DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Inawezekana but itakuwa ni win win situation sidhani kama atakubali kitu kwenye plate sababu kuu ni karba yake Tabia haibadiliki , na Lissu inaonekana alijioanga muda mrefu nje kabla ya ndani Kimataifa ana back up kubwa sana kuliko mwanasiasa yeyote kutokea Tanzania

Nafikiri kwake ni mabadiliko hataki kingine maana alishawahi kufa Hana Cha kupoteza Wala Cha kufurahia
Of course, ile miaka 4 aliyokaa nje akijiuguza ndiyo ilitumika kutengeneza networks

Na to be honest, the guy has connections and influences

Kitu ambacho wapenzi wengi wa Siasa humu, hasa GenZ ambao wengi wanatumika na baadhi ya Wabunge na Mawaziri kama Machawa

Hiyo agenda ya Lissu ina baraka za deep state

Na wanafanya kumtumia kupush hiyo agenda baada ya kuona hakuna mwenye nia ya dhati wa kutoa Katiba mpya na Vijana wengi wamelala Kwa kuangukia kwenye Uchawa na Simba na Yanga zao

Wameona bora Katiba mpya ipatikane ili Nchi iendelee kuwa na amani Kwa kuwa na Katiba imara on the coming years

Maana wote mtakuwa mnakumbuka lile Saga la Uchaguzi wa ndani ya Chama Mwaka 2015 hadi Ben kuingilia kati

Pamoja na ule Uchaguzi wa Mwaka 1995 hadi Mwl akaingilia kati

Kama hawa Wazee wataondoka 5 to 20 years to come, anaweza asitokee Kiongozi mwingine mwenye influence na mandate kama Mwl Mwaka 1995 na Ben Mwaka 2015
 
Nafikiri kuna some terms (mazungumzo) watakuwa wanafanya na Ofisi kubwa ili kujaribu kulimaliza hili kabla ya hearing.

Hili jambo linamchafua sana her excellence both internally and externally
Kwani limetokea bila ya yeye kujua? I don't think so.
 
Kwani limetokea bila ya yeye kujua? I don't think so.
Huenda alipewa taarifa likiwa limeshatendeka

Ama hakuweza ku-predict consequences zake

Ama ulikuwa ni mchezo wa gizani kumuondolea kukubalika, si mnajua hata kule Dodoma ni faulo ilitumika kumpata yeye na mwenza wake
 
Walioshangilia kifo cha Magufuli kwa 99% wana matatizo ya akili ni vile tu madaktari hawajathibitisha.
Na matokeo ya dhambi waliyoifanya ndio maana mambo yamewageukia sasa badala ya kupambana na mwanaume mwenzao sasa wananyanyaswa na mwanamke na hawana uwezo wa kumfanya chochote hao MAKHALUUKU TABU.
Pole mkuu naona bado una omboleza.
 
Serikali inakosea sana,kama GAIDI anasamehewa na kuitwa IKULU,hii ni hatari sana,ngoja tuone na kwa MHAINI.
Kwahiyo watu waendelee kukosea kisa watapewa msamaha na kuitwa Ikulu?
 
Kwahiyo watu waendelee kukosea kisa watapewa msamaha na kuitwa Ikulu?
Huoni kama ni hatari kwa nchi,endapo inatangazwa kua KUNA GAIDI au MHAINI halafu mwisho wa siku inasemwa kua kesi imefutiliwa mbali na gaidi au mhaini anaachwa nje?
Au ile kauli ya MAKALA na EBOLA huoni ni siasa za kijingajinga na inaweza kufanya wageni wakahofia kuja nchini?
 
Nafikiri kuna some terms (mazungumzo) watakuwa wanafanya na Ofisi kubwa ili kujaribu kulimaliza hili kabla ya hearing.

Hili jambo linamchafua sana her excellence both internally and externally


Washauri wake wamendanganya tena
 
Of course, ile miaka 4 aliyokaa nje akijiuguza ndiyo ilitumika kutengeneza networks

Na to be honest, the guy has connections and influences

Kitu ambacho wapenzi wengi wa Siasa humu, hasa GenZ ambao wengi wanatumika na baadhi ya Wabunge na Mawaziri kama Machawa

Hiyo agenda ya Lissu ina baraka za deep state

Na wanafanya kumtumia kupush hiyo agenda baada ya kuona hakuna mwenye nia ya dhati wa kutoa Katiba mpya na Vijana wengi wamelala Kwa kuangukia kwenye Uchawa na Simba na Yanga zao

Wameona bora Katiba mpya ipatikane ili Nchi iendelee kuwa na amani Kwa kuwa na Katiba imara on the coming years

Maana wote mtakuwa mnakumbuka lile Saga la Uchaguzi wa ndani ya Chama Mwaka 2015 hadi Ben kuingilia kati

Pamoja na ule Uchaguzi wa Mwaka 1995 hadi Mwl akaingilia kati

Kama hawa Wazee wataondoka 5 to 20 years to come, anaweza asitokee Kiongozi mwingine mwenye influence na mandate kama Mwl Mwaka 1995 na Ben Mwaka 2015
Kwa Sasa hakuna Kiongozi mstaafu au aliye serikalini mwenye influence labda kwemye korido zao lakini Kwa wananchi hakuna tuombe tu Jeshi lisije ingia tamaa au kuchoka na kama Jeshi likifanya yake asilimia 100 ya wananchi wataliunga Mkono sababu wananchi wamechoka sana na Serikali
 
Kwa Sasa hakuna Kiongozi mstaafu au aliye serikalini mwenye influence labda kwemye korido zao lakini Kwa wananchi hakuna tuombe tu Jeshi lisije ingia tamaa au kuchoka na kama Jeshi likifanya yake asilimia 100 ya wananchi wataliunga Mkono sababu wananchi wamechoka sana na Serikali
Sio hili Jeshi la Sasa ambalo wale top layer nao wanakula Kwa urefu wa Kamba

Kwa namna morphology ya Jeshi letu lilivyokaa, ni vigumu wao kutekeleza mission

Maana kwenye Kila Kombania kuna whistleblower
 
Vitabu.
Screenshot_20250216-230326_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom