Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 7,682
- 9,529
Elewa neno MaridhianoSio kwenye kesi ya Uhaini tena?
Elewa neno MaridhianoSio kwenye kesi ya Uhaini tena?
Inaonekana hujui Siasa za Tanzania ndugu yanguYaani kumkamata mtu ambae anataka tupigane na kuuana limchafue Mh.Rais...kua serious bhana.
Maridhiano ni Reforms tuElewa neno Maridhiano
Kwahiyo Siasa ni kusema tuvuruge uchaguzi? Kusamehewa kwa Mh.Mbowe akuwezi kuhalalisha makosa ya Lissu..Inaonekana hujui Siasa za Tanzania ndugu yangu
Kwani kesi ya Ugaidi ya Mbowe iliishia wapi?
Hakuna shtaka pale, we kaa usubiri kusikia DPP hana nia ya kuendelea na hiyo kesi
Hawachelewi kumpiga sumuMaridhiano ni Reforms tu
Njoo mahakamani..utueleze unaposema tutashika bunduki ,tutavuruga uchaguzi unakua una malengo ganiSema ni wapi alisema mpigane na kuuana?
Unashindwa ni kutetea hoja yako. Ndio maana ushindani wa ccm ni kusaidiana na dola ili kuwadhibiti upinzani. Sasa mahakamani ndio nije ili uthibitishe hoja yako, ndio unakotegemea?Njoo mahakamani..utueleze unaposema tutashika bunduki ,tutavuruga uchaguzi unakua una malengo gani
Serikali ilishindwa kuuthibitishia Umma Ugaidi wa MboweKwahiyo Siasa ni kusema tuvuruge uchaguzi? Kusamehewa kwa Mh.Mbowe akuwezi kuhalalisha makosa ya Lissu..
Reforms za nn? Na CHAUMMA tupo tayari bila hizo reformsMaridhiano ni Reforms tu
Ahsante jaji,hivi tunajua maana ya kufunguliwa kesi ?Serikali ilishindwa kuuthibitishia Umma Ugaidi wa Mbowe
Vivyo hivyo hata kwenye Uhaini wa Lissu hawataweza
Hiyo ni hide and seek game
Hii kitu imekua handled very professionally na ndio maana hakuna keleleNafikiri kuna some terms (mazungumzo) watakuwa wanafanya na Ofisi kubwa ili kujaribu kulimaliza hili kabla ya hearing.
Hili jambo linamchafua sana her excellence both internally and externally
Kwahiyo huu ndiyo ushahidi ambao CHADEMA tunaenda kuutumia dhidi ya mashtaka yanayo tukabili?Unashindwa ni kutetea hoja yako. Ndio maana ushindani wa ccm ni kusaidiana na dola ili kuwadhibiti upinzani. Sasa mahakamani ndio nije ili uthibitishe hoja yako, ndio unakotegemea?View attachment 3308531
Tuendelee na maandalizi ya Sikukuu ya Pasaka ndugu yanguAhsante jaji,hivi tunajua maana ya kufunguliwa kesi ?
Acha uzushiView attachment 3308532
Tuliwaambia Lissu mzee wa Madili hamkutuelewa. Sasa endeleeni kukunja ngumi. Mwenzenu yuko anapiga dili..haya sasa mnakwenda gerezani wakati mwenzenu hayupo.
Nani kakuambia polisi wTasimama mahakaniPolisiccm wanahaha cha kujibu maswali mahakamani wanatamani kumwachia huru hata mda huu lakini mbowe G55 na kamati ya Rohombayaccm wanataka afie jela ili Mbowe arejee kuwa mwenyekiti wa chadema tena
You have nailed it up buddy... inabidi kujifunza tu.Hii kitu imekua handled very professionally na ndio maana hakuna kelele
The DOMO did let himself down kuongea yasiyofaa na kiongozi
I am sure he is learning kwani hajawahi kuwa kiongozi…. Ni mgeni wa mambo
Acha sheria ilinde katiba
Aisee!R I P Thadei Ole Mushi