Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hatukuwa na bahati tu!
Vijana walipambana sana ugenini
Sina wasi wasi na Liverpool ku qualify round ya pili!
Salah anakosa mabao ya wazi sana lkn Klopp atarekebisha hii
 
Hatukuwa na bahati tu!
Vijana walipambana sana ugenini
Sina wasi wasi na Liverpool ku qualify round ya pili!
Salah anakosa mabao ya wazi sana lkn Klopp atarekebisha hii
eb9c014289fa90f3b0b1c8385f553f51.jpg
 
Hatukuwa na bahati tu!
Vijana walipambana sana ugenini
Sina wasi wasi na Liverpool ku qualify round ya pili!
Salah anakosa mabao ya wazi sana lkn Klopp atarekebisha hii


Mkuu mimi huwa mara nyingi NinapokuQuote huwa sikuquote kwa ugomvi! Bali ni kwa Mapenzi yangu ya Muda Mrefu na Timu since I was 13 in 1999 till now I'm 31 in 2017...
Ukweli ni Kwamba Hili Tatizo tunalo Tokea Msimu uliopita na Ukamalizi Klopp kashindwa Kulirekebisha..
Na msimu huu Pia Tunalo Klopp Bado kakataa kulirekebisha..

Mkuu Kulirekebisha hili si Kumrekebisha Salah wala Firmino! Kwani Hawa si Washambuliaji Wa Mwisho (Centre Foward/Strikers), Bali ni Attacking Midfielders (Viungo Washambuliaji)!!!! Kazi yao Kubwa Zaidi Ni Kumtengenezea Striker Nafasi Za Kufunga na Sio Kufunga Wao.. !

Kwahiyo Klopp Analazimika Kulirekebisha hili kwa Kununua Striker Ambaye ni Talented ili aje azitumie Nafasi Wanazozikosa Kina Salah...

Na Kwasasa Striker ambaye ni World Class na Hayuko Katika Rada za Barcelona, Real, Man City, PSG na Man U ni Aubemyang! Kwanini Klopp Asibid?

Ndiyo mana Ninasema "KLOPP KABLA YA KUBADILISHA TIMU NI LAZIMA ABADILIKE YEYE KIMIKAKATI KWANZA"...
 
Stats za Spartak Moscow vs Liverpool

Total Shots
Spartak Moscow 3 - 15 Liverpool

Shots on Target
Spartak Moscow 2 - 7 Liverpool

Shots Off Target
Spartak Moscow 1 - 8 Liverpool

Corner Kicks
Spartak Moscow 2 - 5 Liverpool

Ball Possessions %
Spartan Moscow 40 - 60 Liverpool

Goal KicksKicks
Spartak Moscow 12 - 1 Liverpool

FT
Spartak Moscow 1 - 1 Liverpool
 
Wenzetu Wamepata Nafasi 3 tu za Kujaribu, basi moja wameitumia......

Sisi Tumepata nafasi 15 za Kujaribu na tumeshindwa Kuzitumia...

So sad kutumia 1/15 while wao wametumia 1/3
 
BTW: Tunayonafasi Kubwa Ya Kusonga Mbele Kwenye 16 bora.... Naomba iwe hivyo kwani hili ndiyo Kombe pekee tulilobakisha Coz EPL tayari Man U na Man City wameshatutupa Nje Ya Fence hatumo tena Katika Ushindani Wa Ubingwa Msimu huu...

Tuwaachie wao Man U vs Man City Wagombanie nafasi ya Kwanza na Ya pili...

Chelsea vs Spurs Wagombanie Ya Tatu na Ya Nne..

Liverpool vs Arsenal Tugombanie Ya Tano na Ya Sita...

FA sidhani Kuwa Klopp ana mbavu za Kupambana na Vibonde...

Tumebakisha Kwenye Champion League! Wacha Tukomae Huko Champion League Huenda Tukapata Muujiza Kama Tuloupata Kwa Benitez
 
Kwa nafasi Tunazotengeneza na Kuzikosa! ni ukweli usiofichika Kuwa Tunahitaji Striker Wa Kuzitumia..
A real namba 9 anahitajika kabisa maana sio sawa kabisa kukosa kufunga magoli ya ushindi maana nafasi zile ni nyingi mno...Daniel makali yake bado hayajarejea tunamhitaji kama alivyokua na Surez....hata hivyo sasa utabidi kocha amuache Simon golini maana huyu Karius ni utata zaidi hata defence kuipanga vizuri anachemka..
 
BTW: Tunayonafasi Kubwa Ya Kusonga Mbele Kwenye 16 bora.... Naomba iwe hivyo kwani hili ndiyo Kombe pekee tulilobakisha Coz EPL tayari Man U na Man City wameshatutupa Nje Ya Fence hatumo tena Katika Ushindani Wa Ubingwa Msimu huu...

Tuwaachie wao Man U vs Man City Wagombanie nafasi ya Kwanza na Ya pili...

Chelsea vs Spurs Wagombanie Ya Tatu na Ya Nne..

Liverpool vs Arsenal Tugombanie Ya Tano na Ya Sita...

FA sidhani Kuwa Klopp ana mbavu za Kupambana na Vibonde...

Tumebakisha Kwenye Champion League! Wacha Tukomae Huko Champion League Huenda Tukapata Muujiza Kama Tuloupata Kwa Benitez
kwa man u kaka lol sioni kama watabaki sana kwenye hio nafasi kaka....naona mechi ya Southmpton walikua tia maji sana...
 
IMG_20170927_141727.jpg
A real namba 9 anahitajika kabisa maana sio sawa kabisa kukosa kufunga magoli ya ushindi maana nafasi zile ni nyingi mno...Daniel makali yake bado hayajarejea tunamhitaji kama alivyokua na Surez....hata hivyo sasa utabidi kocha amuache Simon golini maana huyu Karius ni utata zaidi hata defence kuipanga vizuri anachemka..

Na Laiti ingelikuwa Tuna Mtu Ambaye Ni Real Striker na Sio False Striker Kama Firmino au Mane Basi Kusingelikuwa na Sababu Ya Kudraw na SEVILLA, SPARTAK MOSCOW, BURNLEY na WATFORD kwani nafasi Tulizotengeneza za Wazi Kabisa ni Nyingi sana ambazo tumezitupa...

Fikiria Siku Ya Burnley Tumepiga Mashuti 35...
Katika hayo 35 ni 9 tu ndiyo Yaliyolenga Goli (On target)....
Na 14 hayakulenga Lango (Off target)....
Na Mashuti 12 yamezuiwa (Blocked)....

Sasa Hapo Mkuu Katika Mashuti Yote Hayo eti tuliishia Na Kufunga Kigoli Kimoja!!! It is a Shame.....

Wakati Nafasi Hiyo aipate Mtu Kama Aguero au Costa lazima Apige 4 peke yake...

#WeNeedRealStriker_9

IMG_20170927_141727.jpg
 
kwa man u kaka lol sioni kama watabaki sana kwenye hio nafasi kaka....naona mechi ya Southmpton walikua tia maji sana...


Mkuu Kiukweli Man U iwapo Lukaku Hatakaa Injury basi wanayonafasi Ya Kuchukua Ubingwa!!! Lakini Akikaa injury tu basi Hawana Safari...
 
Tukitoa draw Klopp out
Tukifungwa Klopp out
Team gani isiyo fungwa?Hata Man City na Man U watapoteza games za kutosha tu!
Klopp tuongoze vyema kesho Moscow na Jmos St James Park!
Tunakuamini sana!
Mlitoka ngapi ngapi na Mosco
 
BTW: Tunayonafasi Kubwa Ya Kusonga Mbele Kwenye 16 bora.... Naomba iwe hivyo kwani hili ndiyo Kombe pekee tulilobakisha Coz EPL tayari Man U na Man City wameshatutupa Nje Ya Fence hatumo tena Katika Ushindani Wa Ubingwa Msimu huu...

Tuwaachie wao Man U vs Man City Wagombanie nafasi ya Kwanza na Ya pili...

Chelsea vs Spurs Wagombanie Ya Tatu na Ya Nne..

Liverpool vs Arsenal Tugombanie Ya Tano na Ya Sita...

FA sidhani Kuwa Klopp ana mbavu za Kupambana na Vibonde...

Tumebakisha Kwenye Champion League! Wacha Tukomae Huko Champion League Huenda Tukapata Muujiza Kama Tuloupata Kwa Benitez
Mkuu adi nakuonea huruma aiseee. Pole sana haya ni mapito tu ya muda mfupi....vumilia tu...ukishindwa sana karibu rangi ya blue.....the blues.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom