Geni hebu nipe hiyo link kwanzaohoooo...kumbeee tatu zile ushasahu mpk za kufukua makaburi
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Simu yako hajaisha charge maana nakuona unavyofatilia kwa ukaribuNaona watu wanaendeleza uzwazwa

Sio weard ni weirdToka nimejiunga JF, siwajah fanya physical contact na mtu hapa, it's sounds weard?!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Latoya, hivi umaarufu wa jf ndio ukoje? Do people seek for jf popularity? Mtu akiwa maarufu humu ana incentives zozote, manake nitachangamkia hiyo fursaLast bt not the least,umaarufu wa jf usikulevye,ukilogwa tu na umaarufu wa jf huchomoki.ila ni sehemu nzuri sana ya kupata mainfo.mie hadi boss wangu anajua mie ni member humu,ingawa hajui id yangu,sometimes kukiwa na news imesikika ananiuliza huo mtandao wenu vijana unasemaje?ni ya kweli haya?so jf ina heshma yake hata kwa wakubwa especially kwenye ishu za kisiasa,watu wachache wasiharibu sifa hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app

Iko hivi si lazima uutafute,weza tokea member flan akawa maarufu miongon mwa wengine,hakuna incentives zozote.Latoya, hivi umaarufu wa jf ndio ukoje? Do people seek for jf popularity? Mtu akiwa maarufu humu ana incentives zozote, manake nitachangamkia hiyo fursa![]()
Haaaa nimeingia muda c mrefu ndo kuona habari za jukwaa la wakubwa. Imenibidi nikaangalie kilichoamishiwa kuleSimu yako hajaisha charge maana nakuona unavyofatilia kwa ukaribu![]()
![]()
![]()

Mwanaume fanya makosa yote, lakini usipende kwenda pm na wadada kuchat issues za wengine, kuna siku tu utaumbuka.
Ni kweli ukiwa maarufu hata habari zako zinabadilika zinakuwa za kusisimua na sio habari tena.Last bt not the least,umaarufu wa jf usikulevye,ukilogwa tu na umaarufu wa jf huchomoki.ila ni sehemu nzuri sana ya kupata mainfo.mie hadi boss wangu anajua mie ni member humu,ingawa hajui id yangu,sometimes kukiwa na news imesikika ananiuliza huo mtandao wenu vijana unasemaje?ni ya kweli haya?so jf ina heshma yake hata kwa wakubwa especially kwenye ishu za kisiasa,watu wachache wasiharibu sifa hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Latoya. Ilo jina nimemkumbuka yule msanii wa marekani enzi izoIko hivi si lazima uutafute,weza tokea member flan akawa maarufu miongon mwa wengine,hakuna incentives zozote.
Ila umaarufu wowote unalevya,it's like a drug,haijalishi walipwa au haulipwi.
Na its just human nature.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh......Huo sio uanaume
Kwanza kwenda tu pm kutongoza ni ushamba na ujinga... unatongozaje usiemjua wakati mtaani mademu wakali wengi tu
Kumbe ndio maana napata notification za uzi lakini siuoni, umehamishwa huko kwa wakubwa? Dah...Haaaa nimeingia muda c mrefu ndo kuona habari za jukwaa la wakubwa. Imenibidi nikaangalie kilichoamishiwa kule![]()
![]()
Ndio upo uko kwa wakubwaKumbe ndio maana napata notification za uzi lakini siuoni, umehamishwa huko kwa wakubwa? Dah...
Kimekuja na meli hiko mshakaji wanguSio weard ni weird


sio lugha yetu hiyo