1.
So far the dataz ni kilio cha Lowassa na Mtandao, Muungwana amewaacha njia panda, historia ndogo ya kupigwa mweleka kwa mtandao kufikia huu mkutano,
1. Kesi ya Malima Vs Mengi, Mtandao walikuwa wamepanga kumuondoa Six, kwa kumtumia Mzindakaya, waliyem-plant ili aanzishe hoja ya kutkouwa na imani na Spika, iwapo angetoa hukumu against Malima, kabla ya siku ya hukumu Spika, akagundua na kwenda usiku kwa jm akiwa analia kama mtoto mdogo, "....Makamu nisaidie what to do... on this..", maana kuhusu kesi ni clear kuwa Malima, amekosea na anahitaji kuadhibiwa, akaambiwa haya kesho nenda utoe busara badala ya hukumu, na kuwapiga Mtandao, at their own game, tukaishiwa kuuziwa busara kwa shillingi millioni 100,
2. Muungwana aakawanyima vyeo vote ndani a CCM alipowapa kina Makamba, Mwanri, na Mwambi!
3. Ngasongwa, Mkali, na Londa another mtandao wakapigwa kiboko kwenye NEC!
4. Tom akapigwa kiboko cha moto huko Mbeya na Mwandosya, akisaidiwa na wabunge wa CCM, hela alizotumia Tom na Mtandao huko, inasemekana kuwa haijawahi kutokea, lakini wabunge kwa kushirikaina na wazee wa Mbeya, wakaweka mkakati mzito kuwa Tom na baba yake ni wa-Zambia, sio wabongo, Mwandosya aliyekuwa ameshakata tamaaa akaambiwa atulie ngoma inachezwa na wabunge!
5. Sasa Lowassa na Mtandao, kiboko cha moto tena kwenye umakamu, it is over, na Muungwana personally ameamua kuwafungia kazi kwenye hizo nafasi 20 za NEC, wasipate kabisaa maana inaaminika kuwa kuna mkono wa Sofia Simba, kwenye kifo cha Mbatia, maana kuna kabarua kadogo aliko mtumia akiwa Mwanza, kabla ya kwenda huko Kusini ambako ni clear kuwa kuna kitu alikuwa anakijua, na akakimbilia South Africa kama cover, Muungwana alionywa kabla ya huu mkutano na amesikia, kwa hiyo kwa mtandao, the party is over!
Sasa in the wake ya all this, what to expect? Kwa maoni yangu Msekwa sio makamu functional, ila ni symbol ya kukataa ujinga wa mtandao, makamu ni cheo ambacho ukweli ni kwamba hauna chochote na ni absolutely powerless position, kazi ni kutembelea matawi ya CCM, na kumfikishia ujumbe mwenyekiti wa yanayojiri kwenye matawi ya CCM, ambako sio rahisi kwa viongozi wa chini kumpa info, mpaka wamuamini, it won't happen in one day, halafu most of the time info nyingi huwa ni majungu tu against each other ambayo unless makamu ni makini anaweza kumpelkea habari rais ambazo sio za ukweli,
Makamu aliyeondoka alikuwa na good relations na wakuu wa chini, ndio maana siku zote aliweza kushinda uchaguzi wa wabunge, pamoja na ujanja janja, lakini siku zote alikuwa na viongozi wengi wa upinzani kwenye level ya chini kwenye payroll, kwa sababu kwa kawaida viongzi wa juu wa upinzani huwatelekeza kabisa viongozi hao wa chini mpaka unapotokea uchaguzi tu, ndio maana kule Tunduru, makamu alishituliwa mapema na wapinzani kuwa mbunge wa zamani wa CCM Nyimbo, alikuwa akiwasaidia, sasa this inahitaji humbleness ambayo kama unamjua Msekwa, ni tatizo sana kwake, isipookuwa kuna kujifunza kwenye job, huenda kaamudu,
but, sasa hivi ndio vita kali imeshaanza kati ya Mtandao Vs Asilia, so far Asilia wanaonekana kuwa some few steps ahead, Asilia stregth zina-rest na makamu aliyetoka, bila ya yeye they are dead, Msekwa asipokuwa makini kuna uwezekano wa kutomaliza term yake ya 7 years, ingawa sasa hivi kutokana na huu uchaguzi hata Shein anakuwa safe sasa, maana another Mtandao aliyekuwa akimlalia macho alipigwa mweleka yaani Shamuhuna, na pia kuna uwezekano wa Muungwana kutomaliza term ya pili, huenda anawaandaaa asilia kuja kushika hatamu, mengi yapo online, lakini ninaahidi kuwa between now and kesho, nitaleta more ugly dataz ya yaliyojiri na yanayojiri, sasa hivi beyond hotuba na uchaguzi,
Ninazo nyingi, lakini ninahitaji kuzi-clarify kwanza!