Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
Halafu wewe sijui niseme Una Mental Disorder!!!
Who said Klopp is a good Coach?? Mimi huwa ninaiombea Timu Mazuri, Lakini simuombei Mzembe (Klopp) Mazuri...
Kwanza Kumbuka Kuwa Mimi Sitiwi Upofu na Ushindi Wa Jana Kwasababu Ninajua Wazi Kuwa Furaha Ya Jana haina Maisha Marefu! Itafata Huzuni ya karibuni tu.....
Hivi unadhani ushindi wa jana Ndiyo umesolve matatizo yote ya Timu yetu????
Bado tatizo la WALINZI WETU KUZEMBEA (Goli la Pili) na TATIZO LA KIUNGO NKABAJI, PAMOJA NA TATIZOBLA UFUNGAJI (kwani tunatengeneza nafasi nyingi za wazi na kushndwa kufunga) Lipo pale pale...
Mkuu Timu bado sana kuwa Ya Ushindani! inahitaji mabadiliko....
Mkuu Klopp ni Hero kwako tu lakini sio Kwangu mimi.
Trash
Absolute trash!
Ni ya kupuuzwa tu!
Shehe Yahaya!