DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
We mwehu acha ushabiki km zombie, huyo nyau si ni yuleyule wa 2020 aliyekimbilia ubalozi wa Ujerumani akatokomea Ulaya? We hujui maana ya dola, ustaarabu wa Rais ulikuwa unamlinda. Huyo ni nyau mdg sn hakuwahi ht kuwa na kacheo, aliyekuwa Rais wa Zanzibar aliwekwa kizuizini mpk anakufa, huyo nyau ni nani.
Utakufa wewe kabla ya Tundulisu MUNGU siyo wa Mchezo
 
Acha kuwalaumu Polisi wao wanafuata maelekezo kama ambavyo ww unafuata maelekezo ya boss wako.Laumu kaka zako,Mama,Baba,nduguzo,jirani,na rafiki zako kwa kuwa waoga na matahira kwa kushindwa kupigania haki zao na kukubali kuishi kwenye umaskini unaosababishwa na mfumo
Mimi nafuata maelekezo ya boss gani?
 
Historia ya dunia hii ukae kimya. Kambona aliwacheka akina sheikh Takadir na kuwaita majina ya ajabu, siku ya siku Kambona tanzania akiisikia ktk redio
Mkuu Malaria Sugu, Kambona anaingiaje hapa? Ebu tujuze connection yake.
 
Walioenda Ukonga watoe mrejesho kama wamemkuta huko......kuna mtu anaogopa kivuli chake
 
Polisiccm wanahaha cha kujibu maswali mahakamani wanatamani kumwachia huru hata mda huu lakini mbowe G55 na kamati ya Rohombayaccm wanataka afie jela ili Mbowe arejee kuwa mwenyekiti wa chadema tena
Mkuu, areje kivipi, kwani Mh.J.H hayupo, mbona anaweza tu.
 
Huoni kama ni hatari kwa nchi,endapo inatangazwa kua KUNA GAIDI au MHAINI halafu mwisho wa siku inasemwa kua kesi imefutiliwa mbali na gaidi au mhaini anaachwa nje?
Au ile kauli ya MAKALA na EBOLA huoni ni siasa za kijingajinga na inaweza kufanya wageni wakahofia kuja nchini?
Gaidi au mhaini lazma azibitishwe na mahakama mkuu
 
Back
Top Bottom