Back to Basics...Engineer shusha technical issues acha perepeche
Hamna hata picha mkuu?Natanguliza poleza za dhati kwa wa hanga wa tukio hilo. MUNGU azilaze roho za marehemu mahala pema peponi. Majeruhi GET WELL SOON.
NANI ALAUMIWE KWA HILO?
....Mwenye Jengo!!!?
....Fundi/mkandarasi au
.....majirani ambao ndio wahaga zaidi.
NIKIWA KAMA MDAU WA UJENZI
Ningependa nitoe ushari huu ...
CHEAP IS EXPENSIVE
DEDICATION KWA CLIENT WOTE WAPENDA DEZO
👌👌👌Back to Basics...
View attachment 2035336
Ukiona hayo ni maleluweluwe basi hiki kifuata...
View attachment 2035337
View attachment 2035333
Amejenga kwa kumtumia fundi Maiko, hata Serikali inamtumia fundi Maiko kwa Fosi Akaunti.View attachment 2035185
Watu wanne (Wanawake 2 na Wanaume 2) wameripotiwa kufariki dunia huku wengine 17 wakijeruhiwa baada ya jengo lililokuwa linajengwa eneo la Goba kwa Awadhi Jijini Dar es Salaam kuangukia nyumba za jirani
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kheri James amesema wanaendelea kuangalia iwapo kuna wengine
Chanzo: ITV
Ushasema kuwatembelea, ulitegemea aishi huko?Hivi huyu hajaenda kuwatembelea akina LISU?
Jibu muruaUshasema kuwatembelea, ulitegemea aishi huko?
Kila siku napita hili eneo. Juzi tu nimetoka kusema hili ghorofa, mm siliamin kabisaa.
Iko hivi.
Hilo jengo lillianza kuinuliwa kuwa ghorofa wiki 2 zilizopita. Awali mchoro ulikuwa ni fremu za kawaida kama fremu nyingine barabarani. Sasa wiki 4 nyuma naona wakaweka bim, ambayo ina inchi 12 nadhan badala ya inch 30 kama ghorofa nyingne. Na kuanza kujenga kama ghorofa.
Kwahiyo ina maana msingi ule wa fremu za kawaoda haukuweza kuhimili uzito wa ghorofa iliyoongezwa , bado kuna uzito wa mbao na paa maana wameezeka hawana hata wiki.
Pia eneo lilijazwa kifusi. Nadhan na hii mvua maji yalizama chini na yakaleta joto baada jua kutoka.
Msingi amelaza tofali ila hajaweza nguzo nying, coz alijua ni fremu na sio ghorofa. kuanzia ground hajalaza tofali pia.
Kiufup kalaza tofali za msing tu. Bim nyembamba. Hakuna nguzo za kwenye kona.
Tatizo ni Eng/fund mkuu hajatoa ushaur vizur kwa tajiri.
Watu waliofariki ni zaid ya 10 nadhan.
RIP majiran zangu
Mkuu acha kuwachanganya watu.Back to Basics...
View attachment 2035336
Ukiona hayo ni maleluweluwe basi hiki kifuata...
View attachment 2035337
View attachment 2035333