Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
Ur my lucky charm......siku ya kunisaidia kulilaza mbona ntafia kwny kidondaLiamshe tu nitakusaidia kulilaza
Ur my lucky charm......siku ya kunisaidia kulilaza mbona ntafia kwny kidondaLiamshe tu nitakusaidia kulilaza
Bahati nzuri sinaga urafiki na pm. Mi namaliza hapa hapa jukwaani...Njema tuu... Siku hizi mambo yote yanaongelewa hapa na sio pm.
Vip ule utafiti kuhusu Kuhusu sweta
Wewe umemaliza kuongea mtu anajulikana hata kabla hamjafika mbaliKwanza mvujisha taarifa na mvujishwaaji wa hizo taarifa wanatakiwa wajitathimini wote. Wengi wao huwa ni matahira wote.
Mtu mwenye busara atatongoza mwenye busara. Asiye na busara mara nyingi atatongoza matahira wenzake.
Wewe mwanamke/mwanamme unashindwa kumsoma mtu hata kwenye chatting. Basi za jukwaani umeshindwa je za pm. Au ukishafika pm haraka haraka mnapeana location na namba mambo yamekwisha.
Mkuu kati ya sehemu za kuwa makini ni JF, unaweza kutongozwa hata na mkeo.
Na unapotaka kumfuata mtu pm Kuepusha yote hayo lazima umsome kuanzia siku anapost JF hadi leo...na pm usifike tu ukaanza kujiachia achia kama upo sebuleni kwako
Huo sio uanaumeMwanaume fanya makosa yote, lakini usipende kwenda pm na wadada kuchat issues za wengine, kuna siku tu utaumbuka.
Lazima utaumbuka tu, yaani piga ua kuna siku utaumbuka. Hata lifestyle yako tu, eti huko wasap unaweka avatars za familia yako, siku likibuma tu zile picha zitakuwa silaha kwao, yani hii dunia ya utandawazi naamini kabisa waafrika tumeivamia, kama tunavyovamia mambo mengi tu.![]()
![]()
![]()
haitokuacha salama...!!!
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Wacha we!!!!Dah... bora sisi hatugongi humu
Aisee na sitajaribu kabisa... weww umegongwa humu?Wacha we!!!!
Mwanaume fanya makosa yote, lakini usipende kwenda pm na wadada kuchat issues za wengine, kuna siku tu utaumbuka.

Safi sana mkuu... saaa huo ndio ubabeBahati nzuri sinaga urafiki na pm. Mi namaliza hapa hapa jukwaani...
Kutongozana ni kawaida, katika jamii yoyote lazima watu watongozane, so long kuna me na ke, (well, siku hizi hata kama ni jinsia moja bado unaweza kusikia 'aunt John' alimtongoza flani), but its important to play your cards well.Huo sio uanaume
Kwanza kwenda tu pm kutongoza ni ushamba na ujinga... unatongozaje usiemjua wakati mtaani mademu wakali wengi tu
Nipo tu mshkaji wangu... tunapambana na mhengaPoa jamaan upoo za kuadimika jaman
Wacha weeeeeh!!!Aisee na sitajaribu kabisa... weww umegongwa humu?
Ahhahah usipotee sana jamanNipo tu mshkaji wangu... tunapambana na mhenga
Nakuona muhenga mzoefuAhhahah usipotee sana jaman