Kwaherini JF

Status
Not open for further replies.
Huyu jamaa nae alituaga hivi hivi ila watu wakafikiri anatania,kilichofuata baada ya miezi 4 ni R.I.P

JF VAR CHECK

 
Ushamake peace na nafsi yako so wala hujachanganyikiwa...

All in all kinachotenganisha kifo baina ya mtu na mtu ni muda tu ila wote lazima tutakufa Kila mtu na wakati wake.

Tuzidi kutakiana mema maana wote tunamuda mchache hapa duniani.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…