Kwaherini JF

Kwaherini JF

Wabongo bhana,utafikiri wao wataishi milele,

Kifo ni jambo la kawaida tu,sema tunatofautiana tu ujasiri,

Kwani humu hakuna asiyejua kua ipo siku nae atakufa?

Sasa cha ajabu ni nini hapa? Eti mtu anatuma ki emoji cha kulia utafikiri yeye ataishi milele.
Kwa hiyo mtu akifa hatutakiwi kulia kwa sababu sisi pia tutakufa?
 
Way back 2014 nipo Kwa bro DSM, nilikua nasumbuliwa na tumbo balaa, ikafika HATUa kwenda kupima ni vidonda vya tumbo, nikawa najisaidia damu Mzee, shem akanambia hapo kifo njenje, dah nikaanza kulia mana wanadai steji hiyo ni mbaya, nililia sana kua naenda kufa, but Leo ni 2026 maisha bado yanaendelea, MUNGU tubariki sana na utusimamie inshaallah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom