lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,424
- 25,657
Firmino last season vs Firmino this season
Firmino last season vs Firmino this season
Haha mkuu walikuwa, wanaendesha baiskelMweer!!
Liva mmepumzika wiki mbili mlicho kuja kicheza ndio hiki
[HASHTAG]#kloopout[/HASHTAG] is trending now[HASHTAG]#Klappout[/HASHTAG]
duh pole mkuuFuckkkkk Liverpool
Fucckkkk Klop
Fuckkkkkk FSG
See ya next season
Pole sana mkuuhatuna mchezaji wa kupiga shuti nje ya 18....mediocre bunch.
Cou naye tangu asifiwe amekuwa nyanya kabisa.
hawa wachezaji nyambaf kabisa!
3kuna matatu
1. Hatuna wachezaji
2. Hatuna kocha au
3. Hatuna kocha na wachezaji
Nilikuambia mkuu, ogopa sana timu iliyotoka kumfukuza kocha.Ndiyo soka
Mechi ijayo tutajipanga tutashinda!Liverpool bado ni team bora kabisa EPL
Na mnamaliza nafasi ya sita, mark my words.Our season is over
It's done
We are done
We suck
Hata hapo kwa Arsenal wajiangalie maana Wenger ana hasira zake huko hatari..Hili jukwaa siku hizi watu wamelikimbia kabisa. Game ijayo najua watashinda tu dhidi ya Arsenal
Ndoto za Mchana hizo3-0 saafi
Sipotezi game yyt hadi May
Hata sare hamna
Mane anamfukuza kazi Mzee Wenger Jmosi
Kweli Time Will Tell i support you My friend nawachukia Hawa Wanaojiproud na League cupLiverpool Alichukua FA, LEAGUE CUP, EUROPER CUP, CHAMPION LEAGUE, EUROPER SUPER CUP na Mukamcheka na Kumwita LOSER kwa Sababu Hakuchukua PREMIERE LEAGUE....... Lakini Nashangaa Na Nyinyi sasa Munaanza Kujifariji Kwa LEAGUE CUP ambayo Alipochukua Liverpool mulimcheka na Kusema amebeba Kombe la Mbuzi!!!!!!
"Hile maana ya "TIME WILL TELL" sasa inaanza kuthibitika wenyewe... Yaani sasa mumefikia Kujiproud na League Cup badala ya Premier League muliyoizoea?????????