Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Safi Sana.. alikuwa anajifanya MagufuliWalifumua kitambi ukatoka urojo
Safi Sana.. alikuwa anajifanya MagufuliWalifumua kitambi ukatoka urojo
dahCCM niijuayo mimi
View attachment 2077805View attachment 2077807View attachment 2077810View attachment 2077813View attachment 2077816View attachment 2077819View attachment 2077823View attachment 2077827View attachment 2077828View attachment 2077831View attachment 2077833View attachment 2077834View attachment 2077837View attachment 2077838
Wote wamepata walichostahiliAcha ujinga
Hanga hakukumbulia Guinea bali alikuwa Balozi kule hivyo akarudishwa nyumbaniFORTALEZA Mwalimu alimfahamu Hanga kabla ya Mapinduzi vile vile aliwahi kumpa msaada wa kifedha Hanga.Hanga alisoma London pamoja na Kambona na wakawa marafiki.Baadaye Hanga na Kambona wakatuhumiwa kutaka kumpindua Mwalimu na Karume.Kambona akakimbilia UK na Hanga akakimbilia Guinea.
Ww ndio bwege tena mshamba. Kazi ya uchunguzi ina require ku chakata kuchunguza information zinazopatikana. Sio kuhamisha umbea kutoka sehem moja kwenda nyingine bila kufanyia kaziWewe bwege, kachero hatakiwi kuchukua story kijiweni?
Unachukua story kijiweni halaf unazipeleka hivyo hivyo kama zilivyo badala ya kuzifanyia kazi kama ni za kweli au lah? Effect yake ikoje? Wahusika? Source ni credible?Kachero hatakiwi kuchukua story kijiweni?
Kumbe ni story za kijiweni D/cpl. Unashindwa kufanya ukachero wako? Uditective wako ni upi sasa?
Kitendee haki cheo chako.
Baada ya kwenda Guinea, Hanga alihakikishiwa na Rais wa nchi hiyo, Ahmed Sekou Toure, na Nyerere wa Tanzania, kwamba angekuwa huru na salama akirejea nchini. Hanga alirejeshwa Tanzania kutoka Guinea.Hanga hakukumbulia Guinea bali alikuwa Balozi kule hivyo akarudishwa nyumbani
Si umuulize Karume?Nipo mahala hapa kijiweni nafuatilia story kibao juu ya masuala yanayohusu matukio kibao yaliyotokea baada ya mapinduzi ya Zanzibar.
Kuna mzee anasimulia hapa juu ya watu kibao kuuliwa baada ya mapinduzi kutokea. Anadai kuwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar Kassim Hanga aliuliwa na mpaka leo haijulikani aliyemuua ni nani na aliuawa wapi.
Je, ni kwanini CCM tokea wakati wa hayati Nyerere hawataki kuweka wazi ukweli juu ya hili suala?
ShikamOOCCM niijuayo mimi😁😁😁
View attachment 2077805View attachment 2077807View attachment 2077810View attachment 2077813View attachment 2077816View attachment 2077819View attachment 2077823View attachment 2077827View attachment 2077828View attachment 2077831View attachment 2077833View attachment 2077834View attachment 2077837View attachment 2077838
Karume alimtaka Hanga Zanzibar baada ya Nyerere kumficha huku bara. Alipompata akamtosa baharini. Mauaji yalifanywa siri lakini duniani hakuna siri.Rais wa JMT hana mamlaka Zanzibar?
Karume alikuwa kiongozi kama viongozi wa jadi. Lilikuwa bonge la katiliKarume alimtaka Hanga Zanzibar baada ya Nyerere kumficha huku bara. Alipompata akamtosa baharini. Mauaji yalifanywa siri lakini duniani hakuna siri.
Ingawa zipo habari za Nyerere kumzodoa Hanga hadharani pale mnazi mmoja uwanjani mbele ya Arnatoglo hall miaka hiyo ya sitini.
Malizia mkuu, wala wali tu juu mpishi kaweka nyama nyingi chini.FORTALEZA Mwalimu alimfahamu Hanga kabla ya Mapinduzi vile vile aliwahi kumpa msaada wa kifedha Hanga.Hanga alisoma London pamoja na Kambona na wakawa marafiki.Baadaye Hanga na Kambona wakatuhumiwa kutaka kumpindua Mwalimu na Karume.Kambona akakimbilia UK na Hanga akakimbilia Guinea.
Hata yule msimamizi wa tume ya uchaguzi ya Kenya nae kifo chake kilikuwa kibaya sana.Jibu rahisi tu,system iliyomuua na iliyofsidika na kifo chake,Bado ipo Madarakani.
Mauaji ya kisiasa hufanyika sana,pale Kenya,Robert ouko,Tom mboya,waliuliwa na Idara ya ujasusi ya Kenya,special branch kipindi Cha Raisi Kenyata,huo ukweli hauwezi kuwekwa wazi kabisa,kwa sababu madhara yake yanaweza kuwa makubwa sana,Inahitaji,umakini sana kuweka wazi madhira na mauaji ya kisiasa yaliyofanywa na tawala zilizopita,wakati mwingine,kwa usalama wa nchi,na nchi ibaki moja,mambo mengine Bora yafichwe tu,
Hayo ni madai ya kizushi yapuuze.Nasikia Nyerere ndiye aliyeagiza mauaji ya bwege Karume
Tunao wanahistoria wengi makini wanaoweza kueleza mambo haya kinagaubaga kuliko tunavyofanya katika makala za magazetini, lakini ama hawajapata jukwaa au hawako tayari kufanya hivyo. Namuunga mkono Issa bin Nasser kwa aliyosema katika kitabu chake, Zanzibar: Kinyanganyiro na Utumwa. Aliandika: Mwenyezi Mungu ndiye mjuaji wa yote. Sentensi inayotangulia maneno hayo, ambayo ndiyo imenikopesha maneno ya kichwa cha habari ya mada hii, inatia uchungu hata zaidi inaposomeka hivi: Mwenyezi Mungu mwenyewe anaelewa namna ya kuihukumu dhuluma hii iliyotendekaMalizia mkuu, wala wali tu juu mpishi kaweka nyama nyingi chini.
Elezea kwanini Hanga ilibidi arudi TZ kutokea Guinea na yakamkuta yalomkuta.