B-2 STEALTH BOMBER
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 4,648
- 6,411
Ubaya ni kuwa Lissu hanunulikiSio linamchafua.
Sio linamchafua. Limeshamchafua kwenye jumuia za kimataifa. Amejishushia heshima yake kwa kiwango kikubwa
Ubaya ni kuwa Lissu hanunulikiSio linamchafua.
Sio linamchafua. Limeshamchafua kwenye jumuia za kimataifa. Amejishushia heshima yake kwa kiwango kikubwa
Nyau n ww una lia huku kwenye maficho. Traaash aka kima fantaaazWe mwehu acha ushabiki km zombie, huyo nyau si ni yuleyule wa 2020 aliyekimbilia ubalozi wa Ujerumani akatokomea Ulaya? We hujui maana ya dola, ustaarabu wa Rais ulikuwa unamlinda. Huyo ni nyau mdg sn hakuwahi ht kuwa na kacheo, aliyekuwa Rais wa Zanzibar aliwekwa kizuizini mpk anakufa, huyo nyau ni nani.
FOR EXECUTION? ISJEKUWA WANAKWENDA KUMUUATundu Lissu has just been collected by official motorcade from the Keko prison.
Not so sure where exactly is he being taken
Kobaaz banaHistoria ya dunia hii ukae kimya. Kambona aliwacheka akina sheikh Takadir na kuwaita majina ya ajabu, siku ya siku Kambona tanzania akiisikia ktk redio
Mkuu wezi ndio wanaongoza nchi sasa unategemea wafungane wao kwa wao. Ni hapana.Hivi Tanzania tumerogwa na nani? Kwenye Riport ya CAG Kuna wezi wamekwapua pesa za Umma heti wako wanaangaika na Lissu shame kabisa hii nchi wezi wa rasilimali za nchi wanadunda alafu watu ambao hawana hatia ndo wanasumbuliwa mtu kudai Tume huru inakua nogwa Tume huru itasandia kila mtu atakae taka kuingia kwenye siasa
Wakimuua nchi yetu itakua imeingizwa kwenye hatari kubwa sana. Mungu aepushe hili. Maana sidhani kama taifa letu litakua salamaFOR EXECUTION? ISJEKUWA WANAKWENDA KUMUUA
They are just wasting their time and other resources! That Gentleman is an exceptional! A future Pesident of this country.Tundu Lissu has just been collected by official motorcade from the Keko prison.
Not so sure where exactly is he being taken
Nadhani hili ndio kosa kubwa sana la Lissu kuliko hata kosa la uhaini.Ubaya ni kuwa Lissu hanunuliki
AgreedThey are just wasting their time and other resources! That Gentleman is an exceptional! A future Pesident of this country.
Akirejea mbowe si bora chama kile kifePolisiccm wanahaha cha kujibu maswali mahakamani wanatamani kumwachia huru hata mda huu lakini mbowe G55 na kamati ya Rohombayaccm wanataka afie jela ili Mbowe arejee kuwa mwenyekiti wa chadema tena
akili zako unazijua mwenyeweANDAMANENI.Mkione cha moto.Mbona mnalia lia.
Hakika hilo lisimpate bali watesi wake.Anapelekwa goligotha fuvu la kichwa .
Yetu macho.
Na hapo ndipo Mungu nae ata msimamia maana nyuma yake tupo wengi tunaomuombeaNadhani hili ndio kosa kubwa sana la Lissu kuliko hata kosa la uhaini.
Acha akatete na wakubwa ikulu wamwachie akale pasaka Ikungi.Tundu Lissu has just been collected by official motorcade from the Keko prison.
Not so sure where exactly is he being taken
Maombi kwa sana yaani. Hakuna Mungu asiyesikia maombi yetu.Na hapo ndipo Mungu nae ata msimamia maana nyuma yake tupo wengi tunaomuombea
Siku hizi hata barabarani unakutana na magari hayana plate number, gari hazijalipiwa. Kodi zinatembea kona zote hawajali hawaogopi kitu, ccm wapo busy kuwaonea wapinzaniMkuu wezi ndio wanaongoza nchi sasa unategemea wafungane wao kwa wao. Ni hapana.
Andika kwa kiswahili, Kila siku tunasema mtuwekee jukwaa letu tusiojua kiingereza hamtaki. Ona sasa mada nzuri ila sijaelewa kitu 💯Tundu Lissu has just been collected by official motorcade from the Keko prison.
Not so sure where exactly is he being taken