Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 40,959
- 119,403
Wewe na hao mbwa wenzako mnaosubiri watu waandamane barabarani ili muwaue, hamna akili.ANDAMANENI.Mkione cha moto.Mbona mnalia lia.
Wewe na hao mbwa wenzako mnaosubiri watu waandamane barabarani ili muwaue, hamna akili.ANDAMANENI.Mkione cha moto.Mbona mnalia lia.
Hao wehu wala hawaja liona hiliThey are just wasting their time and other resources! That Gentleman is an exceptional! A future Pesident of this country.
Yeah na kodi zetu wanazitumbua tu kama hakuna watu hii nchi wa kuulizaSiku hizi hata barabarani unakutana na magari hayana plate number, gari hazijalipiwa. Kodi zinatembea kona zote hawajali hawaogopi kitu, ccm wapo busy kuwaonea wapinzani
Kumtaja tu lissu ni maombi. Damu ya yesu iliyo mwagika pale msalabani imlinde na baya lolote watesi na manyang'anyi ya hii nchi wakusudiapo. Na iwarudia mara 70 mara 70 wa shenzi waleMaombi kwa sana yaani. Hakuna Mungu asiyesikia maombi yetu.
May be to where Jesus was taken to on that dark Friday. Let's hope not to Kibao's slaughter field.Tundu Lissu has just been collected by official motorcade from the Keko prison.
Not so sure where exactly is he being taken
weweeeeeeeeeeeeeeeeee mnampeleka wapi tumewaonaTundu Lissu has just been collected by official motorcade from the Keko prison.
Not so sure where exactly is he being taken
Na inatakiwa akazie hapo hapoNafikiri kuna some terms (mazungumzo) watakuwa wanafanya na Ofisi kubwa ili kujaribu kulimaliza hili kabla ya hearing.
Hili jambo linamchafua sana her excellence both internally and externally
laana iko inakula mamaLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Dikteta mwanamke hashindwi kama walivyomuua Ally Kibao na akasema kifo ni kifo tu.FOR EXECUTION? ISJEKUWA WANAKWENDA KUMUUA
Umekuwa tofaut mkuu kimtazamo. Maana tunajua wewe ni Team CCM damu damu..big up sana mkuuAcha kutetea mfumo gandamizi,Kuna siku utakuwa tofauti na upande wa mfumo hapo ndo utajua umuhimu wa upinzani,
Madai ya mh rais kuchafuliwa na swala hili hayana msingi wowote.Nafikiri kuna some terms (mazungumzo) watakuwa wanafanya na Ofisi kubwa ili kujaribu kulimaliza hili kabla ya hearing.
Hili jambo linamchafua sana her excellence both internally and externally
Yule ana msimamo mkali siyo kama mtangulizi wakeNafikiri kuna some terms (mazungumzo) watakuwa wanafanya na Ofisi kubwa ili kujaribu kulimaliza hili kabla ya hearing.
Hili jambo linamchafua sana her excellence both internally and externally
The FifthRigathi Gachagua forever
Asante mzee wetu kwa busara zako maana Kuna KIJANA mmoja alisema kwenye nyuziii za ""no reforms no ELECTION"" hajakuona kabisaa 😊😊Nafikiri kuna some terms (mazungumzo) watakuwa wanafanya na Ofisi kubwa ili kujaribu kulimaliza hili kabla ya hearing.
Hili jambo linamchafua sana her excellence both internally and externally
kwanini unamtoa saa100Chochote kibaya kikimkuta Lisu wa kwanza kuwaumiwa ni kileo wa G55 na mbowe kwanza
Uenda ikawa,tuwe na subra.Nafikiri kuna some terms (mazungumzo) watakuwa wanafanya na Ofisi kubwa ili kujaribu kulimaliza hili kabla ya hearing.
Hili jambo linamchafua sana her excellence both internally and externally
Asante kwa Uzalendo wakoTundu Lissu has just been collected by official motorcade from the Keko prison.
Not so sure where exactly is he being taken
Usimuamshe aliyelalaLissu ana kifaa kinaonesha yupo wapi!