shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 687
- 2,278
Umenena kweli biblia imekataza mwanamke kuwa kiongozi wala kusimama mbele ya wanaume kuwafundisha,lakiniWanawake ni chanzo Cha anguko la Dunia hii!Sio Yesu tu hata hata Issac Newton,Nicola Tesla, Galileo Galilei n.k waliwakwepa wanawake. Hata hivyo Mungu aliweka wazi Mwanamke asiwe kiongozi Muislamu wa kweli na Mkristo wa Kweli kamwe hawezi kuongozwa na Mwanamke.Wanaume wa Tanzania tumeuza haki zetu tujiandae na anguko kubwa zaidi kwenye Kila jambo.
Watu wamepotoka kweli kweli,siku hizi hadi kuna manabii wanawake,yupo mmoja clouds jumapili,yupo serious kabisa na anachokifanya!!! Inashangaza Sana!Wanawake ni chanzo Cha anguko la Dunia hii!Sio Yesu tu hata hata Issac Newton,Nicola Tesla, Galileo Galilei n.k waliwakwepa wanawake. Hata hivyo Mungu aliweka wazi Mwanamke asiwe kiongozi Muislamu wa kweli na Mkristo wa Kweli kamwe hawezi kuongozwa na Mwanamke.Wanaume wa Tanzania tumeuza haki zetu tujiandae na anguko kubwa zaidi kwenye Kila jambo.