Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,647
Tangu Mchina alete smartphone za bei rahisi humu JF heshima imepungua kabisa

Tangu Mchina alete smartphone za bei rahisi humu JF heshima imepungua kabisa

Ulimpa uchi au?Wamezidi tabia. Mhenga tukiwapata wanaume wa hivi Mara moja moja mbona wataacha umbea tuu.
Waliowahi kum private massage wajiandaa kuja kuvuliwa nguo hadharani .
Midume minafiki hii ndiyo dawa yao lazima uwachane direct.
kuna nsichana kalala na daby kaja kumuanika jamaa hadindii na ana kibamiaKuna nini kimetokea kwani?
Mie mgeni hapa Nazareti sielewi chochote
kuna nsichana kalala na daby kaja kumuanika jamaa hadindii na ana kibamia

kwa hiyo leiguanan Daby hajabahatika kumla hata huyu msichana siyoNambie mchepuko wangu
niliowatongoza wakija hapa si jukwaa litajaa?Jamani geniveros, espy, Khantwe, Ms.Lincoln, Shunie
Huu ubuyu mbona mpyaaaa!!!
Watu wanatongozana Pm, wanakuja anikana jukwaani?
Jamani......mbona sio mambo?
Aiseee...ukute huko watu wanatumiana screenshot
Ongezea utamu!Huu uzi umeshaisha utamu...
Bahati nzuri sinaga urafiki na pm. Mi namaliza hapa hapa jukwaani...
Asante mkuu niliona. Mi tutongozane hapa hapa kwa kweli..pm panaogopesha!Weye nakuaminia. Kuna uzi mmoja hapa siku chache zilizopita naona siku hiyo uliamua maana karibu uvunje mbavu zangu kwa majibu yako mubashara bila kupindisha. Nadhani uliona likes za kutosha kutoka kwa BAK ila nilicheka sana aisee.
Asante mkuu niliona. Mi tutongozane hapa hapa kwa kweli..pm panaogopesha!
Hii jf ishapoteza sifa sasa ni kuchafuana tuHaaaa nimeingia muda c mrefu ndo kuona habari za jukwaa la wakubwa. Imenibidi nikaangalie kilichoamishiwa kule![]()
![]()
Acha tu nimeshaipata binadamu si watu wazuri atiicuzooo

Hawana adabu kabisaU,I wenyewe umepoteza radha yoteeee. Umefutwa pages zimebaki 2 tu![]()
![]()
![]()
shenz* hawa.

kweli kabisa kuna watu nawafahamu humu na sijutii kuwajuaHapo kumsoma mtu tena umsome kwa umakini mkubwa sana vinginevyo utauvaa mkenge. Kuna watu wazuri sana humu kama binadamu ambao unaweza kabisa kuwakaribisha hata nyumbani kwako kwa mlo au kupiga story tu au wao kukualika kwao. Pia kuna watu wabaya sana humu wa kuogopa kama UKOMA. Ukiwa makini basi hata siku moja hutajutia kumfahamu mtu humu vinginevyo itakula kwako.
Hii jf ishapoteza sifa sasa ni kuchafuana tu
unaogopa? Sifa ya watu ni kusema tu 
Mimi siogopi waseme tu maana hakuna namna labda ndo wanapopata kulaunaogopa? Sifa ya watu ni kusema tu
Rubiikimimi![]()