Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Ila inategemea umeliwa vp jamani....mtu ukimla mwenzio ukamtapeli sio uungwana kuna watu hawana siri kbs anakuja na kumuadithia mtu mwingine wa humu.


Ukitaka kujua JF watu wana habari zako subiri uanzishiwe zogo.
 
Mazoea NO maana kujuana sana ndio kuharibiana CV

Wavulana wengi hawana akili, wanafikiri ndivyo sivyo, ukiwa mkarimu sana kwao wanawaza kitu kimoja tu 'kukugegeda' au wanafikiri unawataka. mpaka dakika hii nimekiri na nimeamini hakuna urafiki kati ya msichana na mvulana
 
Mazoea NO maana kujuana sana ndio kuharibiana CV

Wavulana wengi hawana akili, wanafikiri ndivyo sivyo, ukiwa mkarimu sana kwao wanawaza kitu kimoja tu 'kukugegeda' au wanafikiri unawataka. mpaka dakika hii nimekiri na nimeamini hakuna urafiki kati ya msichana na mvulana
Tena mm ndio usinisogelee kbs ntakuomba tu
 
Kuna watu wanachuki na watu ambao hawana mahusiano yao hawawajui zaidi ya picha
Wanadamu watu wa ajabu sana,
Wengine watu wazima wababa wamama ila wanafiki waliotukuka
Kutongozana jambo la kawaida sana
Kuwa na mahusiano jambo la kawaida sana
Kugegedana jambo la kawaida sana
Ila kwakuwa watu wamejawa na Chuki basi itakua shughuli pevu as if as wao ni mabikra hawajawahi hata
enheee...umenena point kubwa sana dada rubii...
mtu mzima umkashifu mtu kisa ameliwa au umemla...?!!

au unamchukia mwenzio au kumkashifu kisa kaliwa au kala mtu wewe msafi kiasi gani au ulikua unataka uliwe weyeee...!!!

tujifunze kustiriana jamani

ukinila uchune...hata ukijua kama nimeliwa kaa kimya

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Unajua kinachofanya wamwagane
Hapa public n kwa sababu ya
Kutaka kukomoana tu yan
Kila mmoja ajione mbabe


Kwa mwenzie na kitambo yaje
Kumwagwa public ujue cr inakua
Imeshavuja kwa majiran
Shiwalud unawakuta wako kazn

Sasa majiran wata mwaga machache
Afu na nyie mtakuja kuyatoa yotee
Ya mlikokutania guest,pm,n.k

Sasa hapo atajulikana
Mwenye kibamia na mwenye bwawa la
Mtera

[Color= yellow]Triple A[/color]
ubabe ujinga sasa wewe kidume nani atakutaka tenaa...!!!

haya masuala huezi jua ukute mwenzio kashaopoa tena kichemchede unamuumbua tena si unamharibia sasa kwa mpya wake

sio poa jamani KUFUKULIANA MAKABURI..kama nna bwawa au kibamia chuna tuu

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Kwanza mvujisha taarifa na mvujishwaaji wa hizo taarifa wanatakiwa wajitathimini wote. Wengi wao huwa ni matahira wote.

Mtu mwenye busara atatongoza mwenye busara. Asiye na busara mara nyingi atatongoza matahira wenzake.

Wewe mwanamke/mwanamme unashindwa kumsoma mtu hata kwenye chatting. Basi za jukwaani umeshindwa je za pm. Au ukishafika pm haraka haraka mnapeana location na namba mambo yamekwisha.
Hapa nimekuelewa sana yaani umakini unahitajika kwa matahira
 
enheee...umenena point kubwa sana dada rubii...
mtu mzima umkashifu mtu kisa ameliwa au umemla...?!!

au unamchukia mwenzio au kumkashifu kisa kaliwa au kala mtu wewe msafi kiasi gani au ulikua unataka uliwe weyeee...!!!

tujifunze kustiriana jamani

ukinila uchune...hata ukijua kama nimeliwa kaa kimya

sent from motorola bapa and nokia jeneza
Ukiina hivyo ujue mtu kala cha mbavu,kaachwa na bado ana machungu kabisa.
 
  • Hahaha safari ya kwa mkemia mkuu kwa members wa jf haswaa MMU haiepukiki
 
Back
Top Bottom