Kwanini Yesu Kristo hakuoa, hakuwa na mwanafunzi wa kike, pia Yesu hakuwa na ukaribu wala urafiki na wanawake? Kuna nini nyuma ya pazia ?

Wanawake ni chanzo Cha anguko la Dunia hii!Sio Yesu tu hata hata Issac Newton,Nicola Tesla, Galileo Galilei n.k waliwakwepa wanawake. Hata hivyo Mungu aliweka wazi Mwanamke asiwe kiongozi Muislamu wa kweli na Mkristo wa Kweli kamwe hawezi kuongozwa na Mwanamke.Wanaume wa Tanzania tumeuza haki zetu tujiandae na anguko kubwa zaidi kwenye Kila jambo.
Umenena kweli biblia imekataza mwanamke kuwa kiongozi wala kusimama mbele ya wanaume kuwafundisha,lakini
Wanawake ni chanzo Cha anguko la Dunia hii!Sio Yesu tu hata hata Issac Newton,Nicola Tesla, Galileo Galilei n.k waliwakwepa wanawake. Hata hivyo Mungu aliweka wazi Mwanamke asiwe kiongozi Muislamu wa kweli na Mkristo wa Kweli kamwe hawezi kuongozwa na Mwanamke.Wanaume wa Tanzania tumeuza haki zetu tujiandae na anguko kubwa zaidi kwenye Kila jambo.
Watu wamepotoka kweli kweli,siku hizi hadi kuna manabii wanawake,yupo mmoja clouds jumapili,yupo serious kabisa na anachokifanya!!! Inashangaza Sana!
 
Shalom,

Habari kwenu nyote wadau wa jukwaa hili, nimekuwa nikijiuliza sana haya maswali kwanini Yesu hakuoa, Kwanini Yesu hakuwa na mwanafunzi wa kike, kwanini Yesu pia hakuwa na ukaribu wala urafiki na wanawake?

Hili fumbo linatupatia Mtihani gani ?
Tusaidiane kufikiria, karibu kwa rejea nyingi na majibu.

Wadiz
Aliacha mtoto mmoja, jaribu kusoma vitabu vingine vya miaka hiyo nje ya Biblia takatifu.
 
Ulishasoma mahali kwenye msahafu wowote kuhusu kiumbe Cha jinsia ya kike Mbinguni?

Mfano, umewahi kusoma popote kuwa Kuna malaika wa Kike?

YESU ni wa Mbinguni na sio wa Duniani. Duniani ndio kuna kuoa na kuolewa. Huwezi elewa hili ukitafakari kwa akili za makobazi.
 

Yohane 4:7-29

Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka maji. Yesu akamwambia, “Nipatie maji ninywe.” (Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.) Lakini huyo mwanamke akamwambia, “Wewe ni Myahudi; mimi ni mwanamke Msamaria! Unawezaje kuniomba maji?” (Wayahudi hawakuwa na ushirikiano na Wasamaria katika matumizi ya vitu). Yesu akamjibu, “Kama tu ungalijua zawadi ya Mungu na ni nani anayekuambia: ‘Nipatie maji ninywe,’ ungalikwisha mwomba, naye angekupa maji yenye uhai.” Huyo mama akasema, “Bwana, wewe huna chombo cha kutekea maji, nacho kisima ni kirefu; utapata wapi maji yenye uhai?

LUKA 7:36-50
  • MWANAMKE MTENDA DHAMBI AMIMINA MAFUTA KWENYE MIGUU YA YESU
  • AFUNDISHA KUHUSU MSAMAHA AKITUMIA MFANO WA MTU MWENYE DENI
Watu wanaitikia kwa njia tofauti mambo ambayo Yesu anasema na kufanya, ikitegemea hali ya moyo wao. Hilo linaonekana wazi katika nyumba fulani huko Galilaya. Farisayo anayeitwa Simoni anamkaribisha Yesu kwenye mlo, labda ili amwone kwa ukaribu mtu anayefanya kazi hizo za ajabu. Huenda Yesu anakubali kwa sababu anaona hiyo ni nafasi ya kuwahubiria wale waliopo, kama alivyokubali pindi nyingine alipoalikwa kula pamoja na wakusanya kodi na watenda dhambi.
Tafakari sana hapo kwenye kisima ni kirefu na huna chombo cha kutekea utawezaje kunipa maji ya uhai pana fumbo zito sana!
 
Umenena kweli biblia imekataza mwanamke kuwa kiongozi wala kusimama mbele ya wanaume kuwafundisha,lakini

Watu wamepotoka kweli kweli,siku hizi hadi kuna manabii wanawake,yupo mmoja clouds jumapili,yupo serious kabisa na anachokifanya!!! Inashangaza Sana!
Kuwa nabii mwanamke ni sahihi, mwanamke anaweza akawa mwalimu, muinjilisti ila sio ktk nafasi ya Utume na Uchungaji wa kuchunga kanisa, hizo huduma za Utume na Uchungaji zimebeba uongozi ndani mwake.

Sasa Biblia haijawahi kutaja mwanamke kuwa sehemu ya juu kabisa kimamlaka popote pale. Utume na Uchungaji unahitaji mamlaka.
 
Mimi naamini kuwa, alikuwa na marafiki wa kike na pia kulikuwa na wanafunzi wa kike ila kwa kuwa enzi hizo wanawake walikuwa hawahesabiki ndio mana hakuna taarifa zao.
 
Shalom,

Habari kwenu nyote wadau wa jukwaa hili, nimekuwa nikijiuliza sana haya maswali kwanini Yesu hakuoa, Kwanini Yesu hakuwa na mwanafunzi wa kike, kwanini Yesu pia hakuwa na ukaribu wala urafiki na wanawake?

Hili fumbo linatupatia Mtihani gani ?
Tusaidiane kufikiria, karibu kwa rejea nyingi na majibu.

Wadiz
Hivyo viumbe vinge muingiza majalibuni🐸👈
 
Back
Top Bottom