Kwanini hivi jamani...

Raynavero

JF-Expert Member
Apr 29, 2014
38,413
55,986
Salaam jf members

Hivi inakuaje watu wazima wenye familia zao,wanakua wanashindwa kua na busara,hekima na uvumilivu?

Hivi jf hapa ni kama nyumbani kwetu sisi ni wanafamilia moja au majirani tunaoishi pamoja kama ndugu.

Sasa nashangaaa na kupatwa na bumbuazi haswaa nikiona wanajamii moja tunashindwa kustiriana kama ndugu au marafiki wa dhati kwa kweli inaumiza sana na kustaajabisha.

Yaani humu sisi sote ni watu wazima,wasomi na wasio wasomi,lakini leo hii watu wa humu wengine tuna mambo ya ajabu ajabu mpaka yanatia aibu

Kutongozana ni jambo la kawaida sana katika jamii kama hii,lakini sasa humu mwingine akimla 'nyama'msichana basi ndo anajutaa atamtangaza mpaka ajutee..unabaki kua topic tena miaka mia
Mdada nae akitongozwa basi anakuja kumlipua mwanaume wa watu loohh...!!!
Wengine mnawateta watu PM siku mkilipuana mnaumbuana yoootee..

Wengine mnakutana PM,mnapena contacts mnakutana hukoo baadae mnaanza kuwacompare na kuwacontrast kama bidhaa vile

Na wengine msiojijua na kujielewa sasa yaani nyie ndo shida tupu!!ninyi ndo vichaa nashindwa hata kuwaweka kundi lipi...
Unapewa picha ya mtu 'either PM or whasaap'then unaexpose kwa wengine wasiomjua yule mtu..na kuwaambia yule ni nani...!!


Wengine tena wakiwa na mahaba tunajua jf nziima siku wakiachana wanatoleana ya moyoniii yooote looo ...

Kuna wengine ni waongo balaaa yaani kusambaza umbea tu usiomhusu na unaomuhusu...

Jamani tuweni na hekima na busara binadamu ni kiumbe mwenye mapungufu lakini sasa yakizidi ni shidaa...

Tuheshimiane sana tukilana,kukimbiana gesti,kukopana tuuchune tu jamani kibingwa kwani shilingi ngapi...hata tukikataliwa pia tujifunze kupiga kimyaa tu...!!

Hata kama ninyi ni wapenzi msijipambanue saana vile maana dah!mkiachana mwingine akapata"goma"lingine humu mnatupa shida sana kunnua bando la kusoma umbea .

Ni hayo tu kwa leo!!!Mengine mtaongezea


sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Kwanza mvujisha taarifa na mvujishwaaji wa hizo taarifa wanatakiwa wajitathimini wote. Wengi wao huwa ni matahira wote.

Mtu mwenye busara atatongoza mwenye busara. Asiye na busara mara nyingi atatongoza matahira wenzake.

Wewe mwanamke/mwanamme unashindwa kumsoma mtu hata kwenye chatting. Basi za jukwaani umeshindwa je za pm. Au ukishafika pm haraka haraka mnapeana location na namba mambo yamekwisha.
 



Nmeshindwa kuvumilia wacha
Tu nicheke aiseeee!!!
Nlishasema jf babu kubwa
Kama tu magruo ya wasap

Ila kuna member wanaenda
Kukimbia id zao jf iko moto
Co kawaida

Mkishindwa kuelewana
Lazma mboga na ugali
Zimwangwe pahali moja

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Kwanza mvujisha taarifa na mvujishwaaji wa hizo taarifa wanatakiwa wajitathimini wote. Wengi wao huwa ni matahira wote.

Mtu mwenye busara atatongoza mwenye busara. Asiye na busara mara nyingi atatongoza matahira wenzake.

Wewe mwanamke/mwanamme unashindwa kumsoma mtu hata kwenye chatting?
Aigooo..chatting zisikudanganye ndugu, Kuna watu wengine hawafanani kabisa na chatting zao. Unaweza ona mtu anacomment kichungaji ukasema mtu si ndio huyu? Hatari sana sheikh
 
Aigooo..chatting zisikudanganye ndugu, Kuna watu wengine hawafanani kabisa na chatting zao. Unaweza ona mtu anacomment kichungaji ukasema mtu si ndio huyu? Hatari sana sheikh
Ni kweli, you need 3D eye to ascertain spoilers.

Yaani kweli Khantwe umeshindwa kunijua jukwaani basi tumehamia Pm more than two weeks or on month unashindwa kunijua mimi ni mtu wa namna gani japo 40%... au nikishakuja pm tu fasta umenipa namba, umenipa location.... hahaha aigoo
 
Ni kweli, you need 3D eye to ascertain spoilers.

Yaani kweli Khantwe umeshindwa kunijua jukwaani basi tumehamia Pm more than two weeks or on month unashindwa kunijua mimi ni mtu wa namna gani japo 40%... au nikishakuja pm tu fasta umenipa namba, umenipa location.... hahaha aigoo
Kaka kuna watu good pretenders mnooo...mpk lake litimie

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom