Kwanini Manji anaandamwa na huu utawala?

Kwanini Manji anaandamwa na huu utawala?

"Inazuwa "au Inazua .Tatizo la kusoma shule za msingi za serikali, Inasikitisha sana tatizo sio wewe, kikubwa usikubali watoto wako wasome hizo shule ambazo walimu waliwafundisha kimakonde, kwa kifupi kiswahili hujui jipange sana

Kiswahili kilichosanifiwa ni kwa ajili yako usiyeelewa Kiswahili.
 
Ukumbuke ni Rafiki mkubwa wa lowassa na alimpa cash, kwenye uchaguzi pia alikuwa team membe na ukumbuke mhasibu wake alikamatwa na burungutu la hela pale dodoma!
 
Manji amepatwa misukosuko mingi tangia hawa vibosile wakamate ulaji kwa sababu kubwa moja tu wakati Wa mchakato Wa uraisi ndani ya CCM alimpigia debe la nguvu Membe.

Yale maburunkutu yalidakwa baadaye yakatakatishwa na polisi kuwa hayakuwa na dhamira ya kuhonga wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM bali yalikuwa ya kuendesha shughuli za mfanyabiashara huyo.

Membe alipodondoka na Manji khali yake kisiasa ikaingia matatani.

Iwe Koko Beach, iwe ni Yanga na sasa madawa ya kulevya Manji anasomeshwa namba na chama chake.

Visasi ndiyo mkakati uliopo lakini pia kumdhoofisha kiuchumi na kisiasa asiweze kufurukuta na kuwa na ushawishi wowote chaguzi zijazo.

Unapoona kibosile anakerwa gari la Manji kuoshwa Central Police na kama yeye angelikuwa ni IGP angeona cha mtema kuni ujue huo ni uhasama mtupu na visasi.

Kwani kuosha gari polisi ni kuvunja sheria ipi hadi kibosile autamani u-IGP?

Manji ikumbukwe alianza kutajirika wakati wa Mwinyi, Mkapa na JK wakamneemesha vilivyo kwa madili kebekebe sasa ni wakati wake Wa kusoma namba.

Akina Professa Kapuya waliomnyoshea njia wako kwenye mawe na ndiyo maana anasoma namba ila hajaielewa......ukiona hata maamuzi ya mahakama vibosile hawa wanayapuuza ujue hii ni vita ya "survival of the fittest."
Yusufu manji hajaanza kutajirika kwenye utawala wa mwinyi au mkapa, ameurothi utajiri kutoka kwa baba yake ambae alikuwa tajiri enzi za nyerere
 
Yusufu manji hajaanza kutajirika kwenye utawala wa mwinyi au mkapa, ameurothi utajiri kutoka kwa baba yake ambae alikuwa tajiri enzi za nyerere
Mtabaki kumshangilia mkidhani atasalimika, thubutu hii vita ni ya afrika nzima hakuna pa kutokea ulizia kwa jirani kenya utabaini jinsi Mombasa ilivyochafuka wauza unga mtachemka moto umewaka afrika nzima.Kikao cha AU ndiyo maazimio yake haya na utekelezaji wake.Mtabaki mnalia na mjomba Magu mkidhani ana ajenda binafsi. Angalieni TV za kimataifa muone jinsi kazi ya vita ilivyo kwa sasa, siyo kukesha jamii forum na kusafisha gari la mtuhumiwa.
 
Manji amepatwa misukosuko mingi tangia hawa vibosile wakamate ulaji kwa sababu kubwa moja tu wakati Wa mchakato Wa uraisi ndani ya CCM alimpigia debe la nguvu Membe.

Yale maburunkutu yalidakwa baadaye yakatakatishwa na polisi kuwa hayakuwa na dhamira ya kuhonga wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM bali yalikuwa ya kuendesha shughuli za mfanyabiashara huyo.

Membe alipodondoka na Manji khali yake kisiasa ikaingia matatani.

Iwe Koko Beach, iwe ni Yanga na sasa madawa ya kulevya Manji anasomeshwa namba na chama chake.

Visasi ndiyo mkakati uliopo lakini pia kumdhoofisha kiuchumi na kisiasa asiweze kufurukuta na kuwa na ushawishi wowote chaguzi zijazo.

Unapoona kibosile anakerwa gari la Manji kuoshwa Central Police na kama yeye angelikuwa ni IGP angeona cha mtema kuni ujue huo ni uhasama mtupu na visasi.

Kwani kuosha gari polisi ni kuvunja sheria ipi hadi kibosile autamani u-IGP?

Manji ikumbukwe alianza kutajirika wakati wa Mwinyi, Mkapa na JK wakamneemesha vilivyo kwa madili kebekebe sasa ni wakati wake Wa kusoma namba.

Akina Professa Kapuya waliomnyoshea njia wako kwenye mawe na ndiyo maana anasoma namba ila hajaielewa......ukiona hata maamuzi ya mahakama vibosile hawa wanayapuuza ujue hii ni vita ya "survival of the fittest."
Ukiamua kuandika andika kinachoeleweka usituandike ushuzi kama HUU.Alichungumza Ni lazima sasa ufike wakati jeshi la POLISI liheshimike isiwe Ni eneo la Mchezo.Unajua utajiri wa Mehbob Manji?au unakariri tu?
 
It's about time! Akae chini sasa Karma ifanye kazi
 
Identity crisis. I have never been a member of any party but ccm. At 55 years, I am qualified to be BAVICHA or UVCCM.

Your problem is you cannot stomach opposition from within ccm?

Some of us within ccm believes the country is heading in a wrong direction.
No. You're inclined into thinking toward wrong direction
 
Manji amepatwa misukosuko mingi tangia hawa vibosile wakamate ulaji kwa sababu kubwa moja tu wakati Wa mchakato Wa uraisi ndani ya CCM alimpigia debe la nguvu Membe.

Yale maburunkutu yalidakwa baadaye yakatakatishwa na polisi kuwa hayakuwa na dhamira ya kuhonga wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM bali yalikuwa ya kuendesha shughuli za mfanyabiashara huyo.

Membe alipodondoka na Manji khali yake kisiasa ikaingia matatani.

Iwe Koko Beach, iwe ni Yanga na sasa madawa ya kulevya Manji anasomeshwa namba na chama chake.

Visasi ndiyo mkakati uliopo lakini pia kumdhoofisha kiuchumi na kisiasa asiweze kufurukuta na kuwa na ushawishi wowote chaguzi zijazo.

Unapoona kibosile anakerwa gari la Manji kuoshwa Central Police na kama yeye angelikuwa ni IGP angeona cha mtema kuni ujue huo ni uhasama mtupu na visasi.

Kwani kuosha gari polisi ni kuvunja sheria ipi hadi kibosile autamani u-IGP?

Manji ikumbukwe alianza kutajirika wakati wa Mwinyi, Mkapa na JK wakamneemesha vilivyo kwa madili kebekebe sasa ni wakati wake Wa kusoma namba.

Akina Professa Kapuya waliomnyoshea njia wako kwenye mawe na ndiyo maana anasoma namba ila hajaielewa......ukiona hata maamuzi ya mahakama vibosile hawa wanayapuuza ujue hii ni vita ya "survival of the fittest."
Mchochezi mkubwa wewe huna lolote umekalia majungu tu
Unapotosha umma wa watanzania
Natamani na wewe uungane na Lema ukanyee debe
 
Huu ni uchambuzi kulingana na vielelezo vilivyopo.

Tukifuata vielelezo vilivyopo, kuna hatari ya kuwa stereotype. Lazima tutengeneze na kuupanua uwezo wa kutathmini habari au matukio na hata ideas katika different perspective. Tutengeneze jamii ya action oriented sio hearsay, ndio maana wengine tunaishia hapa tuu na wengine kwa mawazo yetu tunafika mpaka Al Jazeera na CNN. [HASHTAG]#Wisdom[/HASHTAG].
 
Unaitwa chini ya utaratibu Wa sheria IPI ndiyo utata waanzia hapo na kutojua sheria hakuhalalishi kuzivunja sheria.
Kiranja kakiri yeye alikuwa gizani huu ya sheria husika ambayo Makonda au polisi hawajapewa hayo mamlaka ila time husika.

Baada ya kukosolewa ndiyo wameanza kuiwezesha tume kwa kuteua uongozi wake na sasa majina hawayatamki hadharani bali wanakabidhi tume ya kudhibiti madawa ya kulevya.

Haki za watuhumiwa wote kabla ya tume kuanza Kazi ni uonevu usio na kifani.
Siajelewa tatizo lako rafiki yangu msomi wewe.Thread yako inaonesha una tatizo la Manji kuandamwa na utawala huu.Hapo juu umenifafanulia kuwa njia iliotumika kuwaita na kuwatangaza haikufuata sheria,nini hoja yako?Manji kuandamwa na utawala huu au njia iliotumika kuwaita si ya kisheria?
 
Back
Top Bottom