Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Sijaelewa wengi ni wanatafuta umaarufu wa kijinga aukweli kabisa kuna watu nawafahamu humu na sijutii kuwajua
natamani ningewajua mapema kabla ya hapo
sent from motorola bapa and nokia jeneza

Sijaelewa wengi ni wanatafuta umaarufu wa kijinga aukweli kabisa kuna watu nawafahamu humu na sijutii kuwajua
natamani ningewajua mapema kabla ya hapo
sent from motorola bapa and nokia jeneza

kweli kabisa kuna watu nawafahamu humu na sijutii kuwajua
natamani ningewajua mapema kabla ya hapo
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Mimi siogopi waseme tu maana hakuna namna labda ndo wanapopata kula

W apambane na Hali zao hakuna namnaupumbavu tu wote huo
sent from motorola bapa and nokia jeneza
sana tuUmeona eeh! ila umakini tena mkubwa sana ni muhimu.
Lakini mimi muhenga atiisana tu
mi hata PM naangalia nani wa kumjibu na nani wa kumdiss...
unaweza tuma PM kwa id mbili tofauti maana wengine wanakutega
mimi sa hv najibu walewale wahenga tu ...wapya siwahitaji
sent from motorola bapa and nokia jeneza

sana tu
mi hata PM naangalia nani wa kumjibu na nani wa kumdiss...
unaweza tuma PM kwa id mbili tofauti maana wengine wanakutega
mimi sa hv najibu walewale wahenga tu ...wapya siwahitaji
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Watu wanatafuta Kiki kwa lazimaHii jf ishapoteza sifa sasa ni kuchafuana tu
Mbona mi ujanijibunakujibu...
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Kukuanika lazima.We hauchelewi kunianika...Mana sio kwa kunipania huko
Teh teh teeeeeeh!!!
Inahitaji majibu kabisahoja yako inajitoshelezaa...!!![]()
haihitaji kujibiwa
sent from motorola bapa and nokia jeneza

mimi hapa mtuhumiwa namba mojaTeh teh teeeeeeh!!!
Mie nafurahi tu namna kila mtu ananawa mikono na kujiweka safi. Sasa najiuliza hao wanaotuhumiwa ni akina nani!!!! Au kuna members majini humu!!!
Jf bwana!!