Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Watu hawafanani tabia maana unapozungumzia jumuia kuna aina zote za watu na kila type ina umuhimu mkubwa.
 
Labda uwaambie wewe kaka Eli maana hali sio nzuri humu, dume zima kukaa kwenye vijiwe vya wadada na kunyanyua kidole halafu anaenda kutangaza eti na wao wanajiita vidume. Kilichobaki tuwape Madera tu..
Halafu wanakuwa mstari wa mbele kulaumu wengine wakati wanajipeleka wenyewe na kujiingiza mkenge wenyewe.
Aiseee!

Fedheha tupu.
 
Last bt not the least,umaarufu wa jf usikulevye,ukilogwa tu na umaarufu wa jf huchomoki.ila ni sehemu nzuri sana ya kupata mainfo.mie hadi boss wangu anajua mie ni member humu,ingawa hajui id yangu,sometimes kukiwa na news imesikika ananiuliza huo mtandao wenu vijana unasemaje?ni ya kweli haya?so jf ina heshma yake hata kwa wakubwa especially kwenye ishu za kisiasa,watu wachache wasiharibu sifa hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
5f68dcbbb9ea41397340ba3a44db0d06.jpg


Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Back
Top Bottom