realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 7,335
- 18,363
Win wewe unafanya Masikharapole, hebu aseme yupo wapi tukamchambe saivi kwanza
Win wewe unafanya Masikharapole, hebu aseme yupo wapi tukamchambe saivi kwanza
Sio Kila mahali jamanihuruma sio malezi
Swali la msingi hili umeuliza mkuuNani utamtunuku tunda kwa mara ya mwisho humu JF?
Nani utamtunuku tunda kwa mara ya mwisho humu JF?
Ni kwa nini wanawambia watu kabisa hivo.
Wanatakiwa wasiseme.
no sio masikhara ila we unamuelewa?,, sawa maamuzi ni yake bt why?,, inabidi tumfate na tarumbeta kwanza tumdadavue labda akili itamkaa sawaWin wewe unafanya Masikhara
Muongo huyu usimuaminiSio Kila mahali jamani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sio wewe unitunuku kinyeo ili nikachomwe moto wa milele?
🙆no sio masikhara ila we unamuelewa?,, sawa maamuzi ni yake bt why?,, inabidi tumfate na tarumbeta kwanza tumdadavue labda akili itamkaa sawa
Natamani iwe hiviMuongo huyu usimuamini
mwanga wa milele ukuangazie brazaSio wewe unitunuku kinyeo ili nikachomwe moto wa milele?
Sina cha kusema walaNaondoka sis
Wewe mwenyewe unamwambia amrudie Mungu, wewe mwenyewe tena unaongea habari ya kutunuku tunda tukuelewe uko upande gani?Nani utamtunuku tunda kwa mara ya mwisho humu JF?
Anayejitoa uhai wake kwa makusudi , maiti yake ni haramu kuombewa.
Ni heri mleta mada usubiri natural death kama ulivyopewa taarifa ambayo pia najua ni CHAI .
Mleta mada amekuja kupima upepo.
Apuuzwe.