Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi unaamini kabisa toka moyoni kuwa liverpool msimu huu itafanya vizuri kuliko msimu uliopita? Kama ndio hebu niambie ni kwa sababu gani kwa kuwa mapungufu niliyoyaona liverpool msimu uliopita bado nayaona na msimu huu, kwa nini msimu huu uwe tofauti ?

No doubt he has a Mental Disorder au atakuwa ni Mganga Wa Kienyeji mpiga Ramli aliyebeti anajipa Moyo asijechana Mkeka...
 
No doubt he has a Mental Disorder au atakuwa ni Mganga Wa Kienyeji mpiga Ramli aliyebeti anajipa Moyo asijechana Mkeka...
Unajua kuna mahala inabidi utoe mapenzi ya timu na ukubaliane na hali halisi, Liverpool kwa upande wa defense + defensive mid iko vibaya, na kama Klopp hatofanya usajili january nina uhakika wa 100% hii defense itafungwa goli nyingi kuliko msimu uliopitwa. Kitu ambacho MZEE WA MAJOGOO hawezi kufanya ni kukubali mapungufu ya timu yake. Watu wanamsema Klopp kwa sababu huu sio msimu wake wa kwanza ,alitakiwa kuwa ameshatafuta ufumbuzi wa tatizo la defense , hamuwezi kila mwaka mkawa na tatizo lile lile tena bila kocha kuonyesha juhudi kulitatua . Nafikiri hapa ndio mnapopishana na mzee wa majogoo
 
Unajua kuna mahala inabidi utoe mapenzi ya timu na ukubaliane na hali halisi, Liverpool kwa upande wa defense + defensive mid iko vibaya, na kama Klopp hatofanya usajili january nina uhakika wa 100% hii defense itafungwa goli nyingi kuliko msimu uliopitwa. Kitu ambacho MZEE WA MAJOGOO hawezi kufanya ni kukubali mapungufu ya timu yake. Watu wanamsema Klopp kwa sababu huu sio msimu wake wa kwanza ,alitakiwa kuwa ameshatafuta ufumbuzi wa tatizo la defense , hamuwezi kila mwaka mkawa na tatizo lile lile tena bila kocha kuonyesha juhudi kulitatua . Nafikiri hapa ndio mnapopishana na mzee wa majogoo
Tatizo sio kununua wachezaji tu Klopp ni mbovu kwenye mbinu za defence bado hajashtuka kuwa EPL bila defence lazima utakuwa msindikizaji
 
Matip & Lovren tayari Injury... Sasa Defence Line Yetu itakuwa hivi....

Trent - Gomez - Klavan - Moreno

Sijengi Picha Kwa Defence hii ni nini Kitatutokezea! Aguero na Jesus Walitufanya Wanavyopenda.... Sijui Lakaku na Rashfod watatufanya nini!!!!!!!


IMG_20170922_070540.jpg
 
Nyie mlivyomfunga asernal si mlisema msimu huu mnachukua ligue..???

Kasema nani? Acha Kujishauwa Katika Nyuzi Za Watu..! Sisi Tunailalamikia Timu Kabla Ya Msimu Kuanza, Halafu unazungumzia Juzi Tulipombahatisha Arsenal!!!!
 
Kuna group la watsapp la wana liverpool ukipenda kujiunga nicheki
 
Kuna group la watsapp la wana liverpool ukipenda kujiunga nicheki Kuna group la watsapp la wana liverpool ukipenda kujiunga nicheki
 
Steven Gerrard using Jamie Carragher
as defensive role model for Liverpool
U18s
 
Let us pray for our team at least tuondoke na Points Pale King Power Manake Pamekuwa Pagumu Kinyama.....

Please Brendan Klopp fufua Matumaini Yetu.. Usije Ukatudisappoint tena Kwa Mara nyengine.....

Kwa Ushauri tu Hatuna Budi Leo Tucheze 5-3-2 kwani Tukieka Mabeki 5 huenda ikasaidia Kulinda Manake Goli moja la Salah linaweza sababisha tukaconced 3 kwa uzembe wa Mabeki tu....

Naamini leo tunaweza Tukafurahi kidogo iwapo timu itacheza Kwa ari licha ya Kuwa ni Mbovu.....

"YOU'LL NEVER WALK ALONE"
 
Hawa Leicester City Mbona Wanakuwa Wanakaza Wakicheza Na Sisi tu??? Lakini Wakikutana na Timu Nyengine utazani Wanacheza Mechi ya Kirafiki....
 
Kiukweli Timu inahitaji Striker wa Kusimama Namba 9 kwani Washambuliaji Wetu (Salah, Firmino, Coutinho, Mane) Wote ni Viungo wa Tupu... That is Why Wanapoteza Nafasi Nyingi Za Wazi Hasa Wawapo Ndani Ya Boksi La Wapinzani....

Klopp Ni Lazima Ainvest Kwa Mtu Kama (Chelsea → Morata, Man U → Lukaku, Spurs → H. Kane, Man City → Aguero & Navas) ili Tuweze Kuzitumia Nafasi Nyingi za Ndani Ya Boksi Tunazozipoteza....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom