DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Tuendelee na maandalizi ya Sikukuu ya Pasaka ndugu yangu

Karibu Jumapili tufurahie kufufuka Kwa Mkombozi wetu Kristo
Ahsante,sema mimi pasaka nimeisha ianza zamani maana kwa utamaduni wa mwana wa Afrika ni kila baada ya mwezi
 
Kwahiyo huu ndiyo ushahidi ambao CHADEMA tunaenda kuutumia dhidi ya mashtaka yanayo tukabili?
Zingatia na ufahamu nini nimeandika na kilichonifanya nikatuma hiyo picha usikurupuke mimi siwakulipiwa bando ili nitetee ujinga humu kama nyinyi mnavyofanyiwa huko lumumba.

Hizo shule zenu sijui mlitumia ufahamu gani.
 
During my lifetime, I have dedicated my life to this struggle of the African people. I have fought against white domination, and I have fought against Black domination. I have cherished the ideal of a democratic and free society in which all persons will live together in harmony and with equal opportunities. It is an ideal for which I hope to live for and to see realised. But, my Lord, if it needs be, it is an ideal for which I am prepared to die.... Nelson Mandela
 
During my lifetime, I have dedicated my life to this struggle of the African people. I have fought against white domination, and I have fought against Black domination. I have cherished the ideal of a democratic and free society in which all persons will live together in harmony and with equal opportunities. It is an ideal for which I hope to live for and to see realised. But, my Lord, if it needs be, it is an ideal for which I am prepared to die.... Nelson Mandela
Haya ni maneno ambayo namwomba Mh. TAL aya-quote kwenye hiyo hukumu yake
 
We mwehu acha ushabiki km zombie, huyo nyau si ni yuleyule wa 2020 aliyekimbilia ubalozi wa Ujerumani akatokomea Ulaya? We hujui maana ya dola, ustaarabu wa Rais ulikuwa unamlinda. Huyo ni nyau mdg sn hakuwahi ht kuwa na kacheo, aliyekuwa Rais wa Zanzibar aliwekwa kizuizini mpk anakufa, huyo nyau ni nani
We mwehu acha ushabiki km zombie, huyo nyau si ni yuleyule wa 2020 aliyekimbilia ubalozi wa Ujerumani akatokomea Ulaya? We hujui maana ya dola, ustaarabu wa Rais ulikuwa unamlinda. Huyo ni nyau mdg sn hakuwahi ht kuwa na kacheo, aliyekuwa Rais wa Zanzibar aliwekwa kizuizini mpk anakufa, huyo nyau ni nani.
Mom ako
 
Zingatia na ufahamu nini nimeandika na kilichonifanya nikatuma hiyo picha usikurupuke mimi siwakulipiwa bando ili nitetee ujinga humu kama nyinyi mnavyofanyiwa huko lumumba.

Hizo shule zenu sijui mlitumia ufahamu gani.
Hana akli
Kung'amua jambo dogo lashindwa.
 
Ardhi hii ya tanganyika wamepita wengi. Haw ni wachache nakukumbusha
1. Julius Nyerere
2. H. Mwinyi
3. B. Mkapa
4. Magufuli

Ardhi hii imebaki na maisha yanaendelea.
 
Kwahiyo Siasa ni kusema tuvuruge uchaguzi? Kusamehewa kwa Mh.Mbowe akuwezi kuhalalisha makosa ya Lissu..
Serikali inakosea sana,kama GAIDI anasamehewa na kuitwa IKULU,hii ni hatari sana,ngoja tuone na kwa MHAINI.
 
Hana akli
Kung'amua jambo dogo lashindwa.
Nashangaa kabisa na yamo mengi sana humu yaani unamkote na kumchalenge hoja yake yeye analeta ngonjera nyengine amabzo haziendani na hoja ya ulimchalenjia.
 
Back
Top Bottom