DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Of course, ile miaka 4 aliyokaa nje akijiuguza ndiyo ilitumika kutengeneza networks

Na to be honest, the guy has connections and influences

Kitu ambacho wapenzi wengi wa Siasa humu, hasa GenZ ambao wengi wanatumika na baadhi ya Wabunge na Mawaziri kama Machawa

Hiyo agenda ya Lissu ina baraka za deep state

Na wanafanya kumtumia kupush hiyo agenda baada ya kuona hakuna mwenye nia ya dhati wa kutoa Katiba mpya na Vijana wengi wamelala Kwa kuangukia kwenye Uchawa na Simba na Yanga zao

Wameona bora Katiba mpya ipatikane ili Nchi iendelee kuwa na amani Kwa kuwa na Katiba imara on the coming years

Maana wote mtakuwa mnakumbuka lile Saga la Uchaguzi wa ndani ya Chama Mwaka 2015 hadi Ben kuingilia kati

Pamoja na ule Uchaguzi wa Mwaka 1995 hadi Mwl akaingilia kati

Kama hawa Wazee wataondoka 5 to 20 years to come, anaweza asitokee Kiongozi mwingine mwenye influence na mandate kama Mwl Mwaka 1995 na Ben Mwaka 2015
Mkuu salute mingi sana
 
Hata Maria Magdalena alipofika kwenye kaburi la Yesu aliambiwa hayupo kaburini amefufuka "kwanini munamtafuta aliyefufuka katika wafu" ? Lissu kuna kitu kikubwa Cha Kimungu amebeba
 
Unajaribu kuwaza kwa hali ya Lissu what if akapata changamoto za ghafla za kiafya na akatutoka akiwa mikononi mwao.

Serikali ijitahidi sana kutokuwa na michezo ya shilingi chooni.
 
Ingekuwa nchi za watu wanajielewa leo hii Lissu angekuwa tayari Rais kama alivyotokea Rais wa Senegal,bahati mbaya amezaliwa kwenye nchi ya matahira pole yake.
Angalia anahenya gerezani mwenyewe ana wangaikia hata hawana habari nae,katika kitu nyerere aliharibu hii nchi ni watu kuwa waoga-Magufulu akamalizia kabisa kwa kuondoa ule ujasiri ambao ulikuwa unatejra.
 
Matokeo ya kuwapa division 4 silaha na nguvu ya kufanya maamuzi.
Acha kuwalaumu Polisi wao wanafuata maelekezo kama ambavyo ww unafuata maelekezo ya boss wako.Laumu kaka zako,Mama,Baba,nduguzo,jirani,na rafiki zako kwa kuwa waoga na matahira kwa kushindwa kupigania haki zao na kukubali kuishi kwenye umaskini unaosababishwa na mfumo
 
Mungu Wa Mbinguni.. alimjua Lissu kabla hajazaliwa. Malaika mbinguni wanalo jukumu la kumlinda Hadi hapo kusudi la Mungu litakapotimia.
 
Tundu Lissu has just been collected by official motorcade from the Keko prison.

Not so sure where exactly is he being taken

———
UPDATE:

My insider indicates that he has been moved to Ukonga

View attachment 3308522

TUNATAKA KUJUA ALIPO MHE TUNDU LISSU
Leo Ijumaa, Aprili 18, 2025, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Wakili Ali Ibrahim Juma, Mawakili, Familia, na wanachama kwa nyakati tofauti, wamefika katika Gereza la Keko ambapo Mwenyekiti wa Chadema, Mheshimiwa Tundu Lissu anashikiliwa.

Hata hivyo, juhudi zao za kumuona Mhe. Lissu hazikufanikiwa baada ya kuelezwa kuwa hayupo katika gereza hilo, cha kusikitisha, hawakupewa maelezo yoyote rasmi juu ya alipopelekwa.

Chadema tunalitaka Jeshi la Magereza, mamlaka husika na vyombo vya dola kutoa taarifa wazi na za haraka kwa umma kuhusu mahali alipopelekwa Mhe. Tundu Lissu. Iwapo bado anashikiliwa katika Gereza la Keko, ni haki ya familia, viongozi na wanachama kumuona - ni haki ya msingi ya kibinadamu na kikatiba.

Imetolewa leo Aprili 18, 2025
Brenda Rupia
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi

===========================

KAULI YA MSEMAJI WA JESHI LA MAGEREZA

JamiiForums imewasiliana na Msemaji wa Jeshi la Magereza, Elizabeth Mbezi kuhusu taarifa hizo ikidaiwa Lissu amehamishwa gereza, amesema “Bado sijazipata hizo taarifa”.

Alipoulizwa kama kuhamisha Watuhumiwa na Wafungwa ni siri, amesema: "Inategemea na makosa, yapo makosa wanahamishwa kwa siri na yapo makosa hawahamishwi kwa siri."

Alipoulizwa kuwa kuhusu tuhuma za Lissu ni kati ya ambazo zimo kwenye lista ya kuhamishwa kwa siri amesema "Ngoja nifuatilie kwanza."
Chadema tunalitaka Jeshi la Magereza, mamlaka husika na vyombo vya dola kutoa taarifa wazi na za haraka kwa umma kuhusu mahali alipopelekwa Mhe. Tundu Lissu. Iwapo bado anashikiliwa katika Gereza la Keko, ni haki ya familia, viongozi na wanachama kumuona - ni haki ya msingi ya kibinadamu na kikatiba
 
Tundu Lissu has just been collected by official motorcade from the Keko prison.

Not so sure where exactly is he being taken

———
UPDATE:

My insider indicates that he has been moved to Ukonga

View attachment 3308522

TUNATAKA KUJUA ALIPO MHE TUNDU LISSU
Leo Ijumaa, Aprili 18, 2025, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Wakili Ali Ibrahim Juma, Mawakili, Familia, na wanachama kwa nyakati tofauti, wamefika katika Gereza la Keko ambapo Mwenyekiti wa Chadema, Mheshimiwa Tundu Lissu anashikiliwa.

Hata hivyo, juhudi zao za kumuona Mhe. Lissu hazikufanikiwa baada ya kuelezwa kuwa hayupo katika gereza hilo, cha kusikitisha, hawakupewa maelezo yoyote rasmi juu ya alipopelekwa.

Chadema tunalitaka Jeshi la Magereza, mamlaka husika na vyombo vya dola kutoa taarifa wazi na za haraka kwa umma kuhusu mahali alipopelekwa Mhe. Tundu Lissu. Iwapo bado anashikiliwa katika Gereza la Keko, ni haki ya familia, viongozi na wanachama kumuona - ni haki ya msingi ya kibinadamu na kikatiba.

Imetolewa leo Aprili 18, 2025
Brenda Rupia
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi

===========================

KAULI YA MSEMAJI WA JESHI LA MAGEREZA

JamiiForums imewasiliana na Msemaji wa Jeshi la Magereza, Elizabeth Mbezi kuhusu taarifa hizo ikidaiwa Lissu amehamishwa gereza, amesema “Bado sijazipata hizo taarifa”.

Alipoulizwa kama kuhamisha Watuhumiwa na Wafungwa ni siri, amesema: "Inategemea na makosa, yapo makosa wanahamishwa kwa siri na yapo makosa hawahamishwi kwa siri."

Alipoulizwa kuwa kuhusu tuhuma za Lissu ni kati ya ambazo zimo kwenye lista ya kuhamishwa kwa siri amesema "Ngoja nifuatilie kwanza."
Juzi nikiwa mwananchi nilimuona akiwa kwenye gari la magereza asubuhi anapelekwa usawa wa kibaha kule
 
Unajaribu kuwaza kwa hali ya Lissu what if akapata changamoto za ghafla za kiafya na akatutoka akiwa mikononi mwao.

Serikali ijitahidi sana kutokuwa na michezo ya shilingi chooni.
If this is a will of his God .No body can do What Lisu God dont want to happens..So it is writen and So Lets it be done🙏🏽
 
Back
Top Bottom