FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,809
Kwa heshima yako,tunaomba utueleze kwanini Nyerere hakumtaifisha baba yake? Je una maana huu mfupa Magufuli hauwezi????
Hapana, sina maana hiyo.
Baba'ke au babu yake au wote wawili walikuwa wafadhili wakubwa wa serikali wakati huo.