Kwaherini JF

Kwaherini JF

Status
Not open for further replies.
Joanah kama unatuigizia it's okay. Nachojua mtu anapoambiwa kansa yake ipo terminal basi anakua katika hali mbaya ambayo hata yeye kutumia simu hawezi kivile. Usifanye mchezo na huu ugonjwa.
Bro mtoto wa mamkubwa Kafariki kwa Ini
Nimefiwa na wengine wawili kwa kansa wote hata kuongea na simu ilikua tabu. I wonder wewe unaweza kuwepo na kujibizana. Naongea kwa experience ya kuwaona wahanga wa ugonjwa huu hasa wakiwa Terminal Stage
 
Joanah kama unatuigizia it's okay. Nachojua mtu anapoambiwa kansa yake ipo terminal basi anakua katika hali mbaya ambayo hata yeye kutumia simu hawezi kivile. Usifanye mchezo na huu ugonjwa.
Bro mtoto wa mamkubwa Kafariki kwa Ini
Nimefiwa na wengine wawili kwa kansa wote hata kuongea na simu ilikua tabu. I wonder wewe unaweza kuwepo na kujibizana. Naongea kwa experience ya kuwaona wahanga wa ugonjwa huu hasa wakiwa Terminal Stage

Nimetoa taarifa niliyopewa leo/jana

Sasa kama nawaigizia hiyo ni nyie na nafsi zenu
 
Kuna member mmoja humu nae aliwahi kufungua uzi wa aina hii,alisema ana cancer na kaambiwa hawezi kumaliza miezi 6

Watu wakafikiri anatania,baada ya miezi 6 tu ID yake ikawa R.I.P

Mimi ID yangu nimeomba mods waifute sijui watakubali

Mimi kama marehemu wa hivi karibuni idea ya kuwekewa RIP hainifurahishi kivile

Halafu hivi mods kuweka RIP si mpaka wapate confirmation ya msiba? Sasa mi msiba wangu sijui nani atawaambia kama sio mimi mwenyewe
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom