BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,110
Anaandamwa na huu utawala huelewi nini?
Amejiandama mwenyewe!!!
Anaandamwa na huu utawala huelewi nini?
Somji, wa bili havai mojaKwani Makonda si mlisema ni Team Membe.?
Na mkasema huwa anakutana na Membe Kumuhujumu Rais..
Na pia kwa mujibu Wa Msukuma Juzi Bungeni Ni Kwamba 'Makonda Alikuwa Analelewa Na kuishi Kwa Membe'..How Come Tena mseme Makonda Anamkomoa Manji Kwasababu Ya Mahela Ya Membe.?
Bavicha Stop This Please..
Imejibiwa kwa kubezwa. Haiko vizuri INA mikanganyiko mingi mno pitia mabezo yake labda utaokota kitu.Daah upo vizuri
Hakimu mkuu sio wakiliUna ushahidi mana sasa mnalalamika watu wanavunjiwa heshima. We unachofqnya nini. Ogopa sana mtihani wa kutunga mwenyewe. We hapa sema mtu hana kosa mi wakili wake kesi tumemaliza alionewa.
Point yangu haija mlenga Manji tu, yaani Magu ki ujumla akiona mtu ana pesa nadhan huwa ina muumaNikweli lakini hainamaana kwamba tajiri hawezi kukosea.
Saazingine sisi wenyewe tumekua tukilala mika kwamba maranyingi matajiri hawashugulikiwi wanapo kosea kwasababu ya pesazao.
Ngoja sheria ifuatemkondowake kama hana hatia ataachiwa.
Ni matumbo yao sisi tunaambulia vitisho vyao tuogope wale.Wao wanajali madaraka tu nyie Watanzania kufeni na shida zenu kwa kukosa huduma muhimu wao hawajali, sasa wakimuona mtu ana support upinzani indirect wanamuundia zengwe maana wa naona wataharibiwa ulaji.
Sasa awamu hii ndo maskini jeuri haswa hawajali shida za watu wao full ubabe, bora punda afe ila mzigo ufike.
Na wewe una matatizo ya problem! Hivi JPM alikutenda nini?Manji amepatwa misukosuko mingi tangia hawa vibosile wakamate ulaji kwa sababu kubwa moja tu wakati Wa mchakato Wa uraisi ndani ya CCM alimpigia debe la nguvu Membe.
Yale maburunkutu yalidakwa baadaye yakatakatishwa na polisi kuwa hayakuwa na dhamira ya kuhonga wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM bali yalikuwa ya kuendesha shughuli za mfanyabiashara huyo.
Membe alipodondoka na Manji khali yake kisiasa ikaingia matatani.
Iwe Koko Beach, iwe ni Yanga na sasa madawa ya kulevya Manji anasomeshwa namba na chama chake.
Visasi ndiyo mkakati uliopo lakini pia kumdhoofisha kiuchumi na kisiasa asiweze kufurukuta na kuwa na ushawishi wowote chaguzi zijazo.
Unapoona kibosile anakerwa gari la Manji kuoshwa Central Police na kama yeye angelikuwa ni IGP angeona cha mtema kuni ujue huo ni uhasama mtupu na visasi.
Kwani kuosha gari polisi ni kuvunja sheria ipi hadi kibosile autamani u-IGP?
Manji ikumbukwe alianza kutajirika wakati wa Mwinyi, Mkapa na JK wakamneemesha vilivyo kwa madili kebekebe sasa ni wakati wake Wa kusoma namba.
Akina Professa Kapuya waliomnyoshea njia wako kwenye mawe na ndiyo maana anasoma namba ila hajaielewa......ukiona hata maamuzi ya mahakama vibosile hawa wanayapuuza ujue hii ni vita ya "survival of the fittest."
Ni uhasama tu hapo hakuna darasa jingine.Sasa kwani kweny ile Press conference lile Range Rover lake nalo liliongea Jeuri? Maana nalo Mzee wa White House Alisema nalo lilipaswa kuwekwa Mahabusu na akamlaumu Sirro kwa hilo!
Sheria wapi wakati Makonda kaingilia Kazi ya tume ambayo iko kisheria sasa haki itapenya wapi.Nikweli lakini hainamaana kwamba tajiri hawezi kukosea.
Saazingine sisi wenyewe tumekua tukilala mika kwamba maranyingi matajiri hawashugulikiwi wanapo kosea kwasababu ya pesazao.
Ngoja sheria ifuatemkondowake kama hana hatia ataachiwa.
Mimi babaako unaniita dogo nidhamu kweli imetoweka!Acha uongo dogo
Asante kwa kutujuza mkuu Luna mengi hapa yawezekana hawa wengine kupoteza maboya tu time will tell usManji amepatwa misukosuko mingi tangia hawa vibosile wakamate ulaji kwa sababu kubwa moja tu wakati Wa mchakato Wa uraisi ndani ya CCM alimpigia debe la nguvu Membe.
Yale maburunkutu yalidakwa baadaye yakatakatishwa na polisi kuwa hayakuwa na dhamira ya kuhonga wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM bali yalikuwa ya kuendesha shughuli za mfanyabiashara huyo.
Membe alipodondoka na Manji khali yake kisiasa ikaingia matatani.
Iwe Koko Beach, iwe ni Yanga na sasa madawa ya kulevya Manji anasomeshwa namba na chama chake.
Visasi ndiyo mkakati uliopo lakini pia kumdhoofisha kiuchumi na kisiasa asiweze kufurukuta na kuwa na ushawishi wowote chaguzi zijazo.
Unapoona kibosile anakerwa gari la Manji kuoshwa Central Police na kama yeye angelikuwa ni IGP angeona cha mtema kuni ujue huo ni uhasama mtupu na visasi.
Kwani kuosha gari polisi ni kuvunja sheria ipi hadi kibosile autamani u-IGP?
Manji ikumbukwe alianza kutajirika wakati wa Mwinyi, Mkapa na JK wakamneemesha vilivyo kwa madili kebekebe sasa ni wakati wake Wa kusoma namba.
Akina Professa Kapuya waliomnyoshea njia wako kwenye mawe na ndiyo maana anasoma namba ila hajaielewa......ukiona hata maamuzi ya mahakama vibosile hawa wanayapuuza ujue hii ni vita ya "survival of the fittest."
Ili muwaogope wafanye watakayo na wapendavyo ndo maana walianza na bunge live. Na ifike mahali bunge liisimamie serikali bila kujali vyama vyao na mahakama ziwe huru ziache kufunga watu kisa wametumwa na viongozi wa juu.Ni matumbo yao sisi tunaambulia vitisho vyao tuogope wale.
Sheria ipi inakataza kuosha gari polisi? Nielimishe tu.Alikuambia nani police station ni car Wash?Kama alitaka kuosha gari lake si angelipeleka kwa waosha magari?!!
Ndo hapo kigugumizi kinaanziaKwahyo CDM ndo wamemkamata Manji bila kupeleka mahakamani kwa kumtuhumu kuhusu madawa?!!!!
Isingekuwa bao la mkono na kusaidiwa mambo yangekuwa mengine sasa na sidhani ka kukomeshana ni solution maana hapo ni kutafta uadui na uasi kwa wasio furaishwa na uonevu.Yes
Last election they saw themselves almost out of power.
Now they want to grab t by any means neccessary