Hivi sisy umemkubalia kabisa huyu bwana akuolee mke wa piliMy kaka unaongea na mimi au unaongea na simu?
Hapo sawa naona akili zimekurudi sasa...Kwanza nishamuacha.
Tena mm ndio usinisogelee kbs ntakuomba tuMazoea NO maana kujuana sana ndio kuharibiana CV
Wavulana wengi hawana akili, wanafikiri ndivyo sivyo, ukiwa mkarimu sana kwao wanawaza kitu kimoja tu 'kukugegeda' au wanafikiri unawataka. mpaka dakika hii nimekiri na nimeamini hakuna urafiki kati ya msichana na mvulana
shemeji Daby ni mitakatakaWeeeeh!! Daby ni kaka yangu damu damu yaani. Hata nikiachika kwako ndiko nitakapokimbilia. Kwahiyo umheshimu sana shemeji yako.
nikimtongoza mwengine nitakwambia haswa yule mpwa wako Shunie we acha tuAlafu nimeona kule pm unamtongoza nanihii, unataka kuongeza wa tatu?
sema hakyamunguKwanza nishamuacha.
enheee...umenena point kubwa sana dada rubii...Kuna watu wanachuki na watu ambao hawana mahusiano yao hawawajui zaidi ya picha
Wanadamu watu wa ajabu sana,
Wengine watu wazima wababa wamama ila wanafiki waliotukuka
Kutongozana jambo la kawaida sana
Kuwa na mahusiano jambo la kawaida sana
Kugegedana jambo la kawaida sana
Ila kwakuwa watu wamejawa na Chuki basi itakua shughuli pevu as if as wao ni mabikra hawajawahi hata
Unajua kinachofanya wamwagane
Hapa public n kwa sababu ya
Kutaka kukomoana tu yan
Kila mmoja ajione mbabe
Kwa mwenzie na kitambo yaje
Kumwagwa public ujue cr inakua
Imeshavuja kwa majiran![]()
![]()
![]()
Shiwalud unawakuta wako kazn
Sasa majiran wata mwaga machache
Afu na nyie mtakuja kuyatoa yotee
Ya mlikokutania guest,pm,n.k
Sasa hapo atajulikana
Mwenye kibamia na mwenye bwawa la
Mtera![]()
![]()
[Color= yellow]Triple A[/color]
ubabe ujinga sasa wewe kidume nani atakutaka tenaa...!!!
Hapa nimekuelewa sana yaani umakini unahitajika kwa matahiraKwanza mvujisha taarifa na mvujishwaaji wa hizo taarifa wanatakiwa wajitathimini wote. Wengi wao huwa ni matahira wote.
Mtu mwenye busara atatongoza mwenye busara. Asiye na busara mara nyingi atatongoza matahira wenzake.
Wewe mwanamke/mwanamme unashindwa kumsoma mtu hata kwenye chatting. Basi za jukwaani umeshindwa je za pm. Au ukishafika pm haraka haraka mnapeana location na namba mambo yamekwisha.
Huu ndio uanaume Mo wenye tabia hiyo vivulanakuna mambo ya kawaida sana kwenye jamii kama kulalana but humu ukimlala mwanamke akikupiga kibuti unamtangaza kwa mabaya
mbona wengine humu tumepigwa vibuti tumevumilia tu
Ila inategemea umeliwa vp jamani....mtu ukimla mwenzio ukamtapeli sio uungwana kuna watu hawana siri kbs anakuja na kumuadithia mtu mwingine wa humu.
Ukitaka kujua JF watu wana habari zako subiri uanzishiwe zogo.
Tena mm ndio usinisogelee kbs ntakuomba tu
Ukiina hivyo ujue mtu kala cha mbavu,kaachwa na bado ana machungu kabisa.enheee...umenena point kubwa sana dada rubii...
mtu mzima umkashifu mtu kisa ameliwa au umemla...?!!
au unamchukia mwenzio au kumkashifu kisa kaliwa au kala mtu wewe msafi kiasi gani au ulikua unataka uliwe weyeee...!!!
tujifunze kustiriana jamani
ukinila uchune...hata ukijua kama nimeliwa kaa kimya
sent from motorola bapa and nokia jeneza