Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,886
- 37,844
Mimi bado nipo njia panda, kuna saa ukisoma maoni unaona kama masihara ila kuna saa inakuja kama kweli!.Sio wote mkuu watapitia mateso.. mf. Si baba yetu niseme week yake ya mwisho ndio alipitia maumivu ya kiuno wkend.. j3 akafanyiwa vipimo.. hata majibu hayajatoka akapumzika mazima. Na hiyo siku alimka fresh.. vikabadilika ghalfa na ndani ya masaa matatu akapumzika.
Maybe inategemea na aina ya cancer..
Huu uzi niliusoma alfajiri kikawaida.. now nasikia hadi moyo unauma
Sijui anayefariki anajisikiaje.. kazi ipo kwa wanaobaki.
Joanah kama uzi wako una ukweli.. basi wape taarifa nduguzo wa karibu. Vifo vya ghafla vinaumiza sana wanaobaki 🙌
Mungu akutie nguvu..
Acha niendelee kukataa kwamba si kweli,mauti na uzima zi kinywani mwa mtu.
Joanah hauta kufa , dunia inakuhitaji sana, jamii bado ina haja nawe.