Mi nayaona majibu yanahitajika pale. Acha ubinafsi gen![]()
![]()
![]()
mi sijayaona pale majibu yanahitajika wapi
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Watazipata tu wasitumie njia za majitakaWatu wanatafuta Kiki kwa lazima
Nilikumiss tu mume wangu.kuna nini hapa?
Wacha we!!!mimi hapa mtuhumiwa namba moja![]()
![]()
![]()
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Pole sana my kaka, kudharauliwa kunauma.Tangu niwe member wa JF mwaka 2014 nilikuwa naanza kumtongoza binti mmoja akanidharau na kunikataa baas nikachill.
Hiyo ya kukataliwa au kulala na mdada halafu unamtangaza ni inatokana na Ulayoni, Ungumbaru na Utahira wa mtu.
Halafu si bure huyo anayefanya hivyo sio mwanaume wa Dar.
Si ni maajabu hayo?
hii tabia ni ya wote wa dar na huko mikoani kwenuTangu niwe member wa JF mwaka 2014 nilikuwa naanza kumtongoza binti mmoja akanidharau na kunikataa baas nikachill.
Hiyo ya kukataliwa au kulala na mdada halafu unamtangaza ni inatokana na Ulayoni, Ungumbaru na Utahira wa mtu.
Halafu si bure huyo anayefanya hivyo sio mwanaume wa Dar.
Si ni maajabu hayo?
Yule dada bonge sio ww?!Hii jf ishapoteza sifa sasa ni kuchafuana tu
Id mbili ndio mbaya sana....kuna mtu kanitega nikasema yani hata huyu mrembo nae ananijaribu utu wangu namna hii....sana tu
mi hata PM naangalia nani wa kumjibu na nani wa kumdiss...
unaweza tuma PM kwa id mbili tofauti maana wengine wanakutega
mimi sa hv najibu walewale wahenga tu ...wapya siwahitaji
sent from motorola bapa and nokia jeneza

JF ina watu wengi wazuri kuliko wasiojielewa. Binafsi nilikutana na watu ambao walibadilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana! Muhimu ni kuwa makini on what select...kweli kabisa kuna watu nawafahamu humu na sijutii kuwajua
natamani ningewajua mapema kabla ya hapo
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Lakini pia inategemea mtu kaja PM kwa ajili ganisana tu
mi hata PM naangalia nani wa kumjibu na nani wa kumdiss...
unaweza tuma PM kwa id mbili tofauti maana wengine wanakutega
mimi sa hv najibu walewale wahenga tu ...wapya siwahitaji
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Amen.Nipo sana tu tunapishana hasa midahii ya wanga napatikana zaidi
Mungu akape wepesi karuhusiwe jaani
Hata mahakamani watu wanakataa kuwa walifanya madhambi, hakuna anayependa kuonekana guilty lakini roho yake itamsuta na threads za namna hii zitamrudiaha kwenye mstari(kama ni mwelewa)Teh teh teeeeeeh!!!
Mie nafurahi tu namna kila mtu ananawa mikono na kujiweka safi. Sasa najiuliza hao wanaotuhumiwa ni akina nani!!!! Au kuna members majini humu!!!
Jf bwana!!