DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kuna watu wa G55 na mbowe wameugeuza mradi wa sasa, wanataka kutumia nafasi hii kumdhoofisha kisiasa ili warejeshe mbowe kuwa mwenyekiti tena, Mbowe anafanya hii kesi kuwa ngumu kwa malengo yake
Acha kujaza saver kwa message za kijinga. Wala husaidii kukijenga Chadema kwa ufitini wako huu. Ningekuona wa maana kama ungeenda barabarani kumuokoa Lisu.
 
Zingatia na ufahamu nini nimeandika na kilichonifanya nikatuma hiyo picha usikurupuke mimi siwakulipiwa bando ili nitetee ujinga humu kama nyinyi mnavyofanyiwa huko lumumba.

Hizo shule zenu sijui mlitumia ufahamu gani.
Sasa hapa umeandika nini? Jenga hoja,achana na mihemko isiyo na tija kwa Taifa letu pendwa. KARIBU
 
G55 😅😅
Humjui huyo? Sio G55 bali ni mbogamboga anayetumika kama fagio la chama ndani chama dhidi ya wote wenye akili wasio kubalika maana kuwa na akili ndani yao ni kosa kama ilivyokuwa kwa Thadei Ole Mushi.
 
huyu ndie modo wangu na olewao ,Nina utajiri wa tilion 7 CCM na serikali yake itatawanywa
 
Mdomo wake wa ulopokaji na majisifa ya kijinga yamemponza.
Wacha sheria ichukue nafasi yake. alidhani yeye yupo juu ya sheria??!
au alidhani nchi haina kiongozi wa kusimamia sheria? ngoja wambane korodani kama akitoka akili itatulia.
 
Walioshangilia kifo cha Magufuli kwa 99% wana matatizo ya akili ni vile tu madaktari hawajathibitisha.
Na matokeo ya dhambi waliyoifanya ndio maana mambo yamewageukia sasa badala ya kupambana na mwanaume mwenzao sasa wananyanyaswa na mwanamke na hawana uwezo wa kumfanya chochote hao MAKHALUUKU TABU.
Muambie huyo mwanamke ajitokeze akae mbele na familia yake awanyanyase hao watu maana hawana silaha, ili tuone atanyanyasa wangapi.
 
We bwege acha uzushi kujifanya unajua hbr za ndani. Ht angehamishwa gereza ni utaratibu wa gereza we nani uwapangie. Unatafuta kiki za kipuuzi kwa kuleta uzushi.
Ni utaratibu wa kawaida lakini taatifa zinafichwa.
 
Kwani kunasehemu sheria inakataza mahabusu kuhamishwa gereza?
 
Back
Top Bottom