Halafu wewe sijui niseme Una Mental Disorder!!!
Who said Klopp is a good Coach?? Mimi huwa ninaiombea Timu Mazuri, Lakini simuombei Mzembe (Klopp) Mazuri...

Kwanza Kumbuka Kuwa Mimi Sitiwi Upofu na Ushindi Wa Jana Kwasababu Ninajua Wazi Kuwa Furaha Ya Jana haina Maisha Marefu! Itafata Huzuni ya karibuni tu.....

Hivi unadhani ushindi wa jana Ndiyo umesolve matatizo yote ya Timu yetu????

Bado tatizo la WALINZI WETU KUZEMBEA (Goli la Pili) na TATIZO LA KIUNGO NKABAJI, PAMOJA NA TATIZOBLA UFUNGAJI (kwani tunatengeneza nafasi nyingi za wazi na kushndwa kufunga) Lipo pale pale...

Mkuu Timu bado sana kuwa Ya Ushindani! inahitaji mabadiliko....

Mkuu Klopp ni Hero kwako tu lakini sio Kwangu mimi.

Trash
Absolute trash!
Ni ya kupuuzwa tu!
Shehe Yahaya!
 
Mistake iliyofanyika ni Okazaki kumchezea faulu kipa hayo mengine hayana ukweli but kabla
Okazaki alifunga goli akiwa clear onside refa akakataa goli akasema amezidi the sama refa amepeta penati against Emre Can nashangaa wewe unalalamika refa amewaonea

Hatuongelei tena mechi iliyo chezwa mkuu!
Trash Klopp katuongoza kwenye points tatu!
Coutihno anaanza kurudi kwenye form!
Lallana bado weeks 2
Clyne bado weeks 2

Week ijayo tunacheza CL Moscow
EPL na Newcastle
Insha Allah kocha ataongoza vyema mechi hizi mbili'
 
Gemu ya jana imetafsiri ubovu wa mabeki wa Liverpool ..hii inaonyesha klopp anatakiwa kufanya namna ili kuondoa ili tatizo. Mbele yuko njema ila magoli mengi yanafungwa kutokana na ubovu wa beki zenu. Na hii ni oppotunitu kwetu sisi ...MORATA ni lazima afanye yake ili klopp ajue kuwa beki zake ni mbovu sana.
Ulikuwa umeanza vizuri tatizo umeboronga mwishoni.
Unafikiri Liverpool ni kama Stoke?
 
1.Mignolet ****** mpira hajarudishiwa na beki na yuko eneo lake why asidake akaamua kumkwatua vardy??
2.kuhusu marefa mimi sio mlaumu marefa hata kama kazaliwa nyumbani kwa furgeson...nachojua mpira ni mchezo wa makosa. Na kila.timu inafaidika kivyake na makosa ya marefa. Tulimfunga man u 4-1 OT refa akiwa Webb na penat akatupa
3.Kloop ni kocha mzuri sema wachezaji ndio wana matatizo yao binafsi...sasa kama salah yuko na goli jeupe anapiga nje utasema shida klop? Kocha atakupa mbinu za mechi but sio kukushika.mguu kupasia nyavu...Beki lovren ana matatizo yake binafsi ya kupenda kujiamini kupitiliza...na mabeki wa liver wanauoga wa kuweka bodies on the line kama walivyokiwa akina callagher na hypia au sketel


Mkuu Kutokana na Maelezo Yako ni Kuwa Umeshaliona Tatizo la Timu kwa 100% lakini ni Mapenzi yako Kwa Klopp Yanakutia Upofu...

Hivi iwapo Salah Pekeyake Anakwenda Golini Nafasi Clear 8 na anafunga Moja unadhani Kocha anapaswa Kufanya nini??
Hapo ndiyo unapoonekana ubora wa Kocha...

JIBU:
1) Jambo la kwanza Kocha anachotakiwa afahamu ni Kuwa Salah sio Mashambuliaji (striker/Foward), bali ni Kiungo (Winger)..

2) Firmino Sio Mshambuliaji (Striker/Foward), bali ni Kiungo (Central attacking Midfielder)...

3) Lallana & Coutinho sio Washambuliaji (Striker/Foward), bali ni Viungo (Cetral attacking Midfielder).....


Sasa hapo huoni Kama timu inayocheza Na Viungo Watupu bila ya Kuwa Na Mshambuliaji (STRIKER) huwa ni Tatizo Pale inapokutana na Kibonde Kinachopaki Basi (Deep Defence) Kwani Huishia Kupiga Pasi Katika Eneo la Kati tu bila ya Kupenya Ndani ya Boksi la Wapinzani????

Hapo ndiyo Kocha Anatakiwa Awe na Natural Striker (Goalscorer/Goal taker/Goal Hunter) ambaye Ni Mviziaji Mzuri Wa Kumdungua Kipa na Kubadilisha Matokea...

Mfano wa Hao Hapa EPL katika Top Six ni:-

1) Man U - Lukaku
2) Man City - Aguero & G. Jesus
3) Spurs - H. Kane
4) Chelsea - Morata
5) Arsenal - ?
6) Liverpool - ?

Sasa hapo Kocha Kama Kashindwa Kulisolve Tatizo la Kutegemea Viungo Kama Wafungaji Kwanini Tusilisemee???

Na Kuhusu Mabeki Wetu Kusema Kutojiamini Sio Kweli!!
Bali Tatizo ni Kuwa Uwezo Wao Binafsi ni Mdogo....
Hapo Kocha Anatakiwa Atafute Beki Ambao ni Talented na sio Kina Lovren Waliokuwa sio talented na Wala Hawafundishiki...
BTW: Kama Mabeki hawajiamini pia lawama ni zake! Kwanini asitafute Wanaojiamini??????
 
Hat-trick for Harry Wilson as Liverpool
U23s beat Tottenham

thumb_39493_default_news_size_5.jpeg
 
Mkuu Kutokana na Maelezo Yako ni Kuwa Umeshaliona Tatizo la Timu kwa 100% lakini ni Mapenzi yako Kwa Klopp Yanakutia Upofu...

Hivi iwapo Salah Pekeyake Anakwenda Golini Nafasi Clear 8 na anafunga Moja unadhani Kocha anapaswa Kufanya nini??
Hapo ndiyo unapoonekana ubora wa Kocha...

JIBU:
1) Jambo la kwanza Kocha anachotakiwa afahamu ni Kuwa Salah sio Mashambuliaji (striker/Foward), bali ni Kiungo (Winger)..

2) Firmino Sio Mshambuliaji (Striker/Foward), bali ni Kiungo (Central attacking Midfielder)...

3) Lallana & Coutinho sio Washambuliaji (Striker/Foward), bali ni Viungo (Cetral attacking Midfielder).....


Sasa hapo huoni Kama timu inayocheza Na Viungo Watupu bila ya Kuwa Na Mshambuliaji (STRIKER) huwa ni Tatizo Pale inapokutana na Kibonde Kinachopaki Basi (Deep Defence) Kwani Huishia Kupiga Pasi Katika Eneo la Kati tu bila ya Kupenya Ndani ya Boksi la Wapinzani????

Hapo ndiyo Kocha Anatakiwa Awe na Natural Striker (Goalscorer/Goal taker/Goal Hunter) ambaye Ni Mviziaji Mzuri Wa Kumdungua Kipa na Kubadilisha Matokea...

Mfano wa Hao Hapa EPL katika Top Six ni:-

1) Man U - Lukaku
2) Man City - Aguero & G. Jesus
3) Spurs - H. Kane
4) Chelsea - Morata
5) Arsenal - ?
6) Liverpool - ?

Sasa hapo Kocha Kama Kashindwa Kulisolve Tatizo la Kutegemea Viungo Kama Wafungaji Kwanini Tusilisemee???

Na Kuhusu Mabeki Wetu Kusema Kutojiamini Sio Kweli!!
Bali Tatizo ni Kuwa Uwezo Wao Binafsi ni Mdogo....
Hapo Kocha Anatakiwa Atafute Beki Ambao ni Talented na sio Kina Lovren Waliokuwa sio talented na Wala Hawafundishiki...
BTW: Kama Mabeki hawajiamini pia lawama ni zake! Kwanini asitafute Wanaojiamini??????

Sturridge ni mzuri sana kama namba tisa sema mjeraha yanamkosti sana
 
Gemu ya jana imetafsiri ubovu wa mabeki wa Liverpool ..hii inaonyesha klopp anatakiwa kufanya namna ili kuondoa ili tatizo. Mbele yuko njema ila magoli mengi yanafungwa kutokana na ubovu wa beki zenu. Na hii ni oppotunitu kwetu sisi ...MORATA ni lazima afanye yake ili klopp ajue kuwa beki zake ni mbovu sana.

Goli gani na LC ni kosa la mabeki?
Wewe na wenzako hapa mmekariri tu!
Beki wangefanya nn kuzuia mabao ya LC?

In Klopp we trust!!
 
Tukitoa draw Klopp out
Tukifungwa Klopp out
Team gani isiyo fungwa?Hata Man City na Man U watapoteza games za kutosha tu!
Klopp tuongoze vyema kesho Moscow na Jmos St James Park!
Tunakuamini sana!
 
Nachukulia hujaelewa hiyo post ilikuwa inalenga nini.Amani sana

For better or for worse!
Klopp is my coach and Liverpool is my team!
If we swim we will swim together
If we drown we will drown together
Ndiyo tofauti yetu kubwa!
Kuikejeli the Great Jearsey
Kumkejeli Mwl Klopp doesn't make any sense!
Sorry for anything I said before
But above is my toughest stance about the Greatest Club of Liverpool
 
For better or for worse!
Klopp is my coach and Liverpool is my team!
If we swim we will swim together
If we drown we will drown together
Ndiyo tofauti yetu kubwa!
Kuikejeli the Great Jearsey
Kumkejeli Mwl Klopp doesn't make any sense!
Sorry for anything I said before
But above is my toughest stance about the Greatest Club of Liverpool
Mshakuwa pacha na arsenal.wenzio washapanga kumtimua.
Jipe moyo
 
This season Liverpool:-
Played 10 matches..
Scored 20 goals..
Conceded 18 times..

:D:D:D Conceded 18 times just for a10 matches??????

Still Someone from Nowhere didn't see the weakness of our fvckin defenders...

Look like we a playing Basketball...
 
No doubt The most powerful strike force in EPL ni Yetu Liverpool....

Huu muungano wa COUTINHO-SALAH-MANE-FIRMINO kiukweli ni hatari zaidi ya Timu yeyote hile ndani ya EPL..

Hakuna Timu ndani Ya EPL iliyo na attackers Hatari zaidi ya Liverpool...

Hakuna Timu Ndani Ya EPL inayotengeneza Nafasi Za Kufunga Nyingi Zaidi Kuliko Liverpool...

Hakuna Timu Ndani Ya EPL inaypiga Shots nyingi Golini kuliko Liverpool...

Lakini cha ajabu Ufungaji ni mdogo ukilinganisha na nafasi Tunazotengeneza....

Kila nafasi 10 tunazotengeneza basi uwezekano wa Kufunga ni Nafasi moja...

KWAHIYO KLOPP ANATAKIWA AFANYE NINI????:
Kuwepo kwa Coutinho-Mane-Salah-Firmino-Lallana-Gini-Woodban-Grujic-OX hakuhitaji Tena Klopp Kusaini Kiungo Mshambuliaji (Winga-attacking Midfielder) Kwani Hawa Wote ni Winga na Viungo....
Kwahiyo Ni Wazuri Wa Kumiliki Mpira, Kudrible na Kutengeneza Nafasi Za Kufunga kuliko kufunga wao wenyewe... Lakini Wote Ni Watengenezaji nafasi, Je mfungaji atakua nani???

Hapa Ndiyo Klopp Klopp anatakiwa Atatue Tatizo Kwa Kutafuta Talented Goal gator Ambaye ni Natural CENTRE FORWARD (STRIKER) ambaye katika Average ya Nafasi 6 zinatotengenezwa na Coutinho, 5 na Salah, 5 na Firmino, 5 na Mane, 4 na Gini/Lallana kwa kila Mechi aweze Kuzitumia kwa Kufunga....

Ni vizuri afuate nyayo za watangulizi wake:
1) Houlier alikuwa na Fowler/Owen/Baros

2) Benitez alikuwa na Smicer/Torres/Crouch...

3) Dalglish/Rogers walukuwa na Sturidge/Suarez...

Na Klopp anapaswa Kutafuta the likes of OWEN, TORRES and SUAREZ ili kuzitumia nafasi za wazi tunazozipoteza...

Why tusienge Kubid kwa Aubemyang Wakati Hajawa na Strong interest Kutoka Real au Barcelona???

MY TAKE:
"[HASHTAG]#REMEMBER[/HASHTAG] THAT KLOPP! BEFORE CHANGING LIVERPOOL FC, YOU HAVE TO CHANGE YOURSELF FIRST "
 
Back
Top Bottom