Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,125
- 4,163
Nipo mahala hapa kijiweni nafuatilia story kibao juu ya masuala yanayohusu matukio kibao yaliyotokea baada ya mapinduzi ya Zanzibar.
Kuna mzee anasimulia hapa juu ya watu kibao kuuliwa baada ya mapinduzi kutokea. Anadai kuwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar Kassim Hanga aliuliwa na mpaka leo haijulikani aliyemuua ni nani na aliuawa wapi.
Je, ni kwanini CCM tokea wakati wa hayati Nyerere hawataki kuweka wazi ukweli juu ya hili suala?
Kuna mzee anasimulia hapa juu ya watu kibao kuuliwa baada ya mapinduzi kutokea. Anadai kuwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar Kassim Hanga aliuliwa na mpaka leo haijulikani aliyemuua ni nani na aliuawa wapi.
Je, ni kwanini CCM tokea wakati wa hayati Nyerere hawataki kuweka wazi ukweli juu ya hili suala?