naona mhenga mimi ndo nimebakia kutumbuliwa hapa![]()
![]()
![]()
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Huyo ni muhenga wa kuheshimiwa aiseeeNipo hapa hatua kwa hatua muhenga huyo namuheshimu ujue
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Dhoo!!! Wahenga wanasema
Ukimnyoa,mwenzio na zako
Tia maji
[Color= yellow]Triple A[/color]





naona mhenga mimi ndo nimebakia kutumbuliwa hapa![]()
![]()
![]()
sent from motorola bapa and nokia jeneza




Watu wajifunze kutokutilia maanani sana yatokeayo humu hususan chini ya haya majina bandia.Kakaaa...mimi nimetoa hojaa![]()
![]()
wachangia hoja ndo hao sasaa....wanaparuranaa...!!!
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Huu uzi sio wa kucheza nao mbali maana mods hawachelewi kufuta baadhi ya pages
Sent using Jamii Forums mobile app
Siko mbali...inshu za umbea uongo na unafiki zanifuatilia kwa ukaribu kabisaaaHapa mwendo wa ubuyu na kushushia Pepsi
Cc maserati
Salute kwa dark angelHuyo ni muhenga wa kuheshimiwa aiseee
Wamezidi tabia. Mhenga tukiwapata wanaume wa hivi Mara moja moja mbona wataacha umbea tuu.![]()
![]()
![]()
![]()
ya leo kali mhenga wewee...ni wa kwenye matukio tuu!!!mhimu tuu
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Nilikua kwenye uzi mmoja huku mmu mwanaume anatoa siri za mwanamke wa jf yaan umewafunda yameingia apa yametokea kuleweeeee...ulikua wapii...?!!!![]()
![]()
![]()
![]()
sent from motorola bapa and nokia jeneza
yangu iko waziiii...wala sifungi najibu kwa steps....
sent from motorola bapa and nokia jeneza




Hahahha kabila la mbeyaWw ni kabila gani?
heeee....Jf kila mtu ni stranger . au wewe ni mwenyeji?
Ha ha ha ha ha bado sana nitakuquote mpaka nichoke dunia ijue ulivyo mbea..
Nikufuate unifuate haihusiani na wewe kuwa chakubimbi..
Kwani kuna sheria gani inayosema kwamba watu Fulani ndiyo wanatakiwa wawe wa kwanza kufuata watu pm.?
Acha tabia za kike
Sent using Jamii Forums mobile app