Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,618
- 5,788
Polle sana mrembo kwa changamoto iliyokufika Mwenyenzi Mungu akupe nguvu usikate tamaa jamani.
RiseNakufa ndoa yangu ikiwa changa ambayo hatujapata uzao wowote 😭😭
Nakufa namuacha baba yangu
Nakufa namuacha mama yangu
Ee Mungu
Duuhh, fanya kuugua pole, achana na mambo ya kufa. Kuna miujiza pia kama unaamini lakini. Unaweza kuamka ukaenda hospital kupima hadi madaktari wakabaki midomo wazi imekuwaje imetoweka.Nakufa ndoa yangu ikiwa changa ambayo hatujapata uzao wowote 😭😭
Nakufa namuacha baba yangu
Nakufa namuacha mama yangu
Ee Mungu
haufi saivi bro, ila ikitokea umetangulia ujue na sisi tupo nyuma yako, na utambue ya kuwa tuko pamoja hata kwenye maisha yajayoNakufa ndoa yangu ikiwa changa ambayo hatujapata uzao wowote 😭😭
Nakufa namuacha baba yangu
Nakufa namuacha mama yangu
Ee Mungu
ChaiWengine mitume wa mazimwi?
Alafu Hance mbona wewe boksi sana kichwani
Uliambiwa mbinguni kuna raha, usijali. Huenda ni tiketi ya kuwahi huko. Pole sana.Hey people,
Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu
Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo
Naumia lakini sina jinsi
Joanah 😭Nakufa ndoa yangu ikiwa changa ambayo hatujapata uzao wowote 😭😭
Nakufa namuacha baba yangu
Nakufa namuacha mama yangu
Ee Mungu
Kabisa kuna watu walikuwa na Kansa stage ya mwisho waliomba na kupona na sio hio tu hata ukimwi wapo waliopona kwa maombi namshauri amlilie Mungu kwa MUngu hamna kisichowezekanaDuuhh, fanya kuugua pole, achana na mambo ya kufa. Kuna miujiza pia kama unaamini lakini. Unaweza kuamka ukaenda hospital kupima hadi madaktari wakabaki midomo wazi imekuwaje imetoweka.
Hii nakuamini 💯Bro me sikutishi, nimekupa uhalisia uliotokea kwetu..
pia madokta na ubora wa vifaa vya hosp vinatofautiana. Sie kwa baba, Hosp M.. walipomaliza operation na matibabu kuna dawa wakamzuia baba kuzitumia (hiyo ni last year) akawa fresh kabisaaa.
Huo mwezi kuelekea week yake ya mwisho alianza kupoteza hamu ya kula. Nyama ikichemshwa tu anakula fresh, ikiungwa akila anatapika.. akawa anabagua vyakula.. tukaona anadeka, tukawa hatumuamini.. maana alikuwa fresh haumwi .. ni kama sahvi hapa ambavyo hatukuamini..
Hali ilikuja kubadilika ghafla mno… kwenda hosp Lu.. kwanza wakasema kule M walikosea.. zile dawa hakutakiwa kuziacha..
Hizi hosp baadhi bana ni Mungu tu atusaidie
Namjua mtoto wa mtu ambaye alifanyiwa OP ya kidole tumbo. Kumbe hakuwa na hiyo shida, ikapelekea watingishe utumbo. Imagine mtoto anamaliza miezi 3/4/5 bila kupoop.. akitaka kupoop ni lazima apigwe bomba.. wakabadili hosp sana sana mpaka wakaja kuponea hosp X
So nakushauri.. rudia vipimo bro
Kisha washirikishe familia yako
Mwenyezi Mungu akutangulie…
Kama nia yako n kusaidia, ungekiweka hapa hicho kitabu au ungeenda kwenye pm yake kumpa.Please kama unaweza ku access DM yangu nicheki NIKUPE kitabu cha Dr SEBI Bure kabisa. Ana Treatment plan ya siku 21 kuhusu cancer Kwa diet na mitishamba.
Ninashindwa kupandisha Hicho kitabu hapa Kwa faida ya wengine pia
Kuna umuhimu gn wa kuandika hosp x, hosp m?Bro me sikutishi, nimekupa uhalisia uliotokea kwetu..
pia madokta na ubora wa vifaa vya hosp vinatofautiana. Sie kwa baba, Hosp M.. walipomaliza operation na matibabu kuna dawa wakamzuia baba kuzitumia (hiyo ni last year) akawa fresh kabisaaa.
Huo mwezi kuelekea week yake ya mwisho alianza kupoteza hamu ya kula. Nyama ikichemshwa tu anakula fresh, ikiungwa akila anatapika.. akawa anabagua vyakula.. tukaona anadeka, tukawa hatumuamini.. maana alikuwa fresh haumwi .. ni kama sahvi hapa ambavyo hatukuamini..
Hali ilikuja kubadilika ghafla mno… kwenda hosp Lu.. kwanza wakasema kule M walikosea.. zile dawa hakutakiwa kuziacha..
Hizi hosp baadhi bana ni Mungu tu atusaidie
Namjua mtoto wa mtu ambaye alifanyiwa OP ya kidole tumbo. Kumbe hakuwa na hiyo shida, ikapelekea watingishe utumbo. Imagine mtoto anamaliza miezi 3/4/5 bila kupoop.. akitaka kupoop ni lazima apigwe bomba.. wakabadili hosp sana sana mpaka wakaja kuponea hosp X
So nakushauri.. rudia vipimo bro
Kisha washirikishe familia yako
Mwenyezi Mungu akutangulie…