all in all poleni sana
 
Liverpunga hahahaha Liverpunga hahahaha Liverpunga hahahahaha ...bado wiki ijayo babu Wenger anawaweka tena najua liver haina history ya kumfunga Arsenal aahahaha ...labda mjikaze mpate droo; timu mbovu sanaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom