Feel for MB, Borini and Enrique, yaan manager unawaambia wachezaji wako watrain peke yao kisa huwatak kwenye team na unawaforce kuondoka, huwez kuyaona haya mambo kwa kina Klopp, Diego, AVB, Martinez, unai etc ambao ni makocha vijana pia..
Feel for MB, Borini and Enrique, yaan manager unawaambia wachezaji wako watrain peke yao kisa huwatak kwenye team na unawaforce kuondoka, huwez kuyaona haya mambo kwa kina Klopp, Diego, AVB, Martinez, unai etc ambao ni makocha vijana pia..
Kuna taarifa kwamba Liverpool will be going to Fin, bila Ben na Firmino..hii imekaaje?
BR kaniudhi kweli, LFC haiendeshwi hivyo. Tulilalamika sana sana jinsi Raheem alivyotutendea kabla ya kuondoka mie naona ni kama tuliatahili kwa jinsi BR anavyowafanyia akina Mario
Kilicho nifurahisha BR anamwambia Balloteli ni choice after kina Ojo
Feel for MB, Borini and Enrique, yaan manager unawaambia wachezaji wako watrain peke yao kisa huwatak kwenye team na unawaforce kuondoka, huwez kuyaona haya mambo kwa kina Klopp, Diego, AVB, Martinez, unai etc ambao ni makocha vijana pia..
Allan & Origi
Nilidhani mechi inaanza say mbili na nusu usiku huu..