this is exactly what I meant baada ya sisi kushinda ile mechi yetu vs Spurs!same-o-L.
next ni Leicester - usishangae tukiachia points pale. mental problem from mediocre players!
kuna matatuthis is exactly what I meant baada ya sisi kushinda ile mechi yetu vs Spurs!
Msidhani tumelala
Leicester 2-next year is our year 0

duh uyo mtoto Vardy anajua sana jinsi ya kuwafunga majogoo.mkuu mimi naona kocha yupo isipokuwa hatuna wachezaji.kuna matatu
1. Hatuna wachezaji
2. Hatuna kocha au
3. Hatuna kocha na wachezaji
Ila Leicester msimu huu Sio wa kuaminika man, usije kuta wametuachia shukaLeicester wanaweza wakafufuka kwa hawa jamaa kama utaniduh uyo mtoto Vardy anajua sana jinsi ya kuwafunga majogoo.


The way Leicester wanavoshangilia utadhani wameifunga timu kuubwa, kumbe ni liverpoolJaman coutinho leo ana anguka anguka tu
Wakati ndidi yuko on fire
You picked a wrong day to meet with these guys
The way Leicester wanavoshangilia utadhani wameifunga timu kuubwa, kumbe ni liverpool

kwamba timu ndogo mbili zinacheza ?Ila Leicester msimu huu Sio wa kuaminika man, usije kuta wametuachia shuka![]()

unakuja kuona FT kapigwa nyingi ila wakiachwa wa-relax wanapata matokeo.Aiseee!!! Gegen pressing imeenda wapi?kuna matatu
1. Hatuna wachezaji
2. Hatuna kocha au
3. Hatuna kocha na wachezaji
Duh! Watu wanapelekwa kibra...