Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,290
.Lissu ana kifaa kinaonesha yupo wapi!
.Lissu ana kifaa kinaonesha yupo wapi!
Hoja gani ambayo uliijibu?Sasa hapa umeandika nini? Jenga hoja,achana na mihemko isiyo na tija kwa Taifa letu pendwa. KARIBU
Bwana Masawe hutaki tume turu ya uchaguzi?Tia Sururu tu pumbavu huyu domo.
Unaandika upumbavu tu. Thread nzima umeijaza na vimessage vyako vya ufitini. Hovyoooo.Mbowe akigundua kuwa njama zake na G55 wake zipo wazi kwa sasa hakuna Siri, atafanya mipango aachiwe haraka ili kukwepa lawama
Kumbuka ulivyomua kikatili Thadei ole Mushi Kwa kumuwekea sumu damu yake bado inaendelea kukulilia wewe mangi uchwara.Tia Sururu tu pumbavu huyu domo.
Umeongea point kubwa sana Kuna Mazungumzo sema Mnyapaa naye ni Mgumu sana utafikiri Chief Mkwawa daahhNafikiri kuna some terms (mazungumzo) watakuwa wanafanya na Ofisi kubwa ili kujaribu kulimaliza hili kabla ya hearing.
Hili jambo linamchafua sana her excellence both internally and externally
Hivi Tanzania tumerogwa na nani? Kwenye Riport ya CAG Kuna wezi wamekwapua pesa za Umma heti wako wanaangaika na Lissu shame kabisa hii nchi wezi wa rasilimali za nchi wanadunda alafu watu ambao hawana hatia ndo wanasumbuliwa mtu kudai Tume huru inakua nogwa Tume huru itasandia kila mtu atakae taka kuingia kwenye siasa
😎😎😎Andika kwa kiswahili, Kila siku tunasema mtuwekee jukwaa letu tusiojua kiingereza hamtaki. Ona sasa mada nzuri ila sijaelewa kitu 💯
Wewe ni mjinga pamoja na uzee wako.Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
At this point, he is going to have his mind twisted to accept the offer on the tableUmeongea point kubwa sana Kuna Mazungumzo sema Mnyapaa naye ni Mgumu sana utafikiri Chief Mkwawa daahh
Kila la heri MkuuAhsante,sema mimi pasaka nimeisha ianza zamani maana kwa utamaduni wa mwana wa Afrika ni kila baada ya mwezi
Domo mazeri wako, chawa usie na akili watakupiga paipuu!.Tia Sururu tu pumbavu huyu domo.
Lissu tupo naye huku msasani. Kwani nyie mbamtaka wa nini?View attachment 3308510
Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amehamishwa gereza la Keko alikokuwa akishikiliwa, huku mahali alikohamishiwa pakiwa hapajulikani.
Msemaji wa Jeshi la Magereza, Elizabeth Mbezi alipoulizwa kuhusu taarifa hizo alisema bado hajazipata.
halipoulizwa kama kuhamisha watuhumiwa na wafungwa ni siri, amesema, "Inategemea na makosa, yapo makosa wanahamishwa kwa siri na yapo makosa hawahamishwi kwa siri." Alipoulizwa kuhusu tuhuma za Lissu, alisema, "Ngoja nifuatilie kwanza."
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa ,Mawasiliano na Uenezi, Brenda Rupia leo Ijumaa, Aprili 18, 2025, imesema viongozi wa Chadema akiwamo Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Wakili Ali Ibrahim Juma, Mawakili, wanafamilia na wanachama kwa nyakati tofauti, wamefika katika Gereza la Keko kumwona Lissu, lakini hawakufanikiwa kumwona.
“Juhudi zao za kumuona Mhe. Lissu hazikufanikiwa baada ya kuelezwa kuwa hayupo katika gereza hilo, cha kusikitisha, hawakupewa maelezo yoyote rasmi juu ya alipopelekwa.”
Chama hicho kimelitaka Jeshi la Magereza, mamlaka husika na vyombo vya Dola kutoa taarifa wazi na za haraka kwa umma kuhusu mahali alipopelekwa Lissu.
“Iwapo bado anashikiliwa katika Gereza la Keko, ni haki ya familia, viongozi na wanachama kumuona - ni haki ya msingi ya kibinadamu na kikatiba,” amesema Brenda.
Most likely.... CCM watakuwa wanamtumia Warioba to calm down hii pressure walionayo.Ni kweli ana huo msimamo, lakini Kila mtu huwa ana mtu anayemheshimu na kumsikiliza
Huenda akina Mzee Warioba watakuwa wameshaenda kuteta naye out of camera
Maandamano ya nini wakati tayari mnajichafua chupi zenu?ANDAMANENI.Mkione cha moto.Mbona mnalia lia.
NIMESEMA TIME AND AGAIN, KUWA KAMA HUWEZI JIBU PITA KULIKO MATUSI. SASA MUULIZE MAMA YAKO KAMA NINA AKILI FUPI, ATAKWAMBIAUna akili fupi lisu auwawe kienyeji hivyo!?
Tumpunzishe Mzee Mbowe kwanzaMbowe CCM na G55 Polisiccm wanajua alipo
Inawezekana but itakuwa ni win win situation sidhani kama atakubali kitu kwenye plate sababu kuu ni karba yake Tabia haibadiliki , na Lissu inaonekana alijioanga muda mrefu nje kabla ya ndani Kimataifa ana back up kubwa sana kuliko mwanasiasa yeyote kutokea TanzaniaAt this point, he is going to have his mind twisted to accept the offer on the table
His highly respected friends are going to be the card to seduce him