min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,834
- 165,655
Hahahaha,sikumbuki kama umewahi kunipa,nikupe mara ngapi sasa, au ulisahau kuisave 😥
Mimi sipigi simu
Atakaa kwa baba yake!Kama mmezaa mtoto anaongeaje na baba yake ?
Hahahaha,hauko serious, unadanganya hapaAtakaa kwa baba yake!
nilikupa bwana ile siku acha kubisha mwanetuHahahaha,sikumbuki kama umewahi kunipa,
Oyaa, yani kama hakuna sababu za msingi mimi sipigi simu!Hata kama una mtoto wake? 😊
Nidanganye ili iweje na hakuna anayenifaham?Hahahaha,hauko serious, unadanganya hapa
Huyo ni kama anafurahisha humu,mtaji namba wa single mother ni mtoto, atakuambia,ada,hela usafiri,hela ya chakula na mengine,simu isipigwe kweli?Hata kama una mtoto wake? 😊
Oyaa, yani kama hakuna sababu za msingi mimi sipigi simu!
Kumbe unayo namba na unaeza kupiga ikiwa kuna ulazima sio?Oyaa, yani kama hakuna sababu za msingi mimi sipigi simu!
Hahahaha,hawa ndio watu wanatotolesha halafu konaWe Seran unaonekana ni mwanamke mbabe sana! Napenda sana wanawake mabandidu. 😊
Huyo ni kama anafurahisha humu,mtaji namba wa single mother ni mtoto, atakuambia,ada,hela usafiri,hela ya chakula na mengine,simu isipigwe kweli?
Nani alikukaririsha kuwa kila singo maza hana uwezo wa kumuhudumia mwanae?Huyo ni kama anafurahisha humu,mtaji namba wa single mother ni mtoto, atakuambia,ada,hela usafiri,hela ya chakula na mengine,simu isipigwe kweli?
akiba haioziNaomba jibu
Tutapigana mno huko ndani usiombe!We Seran unaonekana ni mwanamke mbabe sana! Napenda sana wanawake mabandidu. 😊
Hahahaha, hahahahaNani alikukaririsha kuwa kila singo maza hana uwezo wa kumuhudumia mwanae?